Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mashindano ya taji la Miss Tanzania kwa mwaka 2020 yamefika tamati leo tarehe 5/12/2020 na Mshindi wake kutangazwa kutokana na maoni ya majaji na wapiga kura. Jina lake anaitwa Rose Manfere na...
6 Reactions
144 Replies
24K Views
Ni miaka 21 Sasa ya legacy mmeiweka industry ya media Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla. Hakika mnastahili pongezi za kutosha. Sio Jambo la kitoto hata kidogo. Wengi walikuja wamepotea...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Natumaini mko wazima. Kwanza nimshukuru Mungu kwa neema zake. Pia nitoe pole kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuingia mgogoro na wanachama wake nguli waliokipigania kwa muda mrefu. Siwezi...
20 Reactions
49 Replies
6K Views
Chuchunge nae kuroga kote huko kila siku wanaume wanamkimbia. Finally ile vuta nkuvute ya nani atafanikiwa kumteka The Don Alex hatimaye imefikia ukingoni na mshindi kapatikana, mrembo Tahiya John...
5 Reactions
26 Replies
5K Views
Tommy lister maarufu kama DIBO is dead wengi tunamkumbuka kwenye movie ya Friday ya kwanza ya 1995 RIP DIBooo
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwanamuziki millionaire kutoka bongo flavor , Diamond Platnumz , Kwa mara ya kwanza ameingia kwenye Chama cha watumiaji Iphones, baada ya kununua iphone 12 pro ambayo ndo Iphone yake ya kwanza...
34 Reactions
106 Replies
11K Views
Umofia Kwenu wana JF, Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama...
11 Reactions
1K Replies
168K Views
Aisee huyu jamaa alivuma sana miaka ya 80 but sadly I never got to see him. Kulikuwepo na story kibao kuhusu uwezo wake wa nguvu za misuri, mambo kibao yaliongelewa, mfano: -- Alikuwa anaweza...
9 Reactions
266 Replies
62K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11 Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia...
12 Reactions
219 Replies
30K Views
Raisin'to the top by Lost boys,I got 5 on it by Luniz,Go church by Ice cube ft Snoop Dogg and Lil John,Gangstas'paradise & i see you when i'll be there by Coolio,California & do for love,Still dre...
8 Reactions
119 Replies
25K Views
Diamond haina haja ya kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja na yote yakakosa ubora na ubunifu. Hiyo ni kutengeneza vitu vitakavyo ishi muda mfupi sana. Na ukweli unaujua kuwa watu wanapenda na ku...
12 Reactions
35 Replies
5K Views
Yaani vipindi watangazaji wanapiga kelele, hamna hata mpangilio. Halafu hakuna ubunifu kabisa. Yaani mtangazaji anakuja studio hajui hata ataongelea nn. Unakuta mtangazaji anasubiri upigwe wimbo...
25 Reactions
91 Replies
11K Views
I have seen thousands of people through my life time, got helped and expected to do alot in return, broken and crushed with no one to pick me up. I have struggled from ground level with all...
7 Reactions
118 Replies
35K Views
Msanii Hamis Mwinjuma aka mwanafa ameweka wazi kiasi cha pesa walicholipwa na kampuni ya simu iliyokuwa ikitumia nyimbo zao bila ridhaa. Msanii Mwanafa na AY waliishitaki kampeni hiyo ya simu...
19 Reactions
117 Replies
22K Views
Hello JF: Msanii wa muziki wa bongo Fleva na CEO wa Lebo ya konde Gang Harmonize wikiendi alijikuta katika hali ya tafrani baada ya kukataza watu kutumia jina la #Kondeboy kwa mchezaji wa Simba...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Mbunge wa mbeya mjini leo kafunga ndoa kanisa katoliki rwanda mbeya mjini
4 Reactions
27 Replies
6K Views
Nawasalimu wakuu,twende moja kwa moja kwenya Mada. TUPAC AMAR SHAKUR alizaliwa mnamo tarehe 16 mwezi juni mwaka 1971 ni mtoto wa kiume wa mwanamama AFENI SHAKUR ambaye alikuwa ni mwana harakati...
10 Reactions
42 Replies
13K Views
KAMA ulikuwa unadhani ile ishu ya Harmonize n Sarah juu ya kitendo cha nyota huyo wa muziki wa kizazi kipya kumposti mtoto akidai ni wake imeisha, pole. Kwani wazi ni hatma ya ndoa ya wawili hao...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Mrisho Mpoto wa awamu ya JK alikuwa wa moto kweli, kila nyimbo ni fire. Ila huyu wa sasa toka aamue kuunga mkono juhudi hata sielewi, maana vya kuimba zile tungo zake ni vingi kweli ila yupo...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Vipindi vingi vya miziki ni Bongo Fleva, utasikia top ten ya bongo fleva. Hutosikia wanapiga sebene la Nyosh El Sadat wala Patcho. Ila sasa ikitokea Alikiba kaimba sebene kama Chekecha au Mwanadar...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom