Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

KOSA KUBWA ALILOFANYA EMMANUEL MBASHA KWA FLORA. 1. Gwajima hakuwa na mahusiano na mkewe. 2. Alimsapoti na kumuamini kupita kiasi na kumuachia maamuzi ya familia. 3. Marafiki zake aliwapa nafasi...
22 Reactions
104 Replies
21K Views
Mwigizaji wa Ghana wa Rosemond Brown maarufu kama Akuapem Poloo ameomba radhi baada ya kupost picha ya utupu (kama alivyozaliwa) akiwa na mtoto wake wa miaka saba. Akuapem Poloo alipost picha...
3 Reactions
118 Replies
23K Views
Fahima anateswa na wivu wa mapenzi baada ya Rayvanny kuweka kambi kwa mtoto Paula. Anamuita Paula anaejiona amepata 😂😂😂 Nakushauri move on Fey hakunaga laana ya Ex...Hicho anachofanya Ray ndio...
8 Reactions
27 Replies
6K Views
Yobnesh Yusuph ndiyo jina lake alilopewa na wazazi wake. 1. Ni mwigizaji brand kwa sasa kwenye soko la film , aliingia rasmi 2008 kupitia movie ya Fake smile iliyoandaliwa na marehemu kanumba, na...
3 Reactions
79 Replies
33K Views
MAJUTO YA PFUNK MAJANI YANATOA FUNZO GANI KWA VIJANA AMBAO HAWAJAOA? Na, Robert Heriel Jana nilipata bahati ya kusikiliza mahojiano ya Clouds na P Funk Majani yaliyofanyika kwa njia ya simu...
21 Reactions
96 Replies
8K Views
Habari za hasubuhi wanajamii. It's very clear kwamba kwasasa Vita ya muziki Kati ya wasafi na kondegang imepamba Moto. Ukifatlia kwa umakini utagundua wasafi wanapambana kadri wawezavyo kumsusha...
3 Reactions
61 Replies
9K Views
Watalamu wa mambo wanasema historian ni mwalimu mzuri sana, wahenga mlikuwa mnafuatilia masuala ya burudani mnakumbuka mtindo wa maisha wa Elizabeth Michael jina Lulu, kabla ajapata tatizo la...
21 Reactions
87 Replies
11K Views
Wakuu nimetizama video moja kwenye account ya Mwanamuziki WA Kikongo, ikionyesha Papa wemba yupo mbele ya steji akiongea na mashabiki akitumia Mic ya nadhani ya Wireless aloshika mkononi, baadaye...
6 Reactions
330 Replies
55K Views
Wakati watu wanaendelea kumpiga vijembe Baba Levo na kumuita majina ya ovyo. Yeye anageuza kejeli na matusi kuwa pesa. Amesaini dili mpya tena leo, wale wajuzi wa kila kitu mnaojua kufanya...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Master P Sisco Dru Hill ODB Laurine Hill Shania Twain KCI & JOJO Keith sweet REY J MONICA COOLIO CRAIG DAVID ALL 4ONE Baadhi walihamishia passion zao kwenye uigizaji kama: Tyreese Ice Cube Quincy...
5 Reactions
150 Replies
14K Views
2014 unaweza kua mwaka mzuri kwa mrembo Kabula. Mrembo huyo aliye panda hewani kama mwenye undugu na Hasheem Thabeet inaelekea kama mwaka huu utakuwa mzuri sana kwake kwani yale mahusiano yake ya...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Wanajamvi katika sakata la kifo cha mtoto Patrick na mkanganyiko juu ya msiba uwe wapi na nani baba halisi wa mtoto kuna huyu mtumishi wa Mungu anaitwa Joel Lwaga. Joel Lwaga mimi namfahamu kama...
3 Reactions
109 Replies
22K Views
10 MOST BEAUTIFUL WOMEN IN THE WORLD 1.Bella Hadid 94.35% 2.Beyonce 92.44% 3.Amber Heard 91.85% 4.Ariana Grande 91.81% 5.Taylor Swift 91.64% 6.Kate Moss 91.05% 7.Scarllet Johhansson 90.91%...
4 Reactions
37 Replies
6K Views
Zari the bosslady is already celebrating the life of a great father #Don , the father of his first three boys ! Tomorrow will mark one year since he left planet earth! Gone but never forgotten...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Wiki hii niliamua ku download nyimbo mpya za bongo ili zinifariji kwenye hichi kipindi kigumu cha maisha sababu na amini burudani ya muziki ni rahisi kukupunguzia mawazo, Nilikosa radha halisi ya...
5 Reactions
31 Replies
6K Views
Habari. Masikitiko makubwa kwa wapenzi wa Tv shows ya Peaky blinders taarifa za kifo cha Polly Gray a.k.a Elizabeth/ Aunt Polly ndivyo alivyofahamika katika cinema hiyo. Pia ni muigizaji...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Kwa wenzetu ishu ya Ushoga (Gay) kwa sasa imeanza kuwa kawaida na bado inaendelea kuwa kawaida hasa kutokana na baadhi ya nchi kwa miaka ya karibuni kuanza kuruhusu ndoa hizo za jinsia moja...
4 Reactions
113 Replies
59K Views
Hoja yangu iko katika wimbo wa "one night STAND" Kutokana na ujumbe uliokuwemo kwenye huo wimbo hakutakiwa kutamka "One night STEND" kufanya hivyo amepotosha maana ya wimbo. Inatakiwa itamkwe "One...
3 Reactions
42 Replies
8K Views
Kuna huyu mtoto anaitwa Hashyat. Alikua anaimba nasheed lakini kwa sasa ameacha kwa sababu ya umri. Kiukweli huyu mtoto kabarikiwa sauti, ana maadili na anajua kujibu maswali vizuri akiwa mbele ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Je unamkumbuka khalifa kiumbe moto? Ndie mchezo karate, kick boxer na judo mahiri zaidi aliyewahi kutokea tanzania. Alivuma sana mwishoni mwa miaka ya tisini. Jina lake Ni Khalifa.... mjukuu wa...
5 Reactions
224 Replies
47K Views
Back
Top Bottom