Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Ahuofe 🇬🇭 Aliyejipatia Umaarufu Mitandaoni (Tiktok & IG) Kama Tupac Wa Ghana Amefariki Dunia Jana Jumatano Machi 29, 2023 Huko Kumasi Nchini Ghana. Taarifa Za Kifo Chake Zimethibitisha Na Rapa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Can't Be With You Tonight You Caught My Eye That Night We Met Dreaming of a Little Island Turn Back the Time Hizo hapo juu ni baadhi ya nyimbo za Judy Boucher zikipigwa nakumbuka Christmas 🎄...
8 Reactions
75 Replies
4K Views
Burna Boy vs Wizkid. Nani hatari zaidi??
0 Reactions
1 Replies
415 Views
Maisha yana badilika yani leo Burna Boy ndio kumzidi kete show Davido. Picha ya kwanza video ya davido iliyotoka Uingereza Burna Boy akiwa kama msindikizaji
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii sio kawaida, angekuwa ni Mtanzania basi Kama kawaida zigo angebebeshwa Diamond Kama walivyofanya Harmonize, Dimpoz na Alikiba. Hapa mwamba anaenda kanisani. Tokea lini rapper akavaa...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
"One thing we all adore, something worth dying for. Nothing but pain, stuck in this game. Searching for Fortune and Fame". Tupac Shakur is to receive a star on the Hollywood Walk of Fame, 26...
0 Reactions
6 Replies
852 Views
So pathetic. Everything in Life is temporary. The famous successful singer Celine Dion can no longer walk nor lift any part of her body.she never wished for this at 55 but that's what fate...
13 Reactions
25 Replies
4K Views
Za sahizi wakuu, Leo, hebu tuongee juu ya safari isiyo ya kawaida ya shujaa wa ndondi Mike Tyson na uamuzi wake wa kukaa bila kujihusisha kimapenzi kwa miaka tano ya kushangaza. 🥊 -Mike Tyson...
27 Reactions
262 Replies
16K Views
Wanaume siku hizi tumekuwa wazuri hadi tunawazidi wanawake.
30 Reactions
237 Replies
25K Views
Mwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao Toka majuzi...
6 Reactions
104 Replies
10K Views
Kundi hilo la Watoto 6 wenye miaka 6 hadi 13 limepata upinzani mkali kutoka kwa Mshindi wa kwanza #ViggoVenn kutoka #Norway akifuatiwa na #LillianaClifton pamoja na mshindi wa 3 mwanamazingaombwe...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasalaam! Wana jamvi habari njema ni kwamba sanaa yetu imezidi kuchanja mbunga na kwa sasa muziki unalipa sana tena sana pamoja na kuwepo kwa madalali qengi! Zuchu ni msanii mpya ndani ya WCB...
2 Reactions
186 Replies
19K Views
Moja kwa moja kwenye mada. 5. Matonya Kwenye ubora wake huu jamaa alikuwa moto, msikie kwenye nyimbo kama Tax bubu, Vailet, Dunia mapito n.k nadhan wasanii wa sasa wana kitu cha kujifunza kwake...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Ili msanii uwe superstar kuna vitu vitatu vya muhimu kuwa navyo. 1. Kipaji 2. Nyota 3. Connection Ukikosa vyote basi walau uwe na viwili kati ya hivyo na kitu Nyota usikikose. Msanii mpya...
9 Reactions
129 Replies
14K Views
Ndugu zangu poleni na majukumu,Poleni na Msiba wa Taifa hili. Naomba niwapeleke kwenye burudani kidogo hasa mziki wa Hip-Hop. Kuna jamaa aliimba nyimbo flani ambazo nikizisikiliza najisemea...
7 Reactions
75 Replies
11K Views
Ndugu zangu na members wote wa JF habari za muda huu. Poleni na mihangaiko na harakati za kujitafutia walau mkono uende kinywani. Bila kupoteza wakati twende kwenye mada husika kama title ya...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Lil durk ameripotiwa kumliapa j cole kiasi cha USD 978k, kwa Tanzania sawa Na shilling, 2,316, 882, 000 baada ya kumshirikisha kwenye ngoma yake ya "All my life". J cole katika wimbo huo verse...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Mtandao wa Africa facts zone umeripoti kuwa Msanii Diamond Platnumz (Simba) kumiliki nyumba 11, hoteli, TV station pamoja na radio station pia kisiwa chenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.8...
11 Reactions
68 Replies
8K Views
Ahlan wa Sahlan Katika kuperuzi mtandaoni nimekutana na habari zinazotrend zinazomuhusu mwanamuziki Harmonize aka Bakhresa kuwa anapigana juu chini ili aweze kurudiana na muigizaji Kajala. Kwa...
10 Reactions
137 Replies
52K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…