Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

STAA wa Shindano la Big Brother, Mwisho Mwampamba, amesikitishwa na vitendo vya ubaguzi alivyofanyiwa na Polisi wa nchini Namibia, anakoishi na mkewe, Meryl Shikwambane, ambapo walimfuata kwenye...
2 Reactions
38 Replies
14K Views
Nanukuu, "Clouds fm siwaelewi mnatafuta nini . Nahisi mnatafuta kupakazwa mafuta ya ubuyu . Tafadhali Kusaga naona heshima inapungua . Hadi mifugo yako hujawalea vizuri . Mimi sio msanii na pia...
3 Reactions
61 Replies
15K Views
Hii performance yake kwenye uwanja wa Azam Chamazi kwenye tamasha la AZAMKA...ndio best show in 2022.. Keep it up chui...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Nimepata wasaa leo nikaskiliza album mpya ya barnaba classic. Ni album nzuri kwakweli lakini nilivyofika kwny track aliyomshirisha Marioo, kuna kitu tofauti kabisa nikagundua kwny ngoma hiyo. Yule...
13 Reactions
20 Replies
3K Views
UAMUZI WA RAYVANY KUONDOKA WCB UTAMPELEKEA KUPATA ANGUKO KUBWA KATIKA MAFANIKIO YAKE: Ikumbukwe kuwa Rayvany alishajiondoa WCB lebo mama iliyomkuza tangu alipoondoka kwa Madee akiwa msanii...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Huyu kijana wa Banza Stone Hanstone ninaamini ana kipaji kikubwa sana. Ameonesha uwezo mkubwa sana kwenye wimbo wa Iokote alioshirikishwa na Maua Sama, na hatimaye nyimbo zake mbili ailizozitoa...
5 Reactions
57 Replies
6K Views
Natanguliza pongezi zangu kwa mtajwa hapo juu ambaye alikuwa mbeba MABOX maarufu huko USA, na mambo yalivyozidi kubana akarudi nchini, kafanya mambo makubwa kwenye mitandao ya simu nchini kwa...
0 Reactions
269 Replies
50K Views
JE ALICHOKIFANYA HARMONIZE NI SAHIHI? Msanii Harmonize Kupitia Kionjo cha Wimbo wake Mpya Dunia Ameimba kuwa Anaamini Mungu yupo na Anajua hata akitaka kumchukua Sasa Hivi anamchukua Lakini...
4 Reactions
27 Replies
9K Views
Serious mtu unahejisifu kuwa umekaa sough Africa kwa miaka kadhaa unaenda kumteka mtu mbele ya kamera na kumlazimisha akili maneno ya uwongo ambayo umeyapanva wewe. Seriously mtu mwenye exposure...
10 Reactions
121 Replies
18K Views
Naa Ashorkor In Conversation With Gurudev Renowned Ghanaian actress and media personality Naa Ashorkor sits down with Gurudev to ask him some never before asked personal questions! She goes on to...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Msanii Raymond Shaban Mwakyusa AKA Rayvanny aliyepo chini ya label ya Wasafi Classic Baby (WCB) amesema atahakikisha anatoka kwenye label hiyo kwa amani. Katika kipindi cha Salama Na Rayvanny...
11 Reactions
126 Replies
21K Views
Habari zenu wakuu, Huyu mkenya Otile brown nadhani Yuko underrated Sana, Maana nyimbo zake Kali lakini hajulikani kiivyo. Kuna nyimbo aliitoa na Sanaipendi Tande inaitwa chaguo la Moyo kusema...
13 Reactions
77 Replies
7K Views
Huyu jamaa alikua anaitwa Cazy-T mwana wa komba alikua anawimbo amemshirikisha Sara unaitwa Nakuihitaji mpenzi wangu Nakuihitaji unaniita? Halafu na Yule jamaa alikua anaitwa Emmanuel Nkulila...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Mtumishi Boniface Mwamposa amesema shetani alikuwa Mwandishi wa habari, wanaoandika habari mbaya wapo upande wa shetani, ameyasema hayo Agosti 15, wakati wa uzinduzi wa Taasisi ya Wananchi...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Barnaba Classic aka Mopao aka Mtukazi ambaye kesho anaachia album yake yenye hadhi ya kimataifa album inayoandaliwa kwa ajili ya international market. Amesifu namna Diamond Platnumz alimpokea na...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Huu ndio utaratibu mpya wa recording label namba moja Africa. Japo hauwezi kuzuia watu wabaya kuwarushia maneno ila utapunguza wachimba chumvi kutema nyongo zao. Kwa sasa kupata nafasi WCB...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
Mchekeshaji wa muda mrefu Sobogani Zabron maarufu Erick Kisauti amefariki Alfajiri ya leo akiwa nyumbani Kwa Ndugu zake Kibaha Mkoani Pwani. Mchekeshaji mwenzie, Masai Nyota aliyewahi kufanya nae...
10 Reactions
63 Replies
8K Views
Ali Kiba kaanza kuimba zamani sana aisee, miaka ya 2006 jamaa aliwahi kupewa milioni 200 kwa mauzo ya kaseti na cd zake, hio milioni 200 ya enzi hizo naweza kusema ni kama milioni 600 ya sasa...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Msanii ni kioo cha jamii na jamii ina watu wenye uwelewa tofauti na hupokea ujumbe katika mapokea tofauti. Mfano tamdhilia ina kipengele cha mama wa kambo mtesi wa watoto. Nia ya sanaa ni kuweka...
1 Reactions
5 Replies
661 Views
Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepost video fupi katika ukurasa wake wa Instagram akionyesha yupo mbugani akiwa anakula maisha. Japo hajaeleza kuwa yupo katika mbuga ipi...
13 Reactions
48 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…