Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Leo baada ya kumsikia jaji akiitaja dhamana yake ambayo ni dola za Kimarekani milioni 25. Naona mwisho wa huyu jamaa, ambaye ni mwazilishi mwenza wa Death Row Records, umekaribia sasa. Manake...
3 Reactions
103 Replies
15K Views
Habari marafiki napenda kumfahamu huyu mtu anayeitwa Dax. Nimekua nikifuatilia nyimbo zake naona ni zatofauti sana. Dax ni nani? Hebu tizama hii video yake.
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Tupige soga kidogo kuvusha wikiendi.. Sisi 'old skool' wa Bongofleva tuna mambo yetu. Hatushughulishwi na story za kizazi hiki cha kina Harmonize. Ndio maana mtaona nyuzi zetu mostly zinawahusu...
4 Reactions
39 Replies
7K Views
Aisee mambo ya kuwa na mwili na Misuli ya kuvutia imepelekea wasanii wengi wajitoe muhanga kula dawa Ili waweze kupata Misuli mikubwa na inayoonekana ilinkuimarisha brand zao. Niwekee wazi tu SI...
14 Reactions
51 Replies
8K Views
Siku chache baada ya kuwataja #LilWayne na #Eminem kuwa ndio 'Rappers' wakali wa muda wote (GOAT), Tyga ameamua kumpa Nicki Maua yake na kueleza kuwa hakuna Rapa mwingine wa kike anayemkaribia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
DR. MARCO MKALI, MARCO CHIZI KIDOGO Alipita Metro studio, Serious Records, Kama kawa Records mpaka alipotuliza majeshi MJ RECORDS na kufanya kazi na mkubwa Master Jay huku pia akiwavuta wadogo...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Wahu, yule mke wa Nameless ametimiza umri wa miaka 43 leo Machi,2023 unakumbuka nini kuhusu huyu mrembo?
20 Reactions
60 Replies
6K Views
Sio mfuatailiaji sana Wa tamthilia ya mwantumu DSTV nimeangalia Mara kadhaa ila sikuwahi kutambua kama kaboba ni Joti. Kama kwa hakika joti ana kipaji siku zote nilidhani kaboba ni msanii...
1 Reactions
1 Replies
912 Views
Snoop Dogg, ambaye jina lake halisi ni Calvin Broadus Jr., alisababisha mshtuko mkubwa Hollywood baada ya kutangaza kuwa amekuwa Mkristo mpya aliyezaliwa upya. Hivi karibuni alitoa albamu yake ya...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Dah huyu Mwakinyo. ==== "Kuna mtu ninayemuheshimu aliongea maneno mabaya sana kwangu, nilisema Mwenyezi Mungu anipe ujasiri ili nisiseme maneno mabaya kwasababu yeye ni mtu anayesifika kwa...
6 Reactions
32 Replies
4K Views
Msanii Harmo rapa leo alienda kwenye kikao cha Mh. Nape kilichokuwa kinafanyia kwenye hoteli ya Protea. Baada ya kutokea sintofahamu askari/usalama alitoa bastola na kumnyooshea Nape Nnauye, tukio...
12 Reactions
399 Replies
57K Views
Wale wakongwe wa miaka ya mwanzoni mwa 2000 hadi 2007 mtakuwa mnamkumbuka msanii waa bongofleva aitwae vumilia alitamba sana na nyimbo zake nzuri kama, tatizo ni Umasikini, Utanikumbuka na ile...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Utapenda jinsi Chid Benz alivyokuwa akiulizwa maswali na mtangazaji pale Mlimani City, Siku ya Wapendanao wakiwa Red Carpet usiku wa mahaba ndi ndi ndi Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza CHID...
92 Reactions
121 Replies
12K Views
Huyu gwiji wa kitambo ndio amefikia huku kweli?
3 Reactions
46 Replies
7K Views
Huyu jamaa toka atekwe na kuachiwa kwa masharti akaona isiwe taabu akaamua kukimbilia zake Marekani mpaka leo huku nyuma akiiacha familia yake Tanzania. Kumekuwepo na tetesi mtaani kuwa Roma...
2 Reactions
52 Replies
19K Views
Habari ndugu zangu Star wa muziki kutoka Nigeria Davido anunua gari la ndoto zake aina ya lamborghini na kuwa miongoni mwa mastaa wachache kutoka Afrika wanaomiliki magari ya kifahari. Kupitia...
2 Reactions
69 Replies
10K Views
Hakuna vitu sipendi kama kuona video ya mziki msanii wa bongo ana rusha rusha mikono kwa ishara za kuiga kwa wasananii wa hip-hop wamarekani bila kujua kama zina maana au laa mwenyewe akijua ni...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Barua ya beki, Dani Alves aliyomwandikia aliyekuwa mke wake Joana Sanz imefuchuliwa lakini beki huyo akiendelea kusota jela kufuatia kesi ya ubakaji inayomkabili. Beki huyo wa zamani wa...
22 Reactions
124 Replies
8K Views
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Kawe mh Mwijaku alitaka kurusha ngumi Mbele ya waandishi wa habari baada ya kuambiwa na mwanaccmwenzake kuwa Yeye ni CHAWA. Mwijaku alisema yeye ana kipato cha...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom