Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mwanamuziki maarufu Nchini Rwanda, Yvan Buravan (27) amefariki Dunia baada ya kusumbuliwa na Saratani ya Kongosho. Msiba umetokea usiku wa kuamkia leo Agosti 17, 2022 akiwa India alipokuwa...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Mpiga gitaa maarufu wa Kongo Denis Lokassa Kasiya, almaarufu Lokassa ya Mbongo, alifariki Jumanne usiku nchini Marekani baada ya kuugua kwa muda mrefu. Lokassa, ambaye hivi majuzi alifikisha umri...
5 Reactions
45 Replies
6K Views
HATA LUAMBO ALIIMBA Naam, Shaaban Dede ni Mwanamuziki wa Dansi aloacha alama kupitia kazi nyingi kwenye ulimwengu wa Dansi, Mungu ampe kauli thabiti huko aliko [emoji24][emoji24]. Mimi...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Haya haya mama mwenye watozo watano leo kaolewa huko Kenya Ujumbe huu uwafikie kataa ndoa na wanaosema kila kukicha single mamaa mpooo
18 Reactions
86 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Habari za wakati huu wakuu. Naomba kufahamu ni nani mkali wa machorus na colabo bongo kati ya hawa wasani wawili juma nature raia wa temeke na gnako chali ya chuga. juma Nature Juma Kassim...
1 Reactions
45 Replies
43K Views
Rapa Drake ameripotiwa kushinda Dollar za Marekani 🇺🇲 $1.84 milioni (Tsh 4,302,966,531) baada kubeti dau la Dollar $400,000 (Tsh 935,427,506) Ili Israel Adesanya wa Nigeria Ashinde kwa mtoano...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Tabia za haya madogo kuiga fan za mabrother au masistet wao sio nzuri hata kidogo. Kwani ni lazima kila mtu awe star, wengine wabaki mashabiki tu. Sasa mbaya zaidi unakuta lidogo linamwuigiliza...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Baada ya mrembo Shakila kutoka Kenya kusema kwamba kuanzia sasa na kuendelea eti atakuwa anatoza dollar 50 ambazo ni zaidi ya laki moja ya kitanzania ili akujibu tu meseji yako uliyo M DM. Sasa...
6 Reactions
118 Replies
15K Views
MSANII wa Bongo Fleva, Marianne Mdee ‘Mimi Mars’ ameweka wazi kuwa anatamani kupata mtoto. Mimi Mars amesema baadhi ya watu wanadhani kuwa hapendi kuwa na mtoto, isipokuwa aliamua kujipa muda...
8 Reactions
20 Replies
3K Views
Wengine walitegemea baada ya kupata waziri anaetokea kwenye muziki basi kuna mambo walau tutaanza kupiga hatua. Kinyume chake tunazidi kudidimia, Mwana FA kashindwa kusimamia tuzo. Ni vurugu...
10 Reactions
41 Replies
3K Views
IM NOT FINE! Mara nyingi naulizwa “How are you?” Nasema “I’m fine” kusema tu ila sio kumaanisha. But now I admit IM NOT FINE! Napitia mambo mazito mpaka naona giza tu. Inaumiza kwamba haijalishi...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
Wakati ambapo mashabiki wa muziki wa injili tukisubiri kwa hamu kubwa show kamambe ya muziki wa injili inayoandaliwa na kituo cha habari cha WASAFI inayokwenda kwa jina MTOKO WA PASAKA, kumekuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wasanii wengi wametoka kwenye maisha magumu ya kuishi chumba kimoja familia nzima tena hapo wamepanga. Wengine wametoka mikoani wamekuja Dar hawana pa kulala wanalala stendi, mitaroni, Kariakoo...
19 Reactions
267 Replies
37K Views
Yuko wapi mhenga huyu? Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
58 Replies
24K Views
Kupitia orodha hiyo inayojumuisha Matajiri 2,640 wakiongozwa na #BernardArnault na Familia yake wakiwa na Utajiri wa Tsh. Trilioni 493.9 akifuatiwa na #ElonMusk mwenye utajiri wa Tsh. 421.3 na...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Balozi Dkt. Pindi Chana ametangaza Vipengele vya Wanamuziki wanaowania Tuzo za Muziki mwaka 2022. Dkt. Chana ametangaza Vipengele hivyo jijini Dodoma ambapo...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris ametoa Spotify playlits yake ya nyimbo 25 za Wasanii wa Afrika ambazo anazikubali ambayo ameipa jina la “Safari Zangu: Ghana, Tanzania na Zambia”, kama...
10 Reactions
55 Replies
5K Views
KWA sasa rekodi ya Diamond Platnumz kama msanii aliyetazamwa zaidi YouTube Kusini mwa Jangwa la Sahara sio kitu cha kujivunia sana licha kuwa bado anaongoza, hii ni kutokana na ukweli kwamba namba...
11 Reactions
53 Replies
6K Views
Siku zote usipojua nyota yako kali usitegemee kufanikiwa kama usipojiondoa kwa watu watakao tumia nyota yako kutembelea kwenye mafanikio yao. Wote tunamfahamu msanii T-Pain aliyetamba miaka ya...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom