Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hivi inakuaje mastaa wa bongo wanapojaribu kufungua biashara huwa hazidumu? 1. Wema alikuja na lipshine,zikabuma 2.Jaydee na ile kitu yake Nyumbani lounge,imeshapotea, 3.Chibu pafyumu &Diamond...
7 Reactions
52 Replies
8K Views
Taarifa za msiba wa Bi Shakila zilianza kama tetesi lakini baadae ikaja kuthibitika kuwa hatunae tena. Bi Shakila Saidi alikuwa ni mwanamuziki mahili, mkongwe na hodari katika miondoko ya taarabu...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwanamuziki wa Rap kutoka Marekani Lil Wayne huenda akapewa hukumu ya miaka 10 jela baada ya kukiri kumiliki bunduki ya dhahabu pamoja na risasi kinyume cha sheria. Lil Wayne mwenye umri wa...
1 Reactions
43 Replies
7K Views
Malkia wa filamu Jacquline Wolper Massawe amenunua kopi moja ya albamu ya Gold ya muimbaji Barnaba Classic kwa dola 3000 sawa na tsh million 7 Hayo yamefanyika kwenye listening paty ya albamu...
8 Reactions
61 Replies
9K Views
Kaka ake na umillinare wote huo anashindwa kumlipia dada ake kodi Jaman ? Sasa kufanya 40 ya kifahari yote ile na kumbe kodi anadaiwa ya nini ? . Kupitia insta Live, Queen darleen ka confirm...
16 Reactions
146 Replies
17K Views
naomba mniambie zaidi ya Ruby na Grace Matata nani anaweza kupiga show ya hivi hata kama akipigiwa vyombo?nazungumzia hadi wanaume sitaki wale wa gospel kina joe lwaga au gosbert wale wanajua...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Habarini Wana jamvi: Kiukweli Grammy zimepoteza credibility yao Kama ya zamani,na hii imejidhihirisha kutokana na ubaguzi na kutokuwaweka wasanii ambao wanastahili kuwepo kwenye nomination zao...
3 Reactions
125 Replies
9K Views
mimi nimpenzi sana wa kusikiliza redio za ndani ya nchi na nje, huwa natumia Tune In kusikiliza redio nyingi sana za nje kule napenda HOT108JAMZ na IheartRadio pale kenya NRG, KISS nawakubali...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Dudubaya amepotea tokea 13 agosti, 2020 , leo ni miezi sasa lakini ukimya ni mkubwa, hata km alitukana watu lakini thamani ya uhai ni kubwa kuliko matusi yake. Dudubaya yupo wapi?
5 Reactions
23 Replies
6K Views
Wiki hii Tanzania imeng'ara baada ya msanii wake Diamond kuweka rekodi ya kupata views milioni 10 siku ya 8 baada ya kutoa hit song aliyomshirikisha papaa mobimba KOFI OLOMIDE. Ngoma hiyo...
4 Reactions
43 Replies
5K Views
Asalaam alaykhum, Kwakweli wale waliopata wasaa wa kusikiliza interview ya salama na gabo leo watakua wamepata kusikia confession ya Gabo exclusively kwamba naye anatumia mjani aka mjamaika aka...
3 Reactions
35 Replies
8K Views
Haijalishi mmekosana nini ni wakati sasa kukaa mezani musameheane haya maisha tu afu ukizingatia mshakuwa watu wazima Tumefundishwa kuwa binadamu hatokuja kupenda kamwe hadi pale atakapompenda...
5 Reactions
37 Replies
6K Views
Salam wadau wa JF Lengo kuu la thread ni kuomba ushauri Pamoja na msaada wa kimawazo ikiwezekana.. Ni kuwa mimi niko kwenye harakati za kufanya Muziki(baadhi ya wadau ambao wamepata kunisikiliza...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni shabiki wa huyu mwamba wa dance pale WCB. Mose mdogo wangu umejiachia sana unene na kitambi. Kama unataka mema kwenye kazi yako hima hamia gym na anza diet. Dancers wazuri kama Michael...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
Nyota wa Nigeria kwenye mtandao aliyehuduria harusi pamoja na wapenzi wake sita wenye ujauzito akosolewa na umma Gazeti la Daily Mail la Uingereza limesema, nyota wa Nigeria kwenye mtandao wa...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Mwanamuziki nguli wa nyimbo za Country aliyetamba na vibao kama "Just for the love", "Standing in my way" na vingine kibao ameaga dunia Disemba 12 kwa Corona,tutamkumbuka nguli Huyu kwa sauti...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
''Kukubali mtoto ambaye unajua kuwa siyo wako kisa huna uwezo wa kutunga mimba, Huo ni ''USHAMBA'' Msanii Harmonize kutoka Konde Gang siku ya jana alimtambulisha mwanaye wa kike ambaye anadai...
6 Reactions
80 Replies
14K Views
Habarini wanajukwaa. Ni muda mrefu sasa umepita tangu watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa IG kumuona KONKI3MASTER akitoa maoni yake yenye lugha ya 'matusi' dhidi ya 'wanyonyaji' wa wasaniii...
3 Reactions
32 Replies
7K Views
Wanabodi The much anticipated annual listing of the 100 Most Influential Africans of 2020 published by the continent’s premier pan-African publication, London-based New African magazine...
8 Reactions
42 Replies
5K Views
Hata nikikaa kimya kwajili ya utaifa au kuwa shabiki wa diamond, ukweli inabidi unyooke, nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi, hakuna kupindisha, nisipo sema nani atasema?? ukiingia mtandao >>...
2 Reactions
56 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…