Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Katika mambo yaliyotrend siku ya mwisho wa mwaka 2020 ni suala la mchepuko wa Mwafrika tajiri kuliko wote, Aliko Dangote kuweka hadharani mahusiano yao akidai moyo wake kuvunjwa katika vipande...
12 Reactions
66 Replies
11K Views
Leo nimecheka sana, hii ni Press Conference yake ya pili naiangalia anazungumzia Katiba Mpya na kumjibu Lema mambo ya Bodaboda naona kama ni Comedian. Hapo nyuma niliangalia nyingine akitoa...
1 Reactions
4 Replies
775 Views
Wakuu kwema? Darasa na Stamina at their peak nani hatari zaidi? Nani ana punchline nzito, ni nani mkali zaidi linapokuja suala la Hip Hop? Stamina Vs Darasa. #Forgive Me.
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Balozi wa Njaa tokea Tanzania. Flaviana Matata. Mimi sijapenda hizi picha aisee huyu model au ? Daah kweli kakosa ubunifu vazi gani sasa... uongo dhambi kachoka kiakili. SEMA UMEUPIGA MWINGI...
6 Reactions
91 Replies
9K Views
sisalimii leo Huyu kijana anajulika sana mwazo watu hawakuwa wanamuelewa sasa baada ya kumaliza chuo pale UDSM ndipo akapata mpenyo wa kujulikana mwazoni watu walikuwa hawamuelewei kabisa...
12 Reactions
125 Replies
14K Views
Moja kwa Moja.. Msanii maarufu Justin Bieber ameshea video kwenye account yake ya instagram akieleza hali hiyo iliyompata inayosababishwa na virus aitwae 'Varicella zoster' ambao hushambulia...
9 Reactions
50 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa Mhandisi wa Twitter aliyezungumza na BBC kwa sharti la kutotajwa, amesema Mfanyabiashara huyo anayemiliki Kampuni za #SpaceX, #Tesla, Twitter, #Neuralink na #TheBoring hutembea na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Unaemuita brother, nae ana brother wake[emoji4]. Kelvin hart- 5.2ft Dwayne johnson- 6.5ft Shaq O'Neil- 7.1 ft Yao Ming - 7.6 ft
17 Reactions
66 Replies
4K Views
May you be gifted with life’s biggest joys and never-ending bliss. After all, you yourself are a gift to earth, so you deserve the best. Happy birthday Meeyah Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
69 Replies
5K Views
Wanabodi, Leo ni kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha mtangazaji huyu mwanamke wa RTD baadaye TBC, Halima Mchuka, aliyefariki siku kama ya leo, miaka 10 iliyopita. Huyu ndiye Mtangazaji mwanamke...
9 Reactions
14 Replies
5K Views
Kwanza kabisa hongera sana Lulu kwa kuolewa, hapa wambea umetukomesha, yaani umetuvua nguo Mchana kweupe, mxieew mbwa wewe, shoga umeokota embe dodo mjini, jiji gumu hili, Dada ako Warumi nina...
38 Reactions
208 Replies
30K Views
Kampuni kubwa ya mavazi ya Adidas imevunja mahusiano ya kibiashara na rapa Ye, anayejulikana kama Kanye West, na kusema "Haivumilii chuki dhidi ya Wayahudi na matamshi yoyote ya chuki"...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Kampuni ya Adidas ipo hatarini kuzidiwa na wapinzani wao, Puma katika kutawala soko la biashara ya mchezo wa soka kutokana na kuelekea kupata hasara ya Pauni Milioni 450. Adidas inatarajiwa...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Makosa ya kimatibabu yaligharimu uhai wake Mwaka 2005 Stella Obasanjo mke obasanjo (aliyekuwa rais wa nigeria) akiwa anakaribia kusherekea birthday yake ya kutimiza miaka 60.. aliamua kusafiri...
16 Reactions
27 Replies
4K Views
Huyu kijana alitamba sana kipindi cha nyuma kwenye kwenye shindano la kusaka vipaji vya kuimba BSS. Kutoka na kupiga guitar kwa umaridadi mkubwa na kuimba vizuri kulimfanya ajizolee mashabiki...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wayne Rooney’s son Kai says he sees himself playing in the Premier League in 10 years time - and that his biggest inspiration is his dad. The 13-year-old is currently in Man United’s academy...
5 Reactions
6 Replies
816 Views
Siku ya jumanne tarehe 28 Paula mtoto wa Pfunky na Kajala ameachana na ukapera rasmi baada ya kufunga Ndoa na raia wa Nigeria ambae anaishi Dubai anayeitwa Ally. Mungu amtangulie maana shule...
27 Reactions
113 Replies
11K Views
Salaam Wakuu, Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana kwenye Insta Story ya Diamond amepost wimbo wa Alikiba. Je, uhasama wao umeisha au?
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Wesley Snipe 60, Will Smith 54, Eddie Murphy 61, Martine lawrence 57.
46 Reactions
103 Replies
8K Views
Back
Top Bottom