Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Tupunguze Kumsifia ' Kinafiki ' na tujipange Kwanza katika Kumsaidia ili apone na arudi katika ' Game ' kama kawaida. Kwa tunaojua Imani za Kiafrika kumpamba na kumsifia Mtu ' Mgonjwa ' sana ni '...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Kupitia Instagram yake Fahyma ambaye ni mama mtoto wa Rayvanny ameandika kuwa:- NAOMBA IFIKE MUDA MUWE NA HESHIMA NA JINA LA MTU UNAE TUMIA PICHA YANGU NA JINA LANGU KWA MANUFAA YAKO SHERIA...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Nataka kumkumbusha Rayvanny asi concentrate sana na Papuchi akasahau mziki wake, akumbuke yeye bado ni muajiriwa wa label ya wasafi, asipofanya kazi hali... Sasa yeye aendelee kutangatanga na huyo...
20 Reactions
106 Replies
15K Views
Nampenda Jay kwasababu anaimba na kuandika maisha yake halisi. Ukisikiliza nyimbo yake ya You Must Love Me na Kill jayz, amewahi kutaja kisa cha kumpiga risasi kaka yake, akiwa na umri wa miaka...
16 Reactions
73 Replies
12K Views
Wahenga salaam, Nakumbuka zama hizo Sinta aliibukia kwenye uigizaji enzi hizo na ray Kigosi , ghafla Shigongo naye akadondoka na magazeti ya udaku, miaka hiyo penzi la P Didy na j lo linatamba...
27 Reactions
148 Replies
38K Views
Wakuu Huyu Ndio Mshindi Wa Shindano La Miss Kyelwa 2021. Hakika Muandaaji na Majaji Wametisha Sana Kwenye Hili. Hongera Kwa Mshindi na KAZI IENDELEE [emoji281][emoji281][emoji281]
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwimbaji Staa kutokea Bongo Flevani, Ruby ameibua minong’ono mtandaoni baada ya kumpost aliekuwa mpenzi Aunty Ezekiel aitwaye Mose Iyobo na kuandikia maneno yanayoashiria kimahaba. Ruby kupitia...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Huyo hapo chini ndiye mchumba wa AY na ana asili ya Yemen na visiwa vya Shelisheli. Hapo ilikuwa Jumapili iliyopita Club Bilicanas. Amesema katika harusi yake hatachangisha michango kama baadhi ya...
7 Reactions
137 Replies
28K Views
Picha ya Mwanamziki Lady Jaydee Uchuro? Baada ya kutundika mtandaoni kwa mara nyingine picha za jeneza alilojiandalia litakalotumika siku akiaga dunia, mwanamuziki Judith Daines Wambura Mbibo...
3 Reactions
76 Replies
10K Views
Steven Kanumba Popular Tanzanian and occasional Nollywood actor, Steven Kanumba, has been reported dead. The cause of his death has not been officially confirmed, but reports have it that he...
12 Reactions
2K Replies
332K Views
Kwa wale ambao ni wafutiliaje wazuri wa mtandao wa Instagram, Jina la Hush Puppy lazma litakuwa sio jina geni kwako. Hush Puppy kijana wa ki Nigeria mwenye mbwembwe nyingi, Hush kijana ambae...
1 Reactions
27 Replies
9K Views
Amesikika Mkurugenzi wa Clouds Media Group, ndugu Joseph Kusaga katika kipindi cha Leo Tena ninamnukuu "Clouds watangazaji hawaondoki kwa taarifa tu, Zamaradi atarejea kuanzia wiki ijayo "...
7 Reactions
38 Replies
10K Views
Huyu mwamba nilikuwa namchukulia poa, hata hvyo huyu jamaa nimegundua ni mtu na nusu kwenye mashairi mazuri, ieleweke mi napenda nyimbo za kusikiliza, ambazo zitaifanya akili yangu ikae itulie...
16 Reactions
30 Replies
4K Views
Diamond Platinumz had just taken delivery of a brand new Rolls Royce when I spoke to him – it’s a blue Cullinan, latest model. It’s the first of its kind in Tanzania and when Diamond took it on...
4 Reactions
40 Replies
6K Views
Wanajamii karibuni poleni na shughuli za maendeleo kwa wale wadau wa Music Kali ebu taja kibao chako kimoja cha grand maitre ulichokipenda Mimi ni matata ya muasi na mobali Ekoki Kosila te(...
3 Reactions
52 Replies
5K Views
Watanzania adui yetu mkubwa kwa sasa ameongezeka. Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini, magonjwa na ujinga. Kwa sasa adui yetu mkubwa ni 1. Wivu 2. Chuki 3. Unafki Ukikaa chini ukatafakari...
3 Reactions
91 Replies
9K Views
Kumekuwa na mijadala mingi ambayo inazungumzia kuhusu mmiliki halali wa wasafi na wengi wakiihusisha wasafi na Kusaga kuwa ni mali yake Hii ni document toka brela ikionesha ni nani hasa...
8 Reactions
41 Replies
11K Views
Hatimaye mwanadada mrembo na mfanya biashara maarufu tokea pande za +254 amefunguka na kudai ameshasaini kila kitu kilichomtaka yeye kufanya hvyo , na Kwa sasa anachoangalia yeye ni biashara zake...
12 Reactions
245 Replies
23K Views
Habari Nzuri kwenye tasnia ya Muziki (bongo flavour) nchini Tanzania ni kuwa msanii Namba Tatu Africa Baada ya Burna Boy ma Wizkid na Namba moja Tanzania ameingia studio na king wa West coast...
9 Reactions
93 Replies
8K Views
Kama picha zinavyojieleza, mlimbwende huyu atinga kwa mjengo kwa mwaliko maalumu.. Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini kama Prof Kabudi, Job...
6 Reactions
244 Replies
28K Views
Back
Top Bottom