Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kutokana na mchango wao wanaouonesha katika taifa, hasa ule wa kuitangaza nchi yetu nje ya mipaka, hatuna budi kuwapa motisha kutokana na kazi nzuri waifanyayo Mimi pamoja na jopo zima la sanaa X...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
Walitangulia mbele ya haki miaka ya 19** 1. Bavon Marie Marie ( 26 ) 1970 2. Grand Kalle ( 53 ) 1983 3. Nico Kasanda ( 46 ) 1985 4. Franco Luambo ( 51 ) 1989 5. Soki Dinzenza ( 36 ) 1990 6. Soki...
18 Reactions
83 Replies
10K Views
Leo nimewaza mbali jamani, nimekumbuka mengi, nimeumiss udogo wangu, kweli maisha ni safari [emoji17][emoji17] Nyimbo za bongo za zamani zinanikumbusha mbali sana, nakumbuka kipindi familia yetu...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
We unadhani huyu jamaa atakuwa ni mpenzi wa falsafa za namna gani? Aa
1 Reactions
2 Replies
668 Views
Hivi karibuni kumetoka report ya google kuwa msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz na Davido kutoka Nigeria ndio Wasanii walioongoza kufuatiliwa na kuzungumziwa kwa mwaka Huu kwa barani Africa.
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Taarifa zilizothibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia. Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉 👉 Taarifa za kina...
21 Reactions
375 Replies
38K Views
Nauhitaji huu wimbo jamani.. aliye nao auweke hapa Nahitaji AUDIO wakuu.
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Kwenye muziki wa hiphop bongo hakujawahi kutokea msanii mwenye nguvu kama Juma Nature. Juma Nature aliingia kwenye muziki akaukuta umejaa umarekani mwingi na akaubadilisha mchezo kabisa. Silaha...
20 Reactions
113 Replies
13K Views
Mwanamuziki Jose Chameleon amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kumbusu kaka yake Weasel jukwaani, wakati wa tamasha la Gwanga Mujje, kitendo ambacho wengi wamekiita kuwa ni cha kuudhi Mnamo...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Kufuatia kitendo cha Diamond kusoma neno kwenye moja ya mstari katika Biblia siku ya jana Mlimani City kwenye Mtoko wa Pasaka. Sheikh Shariff Majini amemtaka Diamond aamue moja, kubaki kwenye...
9 Reactions
93 Replies
5K Views
Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature. Kiukweli kinachombeba ni...
21 Reactions
91 Replies
4K Views
Habarini wakuu.. Kama mada inavyojieleza hapo juu kiukweli mimi namkubali sana ommy D jinsi anavyoeleza picha zake inshort zinaeleweka sanaa hautumii nguvu kuelewa muvi inahusi nini.. Kwa apa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Watu bana sijui kwa nini wanakuwa na secret ajenda kila pale Rose anaposhine. Kazi kumwekea chuki tuu kila kukicha hapo zamani kidogo walimletea chuki baada ya kushinda tuzo ya kili, sasa wanaleta...
12 Reactions
28 Replies
3K Views
n Master J - Mj Records. 1. Nakupenda tu - konki 2. Sintobadilika - Mike T 3. T shirt na Jeans - university corner 4. Tanga Kunani - wagosi wa kaya 5. Sifai - Q Jay 6. Ingewezekana - D knob 7...
5 Reactions
65 Replies
21K Views
Hili ni kabisa ila nimependa sana kaswekwa ndani safi sana wamesha ona Tanzania unaweza ropoka chochote na hakuna wakukugusa.Bado yule wa MWANZA safari hii ndiyo ataozea ndichi.
0 Reactions
5 Replies
709 Views
Diamond Platnumz ndio habari kubwa mpaka sasa Africa. Ndio msanii pekee yeye na Davido wanaozungumzwa na kufatiliwa zaidi hapa Africa. Je Diamond Platnumz ni mkubwa kuliko Bongofleva? Inawezekana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekuwa Nikufuatilia Matamasha Mbali Mbali Ya Muziki Tanzania, Muziki wa Injili hata Ule wa Kizazi Kipya. Ni kiri wazi Kuwa Wapenzi wa haya Matamasha Wamekuwa Hawatendewi Haki kabisa Kabisa...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Mme wake Rosa Ree ni kama vile hayupo kwenye kipindi kigumu hiki anachopitia Rosa Ree, Ndoa ilifungwa mwaka juzi 2021 september, ni takribani mwaka na nusu hadi sasa.
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Kizuri chajiuza, kibaya chajitangaza, bwana mdogo amepiga kazi kubwa zinazojiuza zenyewe bila mwenyewe kutumia nguvu kuuubwa. Ukiachana na "Single Again" inayotamba bara zima la Afrika kwa sasa...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom