Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hatimaye ile siku iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wa muziki Tanzania pamoja na ukanda wote wa Afrika Mashariki imewadia. Tuzo hizi kwa mwaka huu zimepata msisimko mkubwa na hamasa ya mashabiki...
18 Reactions
3K Replies
256K Views
Nimekuwa nikifuatilia kazi nyingi sana anazifanya Fanya Diamond platnumz amekuwa hapati Support kubwa toka kwa wasanii wenzie na watu wengine maarufu tofauti na wasanii wengine Je hii ni kwanini...
4 Reactions
50 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa Babalevo ni kitu cha ajabu Mwana Fa ambae amepewa dhamana ya kuongoza wizara ya sanaa kuonyesha chuki za wazi wazi kwa Diamond Platnumz. Wengine walifikiri akishakuwa kiongozi wa...
13 Reactions
44 Replies
4K Views
Baada ya bondia Fadhili Majiha kumtwanga The wonder boy Profesa Bongani Mahlangu na kufanikiwa kuchukuwa mkanda wenye heshima zaidi duniani ambao sio mwingine bali mkanda wa WBC (WBC AFRICA...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwani watu ombaomba na wanafki ila huyu doto magari amezidi. Huyu jamaa akishajua upo vizuri kipesa basi tegemea kila utakapokutana naye lazima akuombee hela usipompa tu kosa, lazima akakutangaze...
6 Reactions
36 Replies
6K Views
Hiki chumba tu cha kaburi ni kikubwa mara mbili ya wastani wa darasa la kawaida la shule za kata. Gharama zisizo na ulazima, ukiongeza hayo madirisha ya grilli na aluminum katika eneo ambalo lina...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Ukizungumzia waimba taarabu wa kike wenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni basi Fatma Mahmoud Nyoro maarufu kama Fatma Mcharuko ni namba one. Waimba taarabu wengi wanapata shida kugandamizia/ kuimba...
0 Reactions
26 Replies
8K Views
Habari za wakati huu wadau wa jukwaa hili. Nilikuwa napitia katika mitandao ya kijamii, nikakutana na hii habari ya huyu mlimbwende Angelina Jolie. Ya kwamba aliadopt watoto, mmoja wapo anatokea...
41 Reactions
304 Replies
17K Views
Hatimaye mfalme wa taarabu Alhaji Mzee Yusuph ametangaza rasmi ujio wake kwa mara nyingine kwenye muziki wa taarabu. Kwa kifupi tangu mfalme akae nje ya muziki wa taarabu , muziki wa taarabu...
3 Reactions
231 Replies
37K Views
Mimi kama mtu mwenye talanta ya kuweza kuona vipaji vya watu ambapo wakati mwingine wenyewe hawavioni ninapenda kuutaarifu umma kuhusu kipaji kipya nilichokiona. Ndugu yetu Wakazi Wasira ambaye...
3 Reactions
3 Replies
484 Views
Kuna ubishi wa chini chini kati ya hawa mabinti wawili machachari ambao ni zao la Jahazi Modern taarab chini ya aliyekuwa mkurugenzi wao mfalme Mzee Yusuph ,je yupi ni mkali zaidi kuliko...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Miongoni mwa vitu vinavyosubiriwa kwa hamu kwa wapenzi wa burudani ya muziki ni ujio wa mfalme Mzee Yusuph. Tangu mfalme akae mbali na muziki wa taarabu muziki huo ulikuwa unakaribia ukingoni...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Watu baadhi Wanasema Jamaa amekonda Ila kiufupi hii issue yake jamaa yupo busy Sana so tuendelee kumsapoti Nakumpa constructive criticism The guy is really hustler
8 Reactions
33 Replies
4K Views
Ni kweli Ngwair wakati anafariki alikuwa tayari amekwisha kimuziki? Yani hakuwa na hits kali, hakuwa na ngoma zinasumbua? Majibu wadau..
0 Reactions
10 Replies
755 Views
Wanabodi Leo saa 11:30 alfajiri nimepokea simu ya Da Mwajuma Mchuka kunijulisha kuhusu huu msiba!. Hii ni thread ya Tribute kuhusu nilivyomfahamu marehemu, Halima Mchuka. Kwanza jikumbushe sauti...
20 Reactions
79 Replies
16K Views
Christopher Lattore Wallace, A.K.A The Notorious B.I.G. au Biggie Smalls, alikuwa rapper na mtunzi wa nyimbo kutoka Marekani. Anachukuliwa kuwa mmoja wa rappers wakubwa na wenye ushawishi zaidi...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Msanii Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya Msanii Bora kutoka Afrika kwa mara ya 3 katika mashindano ya MTV Europe Music Award 2023 ( MTVEMA2023 ) diamond amewashinda Asake, BurnaBoy   (Nigeria)...
32 Reactions
52 Replies
6K Views
Linaletwa balaa jipya mjini, naweza sema ile kiu ya kuona wasanii wetu kwenye majukwaa mazito kama kima Rema sasa inaenda kukatwa. Topnotch talent sio mbambamba. Let's count God bless WCB
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa sinema ya john wick kama mlipata kumtazama mhudumu wa hotel inayohudumia kikundi cha siri cha mauaji na chama kikubwa. Bwana Lance Reddick alitumia part yake kuanzia filamu ya...
6 Reactions
24 Replies
4K Views
Mbunge wa zamani wa Mikumi na Msanii Staa Joseph Haule maarufu Prof. Jay @professorjaytz amesema sauti yake imebadilika kidogo kwakuwa Madaktari wa Muhimbili Hospital walimtoboa koo ili wavute...
16 Reactions
23 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…