Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mjadala unaendelea mitandaoni wakishindanishwa Nandy na Zuchu nani hodari wa kuimba? Kura yako kwa nani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
48 Replies
11K Views
Utafiti huru ulofanyika Twitter kwa siku 5 mfululizo ambao uliuliza: Kati ya wasanii wafuatao, nani alikuwa maarufu zaidi au nani kawa maarufu zaidi kwa muda aliowika? Na matokeo yakawa high...
9 Reactions
174 Replies
23K Views
Mpira wa miguu haujakamilika bila kuwepo mawakala. Wao ni watu pekee wanaodhibitishwa na FIFA kusimama kama "mtu kati" katika uhamisho wa mchezaji na makubaliano ya mikataba yao. Hata hivyo...
4 Reactions
24 Replies
10K Views
Blog za Naija zinaripoti kwamba Onesho la Burna Boy limeuza tiketi zote 20,789 kwenye ukumbi maarufu wa Madson Square Garden NY kwa Mzee Biden Swali ninalo jiuliza ni; Je ni kweli anakubalika...
0 Reactions
5 Replies
999 Views
Wanasema mchawi pesa aisee. Wakati mtu unapambana upate hata ka corolla namba A, Bwana Erick MwaiRoS (Rick Ross) ameonesha umwamba baada ya kununua gari ya kijeshi Aina ya APC. Sasa sijui la kazi...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Huyu mshikaji alikua na ngoma yake inaitwa Mshikaji demu wako ananitaka. Yupo wapi huyu mwamba siku hizi?
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Nna uhakika asilimia zote huwezi kupata nyimbo mbovu za Jason Derulo na Chris Brown. Sijui ni lini Dj Khaled atawakutanisha Chris Brown na Jason Derulo kwenye ngoma moja. Binafsi hii...
1 Reactions
4 Replies
588 Views
Siku mbili tangu akaunti ya YouTube ya Diamond Platnumz iliporipotiwa kudukuliwa, akaunti hiyo imeondolewa na YouTube wenyewe kwa kilichoandikwa kuwa mtumiaji amekiuka masharti ya mtandao huo...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Kama Mataycoon wengine wanavyofufuka kwa kasi naona na Bongo Movie wameanza kutikisa Macho. Ingawa wanasingizia kifo cha Kanumba ndiyo kimewamaliza ila kiuhalisia kilichowamaliza awali ni kukosa...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Kuchukulia positive au negative ni juu yake na Management yake ila kimsingi anaboa sasa na ndiyo ukweli wenyewe japo mchungu. Dogo kazidisha kiki hadi umegeuka utoto hata anachokifanya kwenye...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi? Huyu hitmaker wa Nisamehe Yuko wapi siku hizi kapotea Sana kiukweli
4 Reactions
36 Replies
5K Views
Sakata la Steve Nyerere kuibua zengwe baada ya kuteuliwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki nyuma yake kuna siasa ambayo inaendelea kuutafuna mgogoro huo. Hii hapa ni video jinsi ambavyo...
3 Reactions
64 Replies
6K Views
Huyu jamaa alivuma sana na ngoma alizoshirikiana na ngoma na Marehemu Ngwair kama vile demu wangu na Mitungi. Kuna muda wakawa na mgogoro ambapo ilisemekana Mchizi mox ndiye aliyeandika wimbo wa...
5 Reactions
18 Replies
3K Views
nimechelewa kuskiliza hii interview ya Kondeboy kwa ambao ni outdated news samahanini. Hatuhitaji vijana wenye roho kama ya huyu jamaa, no wonder why our music is not doing well internationally...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Hawa jamaa walikuwa vizuri sana enzi za kundi la Nako2nako. Mfano Ibra nadhani alikuwa anakubalika kuliko hata G Nako. Ila siki hizi siwasikii kabisa. Hivi bado wanafanya mziki au waliachana na...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Najua wengi wenu wapenzi wa franchise ya The pirates of the carribean. Na najua bila shaka mnaipenda kwasababu ya Captain Jack Sparrow ambayo ni character inayochezwa na Johnny Depp. Ila kwanza...
7 Reactions
44 Replies
5K Views
Assalam wana jamvi! poleni na majukumu ya hapa na pale katika maisha! Moja kwa moja niende kwenye hoja! wakati mwingine ni kweli yamkini hainihusu, lakini hiki ndo kizazi chetu, ndo vijana wetu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Imekuwa ni tabia ya Wasanii wengi kutumia Ngada wanapopata umaarufu hali inayopelekea vipaji vyao kuzimika kama mshumaa jangwani. Hivi karibuni kumekuwa na tetesi za Msanii darasa kuwa katika...
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Vigezo vyangu A. Mashairi B. Ujumbe C. Heshima ndani ya Mashairi D. kucheza na jukwaa E. Muda wa Mziki wake kudumu Hizo index mbele zimetokana na Calculator ambayo imeshusisha umri wa...
5 Reactions
42 Replies
7K Views
Hii familia ya mzee Zahir Zorro ni waumini wa dini gani? Nimeshangaa huu msiba wa Maunda unavyoendeshwa!!
7 Reactions
129 Replies
16K Views
Back
Top Bottom