Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii anayehusishwa na kifo cha Kanumba, almaarufu kama Lulu kwa jina la kiofisi, inasemakana anamajina mawili ya kikristu. Huitwa Elizabeth Michael kama ambavyo huwa anajitambulisha, na jina...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Huyu jamaa anaonekana hapa Channel Ten Tigo Music Express akiwa kaweka kipuri puani!Anakiri kuwa katoboa pua mara mbili kwa sababu mara ya kwanzi iliziba!Jamani mwanaume anatoboa pua na kipuri juu!!
0 Reactions
43 Replies
8K Views
Akichezesha taya na presenta wa nivarna,producer maarufu Pfunk alisema saa yake ina thamani ya pesa hyo,Uproducer unalipa au misifa tu!
0 Reactions
61 Replies
10K Views
Aliponza tulisema anacopy nyimbo, ingawa hata hivyo aliziimba vizuri. Kwa huu wimbo mpya wa Samson na Delila dogo kaimba fresh, hata kama itatikea ameucopy. Sali ni je bado dogo hatujamkubali?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kajala yuko jela Kanumba marehemu Lulu jela Sajuki anaumwa Aunt ezekiel kaibiwa Uwoya ndoa hana Na wengineo wenye matatizo wataje, Mungu awasaidie.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BADO taifa linaombeleza kifo cha msanii nyota wa filamu za Bongo, Steven Charles Kanumba kilichotokea Aprili 7 mwaka huu nyumbani kwake, Sinza, Dar es Salaam. Kifo cha msanii huyo kinamhusisha...
0 Reactions
40 Replies
10K Views
ilikua kwenye TUZO ZA MUZIKI ZA KILI 2011/2012 Wakati OMMY DIMPOZ anaenda kupokea TUZO yake ya pili alisindikizwa na DIAMOND(hawa ni marafiki wakubwaa) ndipo DIAMOND akatoa maneno haya:- 'kuna...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Huyu ni aliyewahi kuwa golikipa wa vilabu maarufu, Peter Manyika. Juzi nilikia Singo yake, dah! maisha ni kujaribu kila fani, jamaa anaimba muziki wa kizazi kipya. Mashairi machache...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
fikilunjombe alimbadili mwanamke dini, akamuoa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msanii x-member wa kundi la Tmk wanaume halisi Rich One, anashikiliwa katika kituo cha polisi cha Msimbazi kwa kosa la kutumia jina la Ali kiba kuwatapeli mapromota mbali mbali. Msanii huyo...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Shaq earns education doctorate Updated: May 5, 2012, 11:05 PM ET Associated Press Recommend1K Tweet92 Comments279 Email Print MIAMI -- Former NBA star Shaquille O'Neal is a doctor now...
0 Reactions
0 Replies
932 Views
Leo kwenye kipindi cha the comedy kwa kweli masanja amenifurahisha kwa kuwataja wabunge wote na mawaziri waliohudhuria msiba wa kanumba kumchangia sajuki akatibiwe kama walivyochanga kwenye msiba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwanamuziki Diamond anayevuma kwa sasa hapa nchini kifanya onyesho zito na la kukata na shoka mbele ya mashabiki wake kwenye ukumbi wa Dar Live, onyesho hilo lililofanyika jana siku ya...
0 Reactions
29 Replies
15K Views
Jaman nisaidieni, kwa kulinganisha nyimbo zao nan mkali.
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Sina uhakika kama hii post ilishawekwa, ila sijawaelewa hawa Star Times kuendelea kuonyesha picha za marehemu kanumba katika mabango yao wanamaanisha nini? Wanajamii naomebeni mnieleweshe kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habr za mapumziko wadau, hv ni mtangazaji gani wa radio au TV unamkubali (unamu-admire) na ni kwanini?
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Jamani Edil Ganzel nimemkumbuka huyu Gwiji wa tamthilia. Nimekumbuka moja ya tamthilia zake: Kama simu ya Kifo, Kijasho chembamba na nyingine...... Jamaa alikuwa mzuri sana enzi hizo tukiwa bado...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
NAPATA SHIDA KUUKUBALI UMAARUFU WA KANUMBA Napata shida moyoni kumkubali Kanumba kama mtu muungwana na aliye stahili heshima aliyo pewa ya kuzikwa namaelfu ya watu na tena viongozi wetu wa...
10 Reactions
62 Replies
13K Views
Kuna hiki kipindi knaitwa skonga knarushwa kila cku ya ijumaa kuanzia saa 1 jion hadi saa 2 ucku ktk television ya EATV, hvi huwa kinafundsha nin,maana me hata huwa ckielewi.
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Mani zimepita siku kadhaa sasa huyu mwanadada maarufu kwa kufanya interviews na wasanii haonekani luningani..Je ameacha kazi? yuko likizo au imekuwaje? si vibaya tukajua alipo kwani ni maarufu kwa...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…