Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nimebahatika kuitazama video ya wimbo wa Meja Kunta aliowashirikisha Marioo na Mabantu ,tuongeeeni tu ukweli video ni kali mno yani haichoshi kuitazama. Uwepo wa Marioo kwenye huu wimbo umezidi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Selena Gomez becomes the first woman in history to surpass 400 million followers on Instagram.
2 Reactions
12 Replies
807 Views
Siku mwana FA akiimba ngoma kali kuizidi BINAMU naombeni mnishtue... Hii Binamu imejaa punchline sana,Beat moja nzito kutoka kwa Marco Chali....Flow unyama kabisa...
8 Reactions
73 Replies
6K Views
Katika Nchii ya Tanzania linapokuja suala la muziki na wanamuziki wanaweza Kuimba nyimbo Kwa kizungu nadhani harmonize ni mmoja wa wasanii hao, ameweza kutoa hit song nyingi alizoimba kizungu...
12 Reactions
45 Replies
3K Views
Kwanza nimpongeze Abdul Naseeb kujiita Diamond Platinum. Unapojinenea baraka ni dhahiri utazipata na kinyume chake. Sasa yeye kujiita majina ya vitu vya thamani sana, vya kipekee na vyenye mvuto...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Huyu said comorien alikuwa producer na muimbaji na sehemu kubwa ya wasanii waliofikisha mziki wa old bongo. Jamaa kwenye vinanda alikuwa yupo poa na kutengeneza mabiti kama. Nyimbo za msanii...
10 Reactions
18 Replies
3K Views
Kwamba wakati mwenzake anapamba na kukata mauno huku bongo, yeye alikuwa anakula raha Italy, ila ghafla anakuja mtu kudai apewe nyumba na mali zote, na mahakama imekubali, kwamba tuendelee kukataa...
6 Reactions
149 Replies
12K Views
Wakuu natumaini mko poa. Leo naandika nikiwa na hasira nyingi dhidi ya mtu anayeitwa Hakika Ruben. Huyu ni mtu maarufu mitandaoni kwa clips zake za vichekesho. Kwa upande wangu nampongeza kwa...
15 Reactions
447 Replies
34K Views
Majarida mbalimbali nchini Marekani yameorodhesha rapper 10 ambao wanachaji kiasi kikubwa sana cha pesa kwa ajili ya kumshirikisha kwenye wimbo wako wowote ule. Katika orodha hiyo mkongwe...
2 Reactions
55 Replies
3K Views
Adamu 'Mibangi' mtangazaji wa Clouds wa kipindi cha XXL amempiga makonde mazito msanii wa siku nyingi Q Chief/Q Chilla/Savimbi mnamo tarehe 1 March 2023,alivyokwenda kutambulisha/Kupreview Album...
33 Reactions
266 Replies
28K Views
Miaka Ile wimbo wao ulibamba sana😊😊 Alicom na Celina_wapambe Katika pita pita nimesikia uki pigwa Enzi izo ulikua moto Africa mashariki na kati🌍🌍 Jamaa sijui yupo wap Kwa Sasa... "Wapambe tusi...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Limekuwa ni suala linalojirudia kila siku kwa Adam Mchovu kama sio kupiga watu basi kutukana ama kufanya mambo ya fedheha. Kushindwa kwa uongozi wa Clouds Fm kuweza kumdhibiti na kumpa adhabu...
11 Reactions
25 Replies
3K Views
Bongo sijaona mwana Hip hop ambaye anaweza kuflow kama Jose Mtambo. Sijaona. Kama yupo mtaje wa kumshinda Jose Mtambo kwenye flow[emoji91][emoji91][emoji119] #forgive me
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Mwanamuziki huyo wa Nigeria amekosolewa vikali kwenye mitandao ya Kijamii baada ya kuvaa gauni lenye 'ngao' iliyowazuia wahudhuriaji wengine kuonekana na kuona mbele. Gauni hilo jeupe lililokuwa...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Rapa na Mfanyabiashara William Leonard Roberts II a.k.a 'Rick Ross kupitia ukurasa wake wa Instagram ameshare video ikionesha mabadiliko aliyofanya kwenye Sakafu ya Jumba lake la kifahari kwa...
14 Reactions
136 Replies
14K Views
Hi good people, Leo wakati msanii Fareed Kubanda - Fid Q yuko ndani ya XXL ya Clouds fm anatambulisha ngoma yake mpya inaitwa Bongo Hip Hop, mtangazaji Adam Mchomvu amekuwa anambana na maswali...
0 Reactions
28 Replies
14K Views
====== Watangazaji wa kituo cha wasafi Baba Levo na Juma Lokole wamezua sintofahamu baada ya kurushiana maneno yanayo hashiria kuhusika na vitendo vya kishoga na ufiraji ambavyo ni kinyume na...
5 Reactions
28 Replies
6K Views
For the first time since leaving her former record label, Konde Music Worldwide, artist Anjella has collaborated with musician Izzo Bizness to release a new song titled "It's Okay"
2 Reactions
7 Replies
656 Views
The Cursed Child is all about coming to terms with the legacy of Harry Potter is out now.
5 Reactions
73 Replies
7K Views
Back
Top Bottom