Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Niende kwenye mada moja kwa moja. Kwa msanii kama Wizkid na Tiwa Savage kuja Tanzania, kualikwa na mtoto wa Tandale, mtoto alielelewa na single mother kwa maisha ya kubangaiza, mtoto ambaye hata...
14 Reactions
118 Replies
12K Views
Jionee hapa Baada kukanusha kwa muda mrefu kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi hatimaye mwigizaji Aunty Ezekiel na mwanamziki Kusah wameweka mambo hadharani kwa kumfanyia mtoto wao arobaini...
6 Reactions
128 Replies
56K Views
ojs entertainments We do Post entertainment newz in this blog, your welcome JUL 16 BABA WA DIAMOND MAPYA YAIBUKA SIKU chache baada ya baba mzazi wa kachala wa Bongo Fleva, Nasibu...
3 Reactions
23 Replies
5K Views
Hatimaye Harmonize hatumii mafumbo tena kumpiga madongo Diamond Platnumz amesikika jukwaani akitaja majina kabisa nanukuu "Baba na mama ndiyo nguzo ya dunia watunze wote, siyo baba Dangote...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Mnaomponda baba levo kwa kumuita chawa kwa diamond hivi hammuoni h baba. Kiufupi H Baba naye anajipendekeza kwa Harmonize ili kutetea ugali wake wa kila siku mbaya zaidi jamaa anavuka mipaka kwa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
1. Mama Diamond anasema kuwa, mzee Abdul hakuwa baba mzazi wa Diamond, inakuaje tena (yeye huyo huyo) aseme kwamba, mzee Abdul aliikataa mimba? Alikataaje kitu (mimba) ambacho si chake? Na kama ni...
13 Reactions
44 Replies
6K Views
Nashangaa sana ninapoona wanaume wanamtetea yule mzee! Kwani angekuwa karibu na mwanae (hata kama ni wa kumlea) angeweza kusukumwa na mkeo (mama diamond)? mi sidhani. Hivi angechukulia majukumu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
AY kamua kurudi shule kusoma international business.....ni jambo zuri lakini mhh chuo alichoamua kuchukulia nondo mbona kama utata.....sijui labda wana JF mna uhakika na hiki chuo...
0 Reactions
106 Replies
20K Views
Juzi kwenye mapunduzi cup huko Zanzibar Harmonize alikua ni mmoja wa watumbuizaji, nilikua namsikiliza ila nikashangaa baada ya kuimba kidogo Jamaa pumzi ikakata na alionekana anaimba kwa shida...
4 Reactions
39 Replies
6K Views
Anaitwa meena ally ni mtangazaji wa clouds FM binafsi Mimi nampenda namkubali Anakipaji kikubwa sana alafu pia ni mrembo hanaga maringo
11 Reactions
228 Replies
46K Views
Umebwengwa na Mpare/ Mchagga, mimba unambambikia Muha wa Kigoma. Je wewe Ni Nani Kama sio lijidunhauembe? Mtoto ana miaka +30 ndio unakuja sema huyu baba yako siyo baba yako baba yako Ni...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
Binafsi sikuwahi kusikiliza wimbo hata 1 ya Burna boy so baada yakuona jamaaa anazungumziwa Sana na Mafanikio anayopata kwenye mziki wake Ikabidi Jana nisikilize wimbo wake hata 1...
5 Reactions
52 Replies
6K Views
ABRAHAM wa Africa Mashariki na Ulinzi Mkali ndani Kigali.
1 Reactions
20 Replies
4K Views
HABARI zilizoshtadi mjini kwa sasa ni kadhia ya mama Diamond kumkana baba Diamond (mzee Abdul) kwa idhlali na taadhira kubwa, kuwa si baba mzazi wa Diamond. Naam hii ni HABARI. Na sisi (kwenye...
4 Reactions
62 Replies
6K Views
Mmiliki wa TANROSE INVESTMENT Dada Rose amefariki Dunia... Kwa Wahenga wale 1990es alimiliki maduka ya kukodisha Movies Namanga na Sinza... RIP Dada
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hongera kwake Kwa kuzingatia ushauri wa mkewe kipenzi ameahidi kutumia siku hiyo muhimu na watoto wenye uhitaji maalumu nchini badala ya kufanya sherehe kubwa na za anasa Nampongeza sana Ndg...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Tuliona Babalevo akijinadi kuwa watu wanamuonea wivu kisa kanunuliwa gari ya million 26 na Diamond pia alijisifu kulipiwa mamilioo kwenye video ya shusha ambayo bado .kwa msisitizo zaidi akasema...
6 Reactions
46 Replies
6K Views
Msanii wa filamu na Miss Tanzania mwaka 2006 Wema Sepetu, amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha kwenye ukurasa wake wa Instagram ikimuonyesha mwili wake kuonekana kuzidi kupungua, Wema...
4 Reactions
69 Replies
6K Views
Laiti madereva barabarani wangekuwa wanafungiwa baada ya kutenda makosa basi gari zingekuwa zinahesabika humu barabarani Ifike mahali TCRA ijikite kutoa adhabu kwa kupiga faini ndefu na kufungia...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Bila shaka umekutana sana na picha hii katika mitandao, mfahamu mhusika wa picha hiyo. Nelson ni mkazi wa Kagiso, Krugersdorp nje ya mji wa Johannesburg, amezaliwa April 6, 1987 akiwa ni mtoto wa...
14 Reactions
100 Replies
14K Views
Back
Top Bottom