Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kwa wanaJF wakongwe hasa wale walioishi Arusha wanaweza kumkumbuka mwanamama HIDAYA (mwanamke wa kwanza kumiliki Toyota pajero ndani ya jiji la Arusha) aliyeimbwa na jitu la miraba minne PEPE...
6 Reactions
120 Replies
90K Views
Mie toka adanganye amenunua rolls Royce toka Mwaka 2018 had leo halijaingia Tz ndo nkajua Kweli mondi NTU WA DILI[emoji16]. Mara anasema ana hotel Sijui wapi , mpaka wa leo hatujawah kuisikia tena...
18 Reactions
170 Replies
23K Views
Seems some of you don't understand so let me explain further. Nassib Abdul also know by his stage name Diamond Platnunz doesn't have the best vocals, He isn't the best at songwriting, He isn't...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limesema halijaridhia kuenguliwa kwa Miss Tanzania 2020/2021 Rosey Manfere, kushiriki mashindano ya Miss World yanayotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu Peutro...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini! Niwaambie tu ukweli, nyie wadada wenye pesa zenu mnaotafuta mabaunsa wa kutembea nao nyuma a.k.a (bodyguard) hasa ma celebrity wengi hapa bongo. Ni kwanini mnatafuta wa kiume badala ya...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Baada ya kununua Rolls Royce Cullinan2021 Moja kati ya Gari za Ndoto yake ya muda wote Star wa muziki Barani Afrika Diamond Platnumz ametangaza kuwa anasubiri kupokea gari zingine mbili...
10 Reactions
77 Replies
10K Views
Masheikh, Masharif, Maustadh naombeni mje mtujuze, je kiutaratibu inakuaje pale muislam anapovaa msalaba? Au ni pambo tu halina ubaya? Maana naona Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz...
13 Reactions
164 Replies
16K Views
13 Reactions
124 Replies
12K Views
Wakuu Tazameni Picha Hizi Ambazo Zimeonesha Wachezaji Warefu Wanapokutana Na Wachezaji Wafupi Kwenye Game Moja [emoji91][emoji91][emoji91] ..... Kimsingi Mm Ni Mrefu Sana so nikionaga Mwanaume...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miss Tanzania 2020-2021 Rosey Manfere hajatangazwa kwenda kushiriki Miss World 2021 na badala yake ametangazwa mshindi wa pili Juliana Lugumisa kutokana na utovu wa nidhamu kati ya Miss Tanzania...
5 Reactions
113 Replies
16K Views
Kuna sintofahamu ambazo zinaendelea mitandaoni kuhusiana na Gari mpya ya msanii Diamond Platnumz Rolls Royce CULLINAN black badge 2021. 1.GARI NI FAKE kigezo wanachotumia watu wenye chuki kuhusu...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Habarini Wana Jf. Good news Ni kuwa Page ya Grammy umeona efforts anazozofanya kijana mpambanaji na msanii A-List Africa (Diamond platinumz, Burnaboy na wizkid) kuwa anastahili Grammy. Na hii...
8 Reactions
45 Replies
6K Views
Waungwana salam, kichwa cha habari kinajieleza, Kwasasa nchini Tanzania ni kipindi gani bora cha burudani kati ya: 1. Empire cha EFM kinachoendeshwa na B dozen na Jonijo 2. The Switch cha...
1 Reactions
52 Replies
9K Views
Hii ndiyo gari la mnyama Platnumz, yaani gari itatua Uwanja wa ndege wa Mwl J.Nyerere terminal lll, likiwa ndani ya ndege ya kukodi ya mzingo.. So far, bei ya gari ni sawa budget nzima ya wizara...
20 Reactions
173 Replies
25K Views
Wakuu, Mwanetu kabisa wa Temeke Mikoroshini kashalamba ubalozi wa Temeke, meya amemkabidhi bendera Juma Nature ili aitangaze Temeke kokote aendako hata akiwa maskani aitangaze Temeke. Hongera...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Ripoti hii inahusisha utazamaji wa video zote za kazi zao zote za Youtube mpya na za zamani, kuna wengine hawajatoa kazi muda mrefu ila bado watu walikuwa wanacheki kazi zao za zamani. Namba...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Safari ya Mwisho ya Albert Mangwea (RIP) katika picha Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Addo Novemba kushoto akijadiliana jambo na viongozi wa Kamati ya Mazishi katika shughuli yaa...
2 Reactions
598 Replies
149K Views
Kijana Diamond Platnumz ni msanii ambae ni fundisho sahihi la namna halisi la jinsI ya kuwa na maendeleo one step at a time, kutumia connections za watu (networking) na kuji brand, pengine niseme...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Nay wa Mitego amesema yeye ni mtu ambaye hapindishipindishi maneno na kama ukikosea au ukimzingua atakuchana ukweli labda hiyo ndiyo sababu ya Harmonize kujishtukia na kumblock Instagram. "Mimi...
6 Reactions
16 Replies
4K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewaita Kamati ya Miss Tanzania pamoja na na Miss Tanzania 2020/21 ambaye amevuliwa taji hilo, Rose Manfere. Kwa mujibu wa taarifa ya Kaimu Katiba Mtendaji wa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…