Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nimewasikiliza gerard hando na paul james leo na power breakfast wakiongea an tom mlambo wa super sports aiseeeeeeee.......hawa jamaa wapewe ufadhili wakanoe kingreza savanna inter schools.....
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama lady gaga sio freemason iweje wema sepetu,wolper ni freemasons...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KESI ya msanii wa fani ya filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu Lulu, imeahirishwa hadi Agosti 20 mwaka huu, kutokana na Jaji anayeisikiliza, DK Fauz Twaib, kuwa na majukumu mengine.Akiahirisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
huyu demu tokea alivyumbuliwa na H. Baba kwamba anamtuhumu H.Baba hajui mapenzi kumbe anataka aliwe tiGO katulia tuliii ka maji ya mtungini vile,kumbe mombasa raha eeeh?,tujuze yakheeeee
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msanii wa toka kundi la vichekesho la Original Komedi, Mpoki amedondosha pini lake jipya liitwalo 'Mademu'. Wimbo huo ambao unazungumzia tabia za mademu tofauti tofauti kutoakana na sehemu...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Niliishi pale Dar kwa miaka 5 bila kufahamu hata salamu ya Kizalamo. Sikuona ajabu sana kwa kuelewa sisi ni waswahili hata mtaani ni Kiswahili. Ajabu ni hii; Eti Hashim Thabit, kijana aliye...
2 Reactions
69 Replies
11K Views
Na Freddy Macha KILA mtu anajua kuwa harusi ni tukio muhimu katika maisha ya mwanadamu na ni tukio ghali zaidi kuzidi yote. Lakini kwa ‘Majuu,’ gharama za harusi hazisemeki. Si ajabu kuona watu...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Fina Mango Mtangazaji wa Redio aliye Jipatia umaarufu mkubwa katika utangazaji kwa kupitia Kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm Miaka Miwili Iliyopita sasa arudi tena hewani baada ya kuacha...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Ambaye hana blog.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Muigizaji yupi ambaye anaweza kuziba pengo la Kanumba na serikari ikamtambua kama mtu anayechangia kujulikana kwa nchi yetu hii changa kimaendeleo?
0 Reactions
49 Replies
6K Views
JAMANI NAFIKIRI KILA MTU AKIWEKA SENTENSI YAKE INAYOFANANA NA PICHA HII ITAKUWA VIZURI.....LOL
0 Reactions
96 Replies
22K Views
Zuwena Mohamed ‘Shilole’. MSANII wa filamu na muziki wa Pwani, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameponea chupuchupu kuvuliwa nguo barabarani maeneo ya Darajani mjini hapa baada ya kukatiza mitaa ya...
0 Reactions
11 Replies
12K Views
Mama Kanumba, Flora Mtegoa. Mama Lulu, Lucresia Karugila. Marehemu Steven Kanumba. Elizabeth Michael ‘Lulu’. CHOKOCHOKO zimeanza! Huku kesi ya kifo cha mwanaye ikiendelea na Elizabeth...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Kuna mambo mengine huwa tunayachukulia poa ila yana umuhimu sana wa kuyazingatia. wasanii wetu inabidi wajipange tena sana., Jana ndani ya HotMix show ya EATV walikuwa na msanii anayeitwa sam wa...
1 Reactions
17 Replies
14K Views
2011 successful womens in tz ni pamoja na, 1.mwamvita makamba 2.shyrose banji 3.asha baraka na 4.khadija mwanamboka.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nakufagilia sana Ray jinsi unavoigiza bu sifagilii staili yako ya kushindana na kanumba.Unasubili kanumba afanye na wewe ufanye,nasikia kanumba alikuwa akinunua gari fulani na wewe lazima ununue...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Tanzanian supermodel Miriam Odemba is back in the game in a big way. The mother of one who had taken time of the run way has quickly got her 36-25-36 shape back and is already rubbing the loins of...
0 Reactions
32 Replies
10K Views
Yule nguli wa mambo ya Corporate relations tulifanya naye Kazi Tanga Cement then akaenda Barclays ametutoka usiku wa kuamkia leo. RIP Kati you have gone to soon
1 Reactions
23 Replies
8K Views
BREAKING: Msanii CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke Dar es salaam, ameumia ila gari halifai kabisa. Chanzo ni mtu wa pikipiki
0 Reactions
42 Replies
12K Views
Kwa lugha nyngne unaweza kuwaita strong womens...1.hillary clinton 2.lady gaga 3.angela merkel 4.nancy pelosi 5.michelle obama.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom