Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

HAJANITENDEA HAKI : WAMECHUKUA ACCOUNT ZANGU ZA INSTAGRAM. Mshambuliaji anasema baada ya kuanza mchakato wa kurudi #EFMnaTVE, account zake za instagram zilidukuliwa. Asema hajui ni nani amefanya...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Shabiki wake nimem miss sana. Nimekumbuka wimbo wake wa darasa huru Wasanii wa zamani walikuwa na ngoma kali sana ila pesa wengi hawakupata. Walipata ma promota tu
0 Reactions
24 Replies
5K Views
1. Ukwasi 2. Ubontaun 3. Busara 4. Eposure 5. English Kali 6. Kampani pr na washkaji Maulid Kitenge Masoud Kipanya
3 Reactions
87 Replies
13K Views
Roma amtolea uvivu Nikki Mbishi, Fanya muziki acha majungu badilika muda unaenda haurudi nyuma. Wakuu Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Roma Mkatoliki ameandika kuwa : “Niki!! Punguza Chuki...
7 Reactions
69 Replies
8K Views
hajismanara Wakulungwa wa kibongo waliopo South huuita lile Jiji kama Debeni,,, Yes ni Durban !!! Familia ya kitajiri isiyo na makeke ya Bakhresa inamiliki kiwanda kikubwa cha Unga chenye uwezo...
12 Reactions
29 Replies
3K Views
Mbona kimya sana kuhusu hawa watu, wenye taarifa zao atwambie maana tunawakumbuka sana. 1. Snoop lee 2. Mabaga fresh 3. Rich one 4. sister P 5. Zay B 6. Suma G 7. Rado 8. Balozi 9. Pauline Zongo
0 Reactions
36 Replies
9K Views
Mpenzi wa zamani wa Cristiano Ronaldo, Irina Shayk aliwaambia wafuasi wake wa Instagram wam-unfollow kama walimfollow sababu ya Cristiano Ronaldo baada ya kuachana unajua kilichotokea? Alipoteza...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Huko twiter mambo yameanza mabosi wa Simba waanza kum unfollow Diamond [emoji184] Platinumz
9 Reactions
113 Replies
12K Views
  • Closed
Mpe marks captaiin anajua kuchagua??
0 Reactions
17 Replies
5K Views
WanaJF naombeni mnijuze kuhusu mdadaa shamim Mwasha mke wa Abdul, mmiliki wa blog ya 8020 fashions alifanya baby shower nzuri sana. Ni mzuri mimba ilimpendza kwel je kajifungua?
1 Reactions
166 Replies
40K Views
Wakuu, napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia Mama yake kuwa ametendwa na mwanamke, Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe, hivi Lucky Dube akuacha watoto wakubwa?
11 Reactions
117 Replies
27K Views
Yaani Manara kasifiwa na Chama Insta Live , Tajiri wenu amekasirika kabisa. Ni hakika yale aliyosema Haji tumeanza kuona ukweli wake. Huyu mtu ni mshamba sana, tajiri gani ana tabia za kimaskini !.
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Katika vitu tutaendelea kumshukuru Chibu ni kutuletea mastaa wapya kwenye entertainment industry. Kunaaliowatengeneza direct kutumia mikono yake na kuna waliopata umaarufu kwa kutumia jina lake...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Nikki wa Pili alikuwa akiwaponda sana watu walioajiriwa mpaka akatoa wimbo wa sitaki kazi. Alisema yeye anataka kuajiri na sio kuajiriwa. Swali, ameteuliwa uDC. Je, atakataa?
9 Reactions
47 Replies
7K Views
One of the most famous singers in the world made the bulk of her money offstage — in a joint venture with LVMH Rihanna's beauty line accounts for most of her wealth. CAROLINE MCCREDIE/GETTY...
8 Reactions
58 Replies
6K Views
Mteule wa JOTO LA ASUBUHI Mh. Mangele Seteve Nyerere, Amekula kiapo na kuanza majukumu yake katika kuhakikisha mskilizaji wa E-fm anapata habari na uchambuzi was magazeti. Mwanzo mwisho burudani...
1 Reactions
42 Replies
8K Views
Wakuu gusa link hiyo ili uniwezeshe nishinde hiyo milioni moja (1) toka twa Mo Dewji. Hakisha una RETWEET Asante
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwa msanii mkongwe kama Ali Kiba kushindwa kumpiku Zuchu ni aibu kubwa sana. Inamaana Zuchu amekuwa mkubwa kuliko Ali Kiba? Ni maswali tu wanayojiuliza wataalam wa mambo ya muziki.
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Sio mpenzi sana wa kutoa maoni yangu kwa mambo madogo madogo hasa yasiyo ya lazima kama mambo ya muziki na filamu. Ila leo nimeona sio vibaya kusema kitu kwa huu uonevu unaondelea kwa komredi Ali...
20 Reactions
72 Replies
7K Views
Wengi tunakumbuka miaka ya nyuma Diamond ndie alikuwa msanii pekee aliekuwa ana promote video zake kwenye mitandao ya kijamii kwa kulipia, hiii ikapelekea kuongezeka kwa umaarufu mpaka sasa...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom