Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Waungwana na wakubwa zangu kwa heshima kubwa ninaomba nimrudishe huyu Mana kwenye majadiliano yetu ya kila siku, pengine wengi mmesikia mambo yake, wengine mmetetea tusimnyoshee mtumishi wa Mungu...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mnamkumbuka huyu dada she came into limelight na hiyo bendi kipindi flani na mi binafsi nlikua namhsudu sana. Sasa alidisappear kimya kimya na ghafla na hadi leo najiuliza bila majibu alienda...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
http://youtu.be/ZzXyrhFjeBY
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu kaaga dunia mchana huu, poleni sana wafiwa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi huyu bidada miziki yake huwa inapigwa bongo? Kwa habari zaidi kuhusu miziki yake na bio gonga chini... ReverbNation My take: huyu dada ni mwanamziki ambaye maybe hajapata producer ama...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wadau, mi nina story ya movie ambayo ni unique na ni ya ukweli kinoma. Naona mtu anayeweza kuitendea haki katika scripting ni Yakuti tu na actor anayeweza ni Kanumba. So naomba mtu anayeweza...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Alisema hana upinzani kwenye Filamu kwani nafasi yake iko kubwa, kwa kuonyesha uwezo wake kwa sasa yupo kwenye maandalizi ya kuisuka albamu ya muziki wake na nyimbo mbili zipo tayari na zinasikika...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Siku hizi bana......sijui sheria ya umiliki wa silaha unasemaje? mtangazaji wa clouds fm anodi kayanda...ubabe ubabe tu..... risasi tayari tayari.....na mie naweka gurneti langu....
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani tupo kwenye harusi hapa bibi harusi kaingia mitini ,tunaendelea kupiga kinywajji hayo mengine waatajua wenyewe
0 Reactions
9 Replies
2K Views
msanii wa bongofleva Qchief a.k.a 'Asali' amekuwa akienda kupiga show nyingi sana uko Mombasa na mara zote amekuwa akiongozana na promota wake Pedeshee Chief Kiumbe...kwa wadau waliowai kufika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Akichezesha taya na mwananchi wa kawaida(castro dickson) wa claus tv,oten aliweka wazi biashara inayomuweka mjini kwa sasa tofauti na muziki. Nawasilisha.
0 Reactions
38 Replies
7K Views
Nipo naangalia program yao kupitia TBC,yaonekana wamechoka.Hata kipindi cha leo,just imagin mambo ya jairo na igunga ya mwezi wa kumi mwaka jana.IVI KWA NINI WALIMTUKANA MAMBA HALI HAWAJAVUKA...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Katika siku za karibuni katika tasnia ya muziki wa bongo zimeibuka bifu nyingi hasa kwa wasanii wa HIP HOP TANZANIA mfano: Roma/izo B chid beenz/Afande sele soggy/afande sele kikosi cha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Aliyewahi kuwa Mrs. Majani, malkia wa Bongo Records na sasa Bongo Movie actress Kajala Masanja, mapema leo amechukuliwa na kufungwa Segerea kufuatia mashitaka ya ufujaji wa pesa za umma...
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Yaonekana mwanadafada Wema siku hizi baada ya kuachana na almasi a.k.a diamond amekuwa wa kujiachia na kufanya matanuz amabyo duuuuhhhhhhh!!!!!! amekuwa mtu wa shoppings hapa home, na sasa yuko...
0 Reactions
42 Replies
10K Views
A Death by Skin Cancer? The Bob Marley Story Dr Cleland Gooding MD., F.A.A.D., a physician with a specialty in Skin Diseases employed by the Bahamas Government, has...
2 Reactions
7 Replies
15K Views
The Kenyan government has been urged to implement the laws on sex tourism. Truth, Justice and Reconciliation Commission acting chair Tecla Namachanja said lax laws are to blame for sexual...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wenye wajukuu kama Baba_Enock na walikuwa wapenzi wa Mpira wa Kikapu nadhani mtakuwa mnamkumbuka sana Rodman aka "BadBoy"... Inasemekana hali yake ya kifedha si njema sana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WaKATI NCHI IKO Kwenye janga kubwa la afya kuwahi kutokea, na wengi wakitaharuki baada ya kusoma matokeo ya kidato cha nne...huko kwenye burudani yanayojiri ni haya...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…