Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Sir Andy Chande, kiongozi wa free mason anasema sifa za kujiunga ni lazima mwanachama atoe mchango wa dola 6000. Awe amepata ridhaa ya ndugu. Pia anasema hakuna kafara. Mbali na sifa hizo...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
mnaojua alifanya procedure gani akapungua? inaitwaje?? wapi inapatikana hapa nchini??? shilingi ngapi hapa nchini??? na nje wapi inapatikana??? price ina range shilingi ngapi??? nataka nifanye...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Stereo ametoa album anauza buku3 ina nyimbo 20,mwenye contacts za ma-dealer wanaouza CD yake tupeni tununue.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna wimbo wa kijana anaitwa NAY WA mitego una mistari inayosema 'makahaba wenye viwango wapo bongo muvi',kuna baadhi ya wasanii wa bongo muvi kama HEMED,SHAMSA FORD,SINTA N.K walimtukana sana NAY...
0 Reactions
38 Replies
14K Views
Hee he. H baba leo amefunguka ktk stesheni moja ya redio, na kusema wakati yeye na irene uwoya walivokuwa wapenzi, alikuwa anamgonga uwoya mpaka kupelekea kupata mimba. H.BABA alifunguka na kusema...
1 Reactions
35 Replies
8K Views
Mtoto wa mwanasiasa mkongwe wa nchini John Malechela, William ameamua kuonesha upande wake wa pili kama muigizaji wa filamu. William Malechela ambaye pia ni mwanasiasa, ameshiriki kuigiza kwenye...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Hivi hawa the comedy wa EATV wanaosema amevurugwa baba ako,au amevurugwa shangazi yako,amevurugwa babu yako kuna chochote wanachotufundisha hapo kweli?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
MREMBO ambaye pia ni msanii wa filamu Bongo, Mary John ‘Maua’ amepiga picha za utupu, kitendo ambacho ni kinyume na maadili ya Kitanzania. Baadhi ya picha hizo ambazo Ijumaa linazo, zinamuonesha...
1 Reactions
17 Replies
11K Views
Wakuu muda si mrefu cnb prezoo ataojiwa na salama
0 Reactions
15 Replies
2K Views
inanshangaza sana kuona bongo muvi wakishriki kwenye tamasha la fiesta kila mikoa,alaf wakipanda pale jukwaan hawafanyi lolote zaid ya kujidhalilisha kwa kukata viuona jukwaan,je wanalipwa.?na...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
MSANII wa tasnia ya filamu bongo, Wema Sepetu, amefunguka kuwa hawezi kuolewa Tanzania kwani hata akiamua kuchukua maamuzi hayo bado kuna watu wanaweza kumuharibia ndoa yake kwa sababu zao...
0 Reactions
73 Replies
10K Views
kwanza nampongeza kwa kuanzisha icho kipindi cha talk show..... kilianza kwa mbwembwe nyingi ikiwa ni pamoja na kuwatafuta maceleb hot wa bongo afanye nao interview......... kwa muda mchache...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Bi.Kidude ni gwiji wa muziki katika Bara la Afrika. Jina lake halisi ni Fatuma binti Baraka. Bi Kidude ni msanii mkongwe na mahiri sana katika fani ya muziki wa mwambao ambao hujulikana kwa jina...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kumekuwa na kushutumiana kunakoshika kasi kwa wasanii wa Bongofleva kuhusu ishu za ushirikina,ambapo wasanii mbalimbali wanatoa shutuma kwa wasanii wenzao kwamba wanawaloga na kuwaibia bahati zao...
0 Reactions
36 Replies
8K Views
Ee bwana eeeee! Hilo ni bonge la ubunifu usipime babakee. Hapo nakupa tano kwa mara ya kwanza. Mwanzo mwisho mpelampelaaaaaaa! Umetishajee mamake.
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Jamani naomba ushauri napenda sana kuwa superstar sema shida ni kwamba sina kipaji chochote afu pia siasa sipendi.naomba ushauri kama kuna njia nyingine za kuwa star ukiachana na hizo
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Mwanasiasa, mwanamuziki, mwandishi na mwanaharakati SUGU ametangaza rasmi kuwa asilimia 33 ya mapato yote ya tamasha litakalofanywa jijini Mbeya na VINEGA zitatumika kuwasaidia waathirika wa...
1 Reactions
79 Replies
8K Views
mara nying nlikua nazckilza nymbo za SUGU za kwenye album yake ya mwisho itwayo VETO juujuu,nldhan amefulia kmashair kama prof.jay lakin leo nimeicklza vzur sana kumbe jamaa bdo kchwa kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
huyu ndiye Twite mchezaji wa Yanga aliyetua leo Uwanja wa ndege, mchezaji huyu Mcongo aliyekuwa akiichezea APR ya Rwanda pia alikuwa akiwaniwa na Simba.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom