Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Carola Daniel A. Kinasha ni mwanamuziki wa Tanzania anayefanya muziki wa Asili na akichanganya na usasa, Mwanamama Carola alizaliwa miaka ya 60 katika kijiji cha Longido. Alianza kujishughulisha...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu Nimejaribu Kupata Katiba Ya Shirikisho la Wanamuziki Tanzania na Nikaisoma Hyo Katiba Yao, Hakuna Pahala Popote anapotajwa Mtu Kuwa Na Cheo Cha Mhamasishaji. . Katiba Yao Pia Ina Mapungufu...
0 Reactions
5 Replies
999 Views
Baraza la Sanaa (BASATA) limesema kuwa Msemaji wa Shirikisho hilo aliyeteuliwa, Steven Mengere asianze kutekeleza majukumu yake hadi hapo itakapoamuliwa na Baraza hilo. BARUA YA BASATA KWA...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
DON NALIMISON NALIMI (born June 28, 1980), known professionally as DJ. DON NALIMISON, is rapper, RnB singer, songwriter, and record producer. Born and raised in KAHAMA, TANZANIA, EAST AFRICA, his...
15 Reactions
61 Replies
7K Views
Hello jamii forum wote, Natumai mu wazima,kwa wale walio log in hapa jf wakiwa na msongo wa mawazo ,basi tuzidi kumuomba MUNGU kila kitu kitakuwa sawa Matatizo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu...
0 Reactions
4 Replies
545 Views
Shirikisho la Muziki Nchini Tanzania ambalo Fid Q Ni katibu Mkuu, lilimtangaza Steve Nyerere kuwa Msemaji wa Wanamuziki Wote nchini. Wasanii wamaupinga huu uteuzi na kudai wanataka Kusemewa na...
8 Reactions
157 Replies
12K Views
wapi na wa wapi dereva awe msemaji wa wapishi, mchekeshaji awe msemaji wa wana muziki.... haya mambo yalifanyika kwa kukurupuka mno kwa kweli, Kwanini Steve Nyerere anang'ang'ania sehemu ambayo...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari Wana JF. Ukiacha kwamba huyo dogo kajipambanua na Utopolo kwenye remix ya Utopolo Tamu. Dogo anajua sana na ni mfalme wa amapiano hapa TZ, chagizo langu kwa huyu dogo nwenye kunipa raha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Malkia wa kiwanda Cha bongo movie kwa jina lingine anaitwa "maltida" ambaye pia yupo kwenye tamthiliya ya "Rebecca" inayooneshwa na DSTV amefunguka wakati anafanyiwa mahojiano na millardayo...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Humu leo sijui kama patatosha! Nimekuwa nikijaribu kudigest sifa ambazo wadau wengi wamekuwa wakimpatia msanii Fid Q, kwamba ni mtu makini, mwenye upeo wa hali ya juu. Kiukweli nimejitahidi sana...
26 Reactions
190 Replies
31K Views
Wasalaam Msanii Wkazi Muziki anapanga kumuandikia barua Rais Magufuli barua kuwashitaki Steve na RC makonda kwa kuwaita wasanii Leaders Club kupitia instagram.. Baada ya wasanii wachache...
42 Reactions
139 Replies
18K Views
wakuu naamini wengi wetu humu huwa tunafuatilia vichekesho vya youtube kule hasa kutoka kwa wachekeshaji wa bongo . Mimi binafsi huwa napenda short clips yani vichekesho vifupi vifupi ambavyo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanamiliki nyumba nyingi lakini hataki kuzionyesha. Akiongea katika kipindi cha Uhondo cha EFM Jumatano hii, Steve...
2 Reactions
72 Replies
10K Views
Msanii wa Hip Hop, Webiro Wakazi Wassira maarufu kwa jina la "Wakazi" amejikuta akiwa katika wakati mgumu baada ya kuandika katika mtandao wa Twitter kuwa Albert Magwear alikuwa ni rapper mzuri...
8 Reactions
198 Replies
16K Views
Duhhh.... Kwani anafaidika na nini hata afikie kutishia kwenda mahakamani..??[emoji848]Michango ya misiba/Mambo mbali mbali yanayohusu wasanii. Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
3 Reactions
5 Replies
1K Views
"Sijiuzulu na wala sitoki, nina nia ya kuendeleza industry (tasnia ya muziki) ya nchi hii. Amesema hayo Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT); Steven Nyerere, akiwajibu watu waliomtaka...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Jamaa anaimba SHIT tupu halafu anapata viewers hadi bilioni kupitia ujinga wake huko YouTube na ana wafuatiliaji si chini ya 20 milioni. Yaan video zake ndio balaa tupu video vixen wana mizigo...
5 Reactions
50 Replies
5K Views
Hivi huyu waziri ambaye ni AL-HAJI naye ana bendi ya Muziki? ama kweli usilolijua litakusumbua
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Akihojiwa kwenye kipindi cha the Switch, Wasafi FM, alisikika akisema "huyo (yaani Ali Kiba) yupo kwenye game muda sana, mbona sasa hana media yake?" Diamond akaendelea "mimi kunilinganisha na...
38 Reactions
276 Replies
21K Views
This is what I have been expecting from Zari , Sasa mastaa wabongo mtulie mjifunze maana ya reality show kwa Zari sio reality show zenu hizo fake za Instagram, can’t wait for this [emoji91] Can’t...
12 Reactions
42 Replies
7K Views
Back
Top Bottom