Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Charlize Theron mwenye asili ya Afrika Kusini na Marekani ni miongoni mwa waigizaji wanaolipwa pesa ndefu zaidi duniani Mwaka 2016, Jarida la Time100 lilimtaja Theron katika orodha ya watu 100...
2 Reactions
10 Replies
928 Views
Wazee wa baraza ambao pia ni washauri wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wameeleza kuwa msanii wa filamu nchini, Elizabeth Michael 'Lulu' ameua bila kukusudia. Kutokana na hali hiyo, Jaji Sam...
10 Reactions
458 Replies
54K Views
TOP 50 WOMEN IN MANAGEMENT AFRICA 2023 CLEOPATRA MUKANGARA (Head of strategy and software Engineering Vodacom Tanzania.
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Mi naona muziki wao unaendeshwa na beat zaidi ndio maana unafanywa sana na madj na producers, na sijui kwanini ni nadra kuona wimbo unafanywa na mtu mmoja, ni lazima wajikusanye kuanzia watatu na...
6 Reactions
33 Replies
3K Views
92-year-old media mogul Rupert Murdoch is set to marry for a fifth time. He recently got engaged to 66-year-old Ann Lesley Smith - just months after his divorce with his fourth wife, Jerry Hall...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Salaam sana wana Jamiiforum Nimeona ni vema nami nijiunge JF ili kuweza kujifunza mengi na kupata mawazo mbalimbali ya kimaendeleo na ya kujenga. Mimi ni Actress wa Filamu za Kitanzania...
25 Reactions
207 Replies
24K Views
Wakuu kuna wakati ukweli lazima usemwe. Mambo ya kusema mtu aheshimiwe kwa kuwa alikuwa anatengeneza beats nzuri hizo ni heshima za uoga. P Funk ambaye kiukweli zaidi ya kufanya production ya...
53 Reactions
374 Replies
25K Views
Kumbe dj Sonyorita ni kuku wa kienyeji nimependa shanga zake. ==== Hapa chini ni Mahojiano ya DJ Sinyorita na Gazeti la Mwananchi Dj Sinyorita kutoka XXL mpaka redioni kwako Jumamosi, Machi...
6 Reactions
243 Replies
23K Views
Muunganiko wa Nacha na Stamina nahisi ni mzuri zaidi kwa sasa Tazama pini hili
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa maoni yangu wafuatao ni kumi bora ya wanaJF walioleta nyuzi zenye kujenga, kuburudisha na kuelimisha kwa mwaka 2022; 1. Pascal Mayalla 2. MamaSamia2025 3. Etwege 4. johnthebaptist 5...
10 Reactions
81 Replies
4K Views
Boshoo kama upo humu hii ni yako.. Style yako ya kurap na uwandishi bado ni moja tu. Tangu....atoke Tanga hadi kwenda dar kutafuta tobo bado ni hivyohivyo tu.. Clouds Media wanambeba lakini...
1 Reactions
8 Replies
980 Views
Ndugu zetu waislam, huyu jamaa sasa mshaurini akiwa katika ibada apunguze kukengeuka na ushamba wake usiomuisha. Kwenye inada ya Umra huko Mecca ameonekana akiwa airpods zake. Huu sasa ni ushamba...
6 Reactions
40 Replies
4K Views
Tabibu Year si nikuambia karma iko real ila haukutaka kunisikia ujeuri na ufedhuli wako ikopelekea hivyo wewe ni ulimuovertake yule bwana pale maeneo kutokana na pesa zako then ukamchukua malkia...
8 Reactions
46 Replies
4K Views
Huyu jamaa kwa kipindi kifupi ameweza kuwa mwanamuziki maarufu na mwenye mafanikio duniani. Kafanya shows nyingi, kajaza watu kwenye show zake na mengineo mengi. Je, siri ya kufanikiwa kwake ni...
8 Reactions
82 Replies
6K Views
Nyota wa sinema Bongo, Jackline Wolper ameibuka na kutoa neno la kifamilia kwamba, mwanaume atakayeweza kumpa kibendi, yeye atamkirimia kwa kumjengea nyumba ya kisasa yenye mahitaji muhimu ya...
4 Reactions
129 Replies
18K Views
Unamsujudia vipi MWANADAMU mwenzako 👇 sijui ulimbukeni au ustar ndo unamuendesha. Wamakonde manafeli wapi?
6 Reactions
99 Replies
11K Views
Laiti ningekuwa namfatilia huyu jamaa ningejaribu kumsifia na kumkosoa....kwa popote nlipokuwa namwangalia. Hivi wakuu anagusa zile Level za kina Joti, Idriss,Jaymond, Nalimi , Bro K , MauFundi...
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Tupeane tips za kujulikana hapa bongo kuwa super star., Ni kama vile nahisi ukiwa star ndiyo hata mabwana wenye pesa unawapata maana siye wengine tunaitwa warembo huku mtaani lakini dah! Mabwana...
9 Reactions
135 Replies
7K Views
Hatari na nusu. Ndugu zangu leo nawapatia majina ya wanawake hatari mmoja bada ya mwingine ili nanyi muweze kushuhudia jinsi wanavyotisha. Katika mtiririko ufuatao Kadiri navyo waorodhesha...
10 Reactions
59 Replies
6K Views
Wasanii mbalimbali wamekua wakitoa tungo kuwasifia wazazi wao hasa mama. Hakika upendo wa mama ni wakipekee sana, mama anambeba mtoto miezi 9 anamlea na anavumilia mengi mpaka mtoto anakua mtu...
3 Reactions
128 Replies
12K Views
Back
Top Bottom