Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mimi sio shabiki na sitakuwa shabiki wa Diamond hata siku moja. Lakini sijafurahishwa na haya magazeti ya Udaku. Hili gazeti ni lini lilimpima au kuthibitisha kuwa Diamond ana ukimwi na...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
Hello! Katika pita pita zangu YouTube muda huu nimekutana na video ya huyu msanii ambayo imapakiwa siku 5 zilizopita. Wimbo nimeupenda ila kilichonishtua na kuniogofya ni muonekano wake sasa, ni...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya bintiye kunyimwa dhamana...Keenja aingilia kati, yatolewa *Harakati zatumia muda wa saa mbili pekee *Hakimu achanganyikiwa, ajitoa kwenye kesi MTOTO wa Mbunge wa Ubungo, Bi Eliaisa...
1 Reactions
47 Replies
13K Views
Wakuu, Inawezekana wengi mmeshapata taarifa ya kifo cha DJ Ommy lakini kwavile sijaona post hapa JF juu ya hili nimeona nigusie kutokana na umuhimu wake. DJ Ommy ni moja ya madj wa mwanzo kabisa...
11 Reactions
59 Replies
11K Views
Huyu jamaa anajua sana. Style yake ni ya kipekee sana. Namkubaligi jinsi anavyokuza mambo. Unakuta kakitu kadogo lakini watu watakajadili kirefu. Pia movie zake hazitabiriki na zina violence za...
8 Reactions
35 Replies
3K Views
But whereas most people's 'sandwriting' is washed away, one super-rich Arab sheikh has ensured that his doodles will last a little longer. Hamad Bin Hamdan Al Nahyan, 63, has scrawled his name...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
And a happy new Year
13 Reactions
210 Replies
13K Views
Kumekuwa na kelele nyingi sana kuhusu Diamond haswa kipindi hiki akionyesha mafanikio makubwa kimuziki. Wakati yeye akipambana kupiga hatua kuna wanaopambana kuakikisha hasogei na anarudi chini...
24 Reactions
204 Replies
21K Views
Habari wadau..! Ebu leo tumjadili huyu mtu anayejiita Mwana FA achana na Hamis Mwinjuma maana huyo nasikia siku hizi ni Mbunge huko jimbo la Muheza. Je, ni sahihi kwa wanamuziki wa kizazi hiki...
3 Reactions
61 Replies
5K Views
Lazima tuige ujasiri wake kwa manufaa ya taifa mpende msipende, lazima aenziwe vema ni jasiri ambaye watu wamemsahau nikielelezo tosha kwa vijana wote wanaopenda mabadiliko.<br /> <br /> Sio...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwanza sitokuwa mwenye fadhila kuwapa pole familia yote ya Albert marafiki na wale wapenzi wote wa music wake akiwamo mie naamini katika zile kumi kumi alinifanya nichukue moja baada ya tar 31...
5 Reactions
23 Replies
10K Views
Jana nimejionea laivu alikuwa chimbo fulani alikuwa ameandaliwa kushusha mbonge la shoo katika bar fulani mkoani geita Mimi ni moja ya watu waliokuemo kwenye bar hiyo tukipata 1.2 Dudubaya...
18 Reactions
64 Replies
12K Views
Ndugu wanajamvi kumeibuka mjadala mkali sana nchini Tanzania kuhusiana na sakata la kufungiwa kwa nyimbo za wasanii mbalimbali sababu kubwa ikiwa ni utovu wa maadili na utamaduni .Swala la maadili...
2 Reactions
17 Replies
5K Views
Rais Magufuli aliamua kumvulia na kumvisha kofia yake Diamond Platnumz simbaaa baada ya performance yake katika uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza. Ila kijana wetu anaadabuu, mara baada ya...
18 Reactions
44 Replies
8K Views
Kuna kipindi wasanii walikuwa wanaogopa kushiriki shughuli na events za wasafi wakihofia Clouds Media lakini leo unaona hadi akina Nandy, Marioo wanashiriki matamasha ya wasafi daah mambo...
11 Reactions
42 Replies
8K Views
WANAMUZIKI WENGI NI HAMNAZO NA LIMBUKENI Kwa Mkono wa, Robert Heriel Familia zenye heshima na utajiri, familia za kisomi na kitaaluma, familia zilizoshika dini, familia zenye mambo ya kimila...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Arosto ya kummisi mziki mpya wa Mzee Yusuph itaniua. Kama na wewe umeumisi mziki wake ebu dondosha neno la lolote tufarijiane.
1 Reactions
56 Replies
9K Views
Ni kipindi kirefu sana millard ayo aliacha kupost contents za Diamond, Ishu hii iligeuka fursa kwa wenye channel za youtube maana milard alipanua wao wakaingiza, kusema kweli ilitoa fursa kwa...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
wana jf kwa sasa naona bendi nyingi zimegukia mwendo wa bia kama kiingilio, sijui wanalipanaje lakini najiuliza hawa wakongman wamefanyiwa nini hawatungi nyimbo mpya au wanaangushwa na maproducer...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
DUA zinahitajika kutokana na madai kwamba, nyota wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando amelazwa hospitalini nchini Kenya, katika chumba cha uangalizi maalum ‘ICU’, Vyanzo vya habari...
3 Reactions
51 Replies
34K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…