Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Dudu baya kizimbani kwa kutoa lugha chafu. - Mwanamuziki wa Bongofreva, Godfrey Tumaini maarufu 'Dudu baya' amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Kinondoni jijini Dar es Salaam akikabiliwa na...
4 Reactions
67 Replies
11K Views
ingia kwenye link kisha vote https://www.mtvmama.com/info/aljvas/vote jamani mjitaidi kuvote ata kama uwapigii wengine akikisha umempigia mate wangu zuhura aka zuchu category ni breakthrough act
4 Reactions
72 Replies
6K Views
Nguli wa habari Larry King kwa habari zilizopo ameshikwa na umauti akiwa na umri wa miaka 87. Kwa taarifa zilizopo ikidaiwa covid -19 alipokuwa akipatiwa matibabu Los Angeles. Anakumbukwa kwa...
6 Reactions
41 Replies
6K Views
Jamaa wana wasanii wakali mnoo wanaimba muziki mmoja classic sanaaa Na unadumu hauchoshi kabisa. Sio takataka za jamaa wetu wa bongo zinaeleweka club tu.. Kuna wale Ambassador of Jesus Christ...
5 Reactions
33 Replies
5K Views
Huko kwenye you tube nimeona parody kibao za Waah ya Mondi, ningetamani kujua kama anafaidika ama ni wanajifurahisha tu...ingawa Watu wanapata views kupitia hilo. Moja wapo hii hapa.
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Diamond Platnumz ana umri wa miaka 31 kwa sasa. Ni mtu mzima. Ni baba wa watoto wanne wanaotambulika. Wawili kutoka kwa cheupe wa Uganda, Zari The Boss Lady; supermodel Hamisa Mobetto anaye...
11 Reactions
36 Replies
5K Views
Leo amezaliwa Mh. Tundu Lissu tuungane kumtakia maisha marefu, comment yeye atasoma Coment yako.
14 Reactions
43 Replies
4K Views
Without any vague , Alikiba has achieved to maintain the game of Bongo fleva almost seventeen years without any opponent. This new song Infedile which mixed by French words is very untouchable...
6 Reactions
22 Replies
3K Views
Mtoto wa aliye kuwa mchezaji hodari wa timu ya Simba AKA wazee wa matopeni Grayson Ezekiel au jina maarufu "Jujuman", Aunt Ezekiel naye kwa namna moja au nyingine ashaanza kujitangaza kama yeye ni...
2 Reactions
140 Replies
27K Views
Aiseee kweli kuna watu wameishi hapa Duniani, hii clip ni ya MJ akifanya shopping mitaa ya Las Vegas , shopping anaifanya kwa kunyoosha kidole tuu , hajali kuhusu bei, yeye ni mwendo wa kunyoosha...
3 Reactions
40 Replies
6K Views
Ricardo Momo ukiachana na kukanusha tuhuma za mkewe kutembea na Msizwa huku hata demeanor ya mkewe ikionesha tuhuma za Esma zina ukweli, hili la kuwa ndugu wa Diamond ni funiko bovu. Sijui...
7 Reactions
35 Replies
11K Views
Na hii nasema ni ukweli wa dhati kabisa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake msimyime. Kwa binti mnenguaji huyu, lile vazi ni kazi ya sanaa na ubunifu kwa ajili ya jukwaa. Kwanza ni vazi...
13 Reactions
218 Replies
23K Views
Ama kweli wadada wanao tembea na viben ten wanakumbana na mitihani mizito sana ,na mtihani mkubwa ni kudhalilika kimaumbile. Hilo limejidhihirisha hata kwa Mose Iyobo , ishu ilikuwa ni hivi, kuna...
0 Reactions
83 Replies
20K Views
Wadada tokea wapigwe chini wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuprove wapo ok, Hasaa uwoya ndio anataka watu waamini bado mbichi, baada ya kumpoteza ndiku, mara awee picha ya kigodoro mara hivi mara...
12 Reactions
38 Replies
9K Views
Mara baada ya msanii Shamsa Ford kumpost Irene Uwoya na kumsifia kwamba ni mzuri kuliko msanii yeyote yule wa kike wa bongo muvi , amepokea matusi ya nguoni DM kutoka kwa wasanii wenzake kitendo...
0 Reactions
34 Replies
8K Views
Mwigizaji wa South Africa Lindiwe Ndlovu (44) amefariki akiwa nyumbani kwake. Familia imethibitisha lakini haijataja chanzo, Lindiwe aling'aa sana kwenye michezo ya kuigiza kama Isidingo na...
4 Reactions
58 Replies
8K Views
Habar Wana JamiForums, Kwa mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu nyimbo ya Ali Kiba Infedere na Mkasa wa Mzee Abdul ila suala la Kiba tuliache kwanza Nilikuwa napenda...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Pengine kwa wengine inaweza kuonekana familia ya ajabu au familia iliyokosa maadili mema ya kitanzania. Kwa lugha rahisi ni typical familia ya kiswahili. Lakini kwa watu walio kwenye industry ya...
4 Reactions
53 Replies
5K Views
Leo kupitia conference aliyoifanya, Mwanamzik Diamond aligoma kabisa kuzungumzia scandal ya Baba yake na Mama yake kuhusu ubin wake, na kusema kuwa hayo mambo ni ya chumbani hayupo kwenye position...
9 Reactions
48 Replies
8K Views
katika move inayovutia kwa hisia kalim ya wild flower startimesm uwezi ukakuta maigizo yote yanaangukia kwenye mapenzi ya kuonyesha wanakulana kila saam watu wanatengeneza hisia lakini kwenye...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom