Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Wanajf naomba kuuliza hili suala je baba mzazi ana haki kwa mtoto aliyemlea was baba mwingine naomba wataalam washeria watujuze pia waungwana
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Esma ame Eleza kwa kirefu jinsi alivyokutanavna aliyekuwa mume wake Msizwa, ndoa ilivyokua, maisha ya ndoa na mipango yake ya baadae. Esma amekanusha kuwa hakutoa ujauzito wa Msizwa bali alikua...
8 Reactions
171 Replies
23K Views
habari wadau nimemuonea huruma sana yule mfanyakazi wa airport. aliyekuwa anazuia asirekodiwe video .. akaambiwa "toka hapa" akanywea kama mwanamke kwa mumewe... vijana tafuteni hela... heshima...
6 Reactions
22 Replies
5K Views
Nimefuatilia mahojiano ya huyu Mzee Abdul baba yake Diamond katika TV ya Carrymastori. Mzee anajikaza kiume. Chini katika maoni nimeona comments za visichana na vivulana vya kizazi hiki...
26 Reactions
115 Replies
15K Views
Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian yapumulia mashine na kutaka kutalakiana. Kwa mujibu wa media za Marekani kwa muda Sasa ndoa yao Haina afya nzuri na ilidhoofu kwa kiasi kikubwa mwaka 2020...
13 Reactions
281 Replies
27K Views
NAKUOMBEA kheri afya mafanikio lakini zaidi nakuombea ufunguliwe katika Ban ya America mtani wangu Heri Ya Siku Yako Adhiiim Baba Keagan Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
33 Replies
6K Views
Pinda awafunika Lowassa Pinda na Ole Sendeka-Makampuni yapitia kwake MBUNGE wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowassa pamoja na marafiki zake na kampuni binafsi, wamechangisha Sh milioni 34.5 kwa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Jamani mji haukosi issue huu.. Katika episode latest ya shoo ya Miss Tanzania 2006, Mlezi wa Wana Originali (akina Shishi wanacopy tu), Wema Abraham Sepetu iitwayo Cook with Wema Sepetu mgeni...
11 Reactions
152 Replies
19K Views
Wasalaam wana jamvi Msanii Harmonize kupitia wimbo wake mpya wa "WAPO" AMEMTUMIA salamu za Mwaka mpya 2021 Harmonize amemkumbusha Diamond kuhusu umuhimu wa wazazi wote wawili hasa wakiwa hai...
6 Reactions
93 Replies
13K Views
Kimsingi Dullysykes ni nyoka mbaya sana kucheza naye ,ni mtu ambaye amesurvive mwanzo kwa ubora wa kazi zake kama julieta ,nyambizi na hi,baada ya hapo akajua kucheza na nyakati. Alianza na...
8 Reactions
84 Replies
14K Views
Habari, Kuna clip moja nimeiona kwenye mtandao wa Instagram ikimuonesha mtu mmoja ambaye bila shaka alikuwa ni kiongozi wa tour ya jana ya WCB ya tumewasha na tigo waliofanya jijini Dododma...
2 Reactions
197 Replies
31K Views
Wimbo mpya wa kufungia mwaka, uliosheeni mashairi mazuri, maudhui ikipambwa na ladha tamu ya sauti iliyoendana vyema na ghunna!! Harmonize wa enzi zile ndiye huyu sasa! Ni aache tu mitifuano...
10 Reactions
41 Replies
5K Views
Mwanamuziki Rotimi amemvisha pete ya uchumba our very own Vanessa Mdee. Hongera kwao!!
6 Reactions
106 Replies
13K Views
Dah! Nimemchungulia huyu mtoto kwenye page yake ya IG akimuwish mdogo ake wa like, Tiffah Dangote, mtoto was star mkubwa afrika DP swaga alizotumia ukilinganisha na umri wake ni noma.... Hakika...
2 Reactions
57 Replies
15K Views
Huyu P Frank Majani nimemuona kati ya watu smart sana, walianzisha mziki wa Bongo na ana miliki studio ya Bongo records, cha ajabu huyu bwana hajawahi onekana kwenye majukwaa ya kisiasa, je ameona...
5 Reactions
31 Replies
4K Views
Katika kusherekea siku ya kuzaliwa mtoto mkubwa wa mzee Wayne alipiga mapigo ya kina Miss Eliot, Eve na Queen Latifa mitindo pendwa ya mavazi miaka ya 1990-2005 huko. Mzee carter anamlea binti...
18 Reactions
101 Replies
12K Views
Akifanya mahojiano na gazeti mwananchi baba mzazi wa msanii diamond platnumz ambemuomba mwanae angalau amkatie bima ya afya kwani Hali yake kwa Sasa sio nzuri. Ilinichukua muda kumshawishi na...
13 Reactions
367 Replies
29K Views
Nianze kwa kuwatakia kila la heri katika mwaka huu mpya watanzania wenzangu na wana JF kwa upekee na mkawe na mwaka mzuri utakaotimiza angalau asilimia themanin kama sio mia ya malengo ambayo...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
Familia ya Kadarshian haiishi vituko , mara baba ameamua kuvaa magauni. Sasa ni wazi tuna version yetu Tanzania.
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom