Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME) Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye...
6 Reactions
265 Replies
38K Views
Habarini Wana jamvi..? natumai my wazima wa afya. nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu. nimegundua kuwa...
5 Reactions
104 Replies
10K Views
Habari wanajamvi wa JamiiForums. Kwa muda mrefu nimekuwa nikiutumia kusikiliza RFA hususani kuanzia ile saa 12:00 asbh Hadi 1:00 asubuhi, lengo likuwa ni kusikiliza kipindi cha BBC na magazeti...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Akiongea kupitia Ayo TV, mwanamama mjasiriamali mwenye swaggz za aina yake, Zarinah Hassan, amefunguka kuwa Diamond hakuwahi kumfukuza kwenye nyumba yake ya South ambayo alikua akiishi na watoto...
10 Reactions
41 Replies
5K Views
Kweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo. Pia ndo msanii ambaye...
13 Reactions
191 Replies
18K Views
Sir Sean Connery (90) aliyekuwa muigizaji wa kwanza kuvaa uhusika wa James Bond, na kuigiza katika filamu hizo saba amefariki dunia leo Mwanaye, Jason Connery amesema Baba yake hakuwa mzima kwa...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Ni binti mrembo na asiyekua na makuu, umaarufu wake ulipamba moto baada ya kuwa na bifu na Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kudai kuchukuliwa mwanaume na Hamisa . Hivi sasa mrembo huyo yupo...
4 Reactions
79 Replies
17K Views
Wakuu natumai nyie ni wazima wa afya naomba leo kujuzwa na wajuvi juu ya yule Msanii ama produza aliofanya Movie as Saladini na kadha wa kadha!
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Huyu dada..anatangaza vizuri jamani..yaani napenda sana anavyotangaza "African wired" Yaaani i like her confidence na jinsi alivyo a swagger za kipekee kabisa.. Kong'ole kwako ladyhaha
5 Reactions
43 Replies
6K Views
ELIZEBERT MICHAEL (LULU) ABEBA UJAUZITO WA MAJIZO Mwigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Elizebert Michael ambaye pia ni maarufu kwa jina la Lulu hatimaye ni mjamzito na hivi karibuni atajifungua...
4 Reactions
52 Replies
15K Views
Tanzania Daima,Jumatano 10,2008MSANII wa muziki wa kizazi nchini Khalid Mohammed ‘maarufu kama TID' aliyekuwa akitumikia kifungo cha mwaka mmoja katika gereza la Segerea, jana aliachiwa huru...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Fuvu la binadamu lakutwa limewekwa kwenye meza ya Diamond pembeni ya picha ya mwanawe Tifah. Diamond asema ni kweli ni fuvu la binadamu, ila ni pambo tu kama mapambo mengine, yeye anamtegemea...
0 Reactions
73 Replies
73K Views
Tukio la msanii wa muziki wa Bongo Fleva, kuzimiwa kipaza sauti wakati aki perform jukwaani,hapa mjini Mombasa, limeusishwa na imani za kishirikina. Akifanya mahojiano na...
1 Reactions
57 Replies
14K Views
Wakuu habari? Nikiwa nakua miaka ya mwanzo ya 2000, nilikua nasikiliza sana music ya kikongo iliyokua inapendwa sana na uncle zangu. Na moja ya msanii niliyekua namkubali sana alikua bibie Tshala...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Ebana tuongee ukweli hizi type ni noma sana, yani wanavutia ile mbaya. kiukweli mimi kwa upande wangu mwanamke mnene mweusi hata bure sichukui,hata akae uchi hapo kitandani hata sisimamishi...
7 Reactions
138 Replies
25K Views
Huyu jamaa alikuwa ndiye mchoraji wa katuni maarufu ya baba ubaya kwenye Gazeti la Kiu kabla ya kuacha kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine. Sijui kama hili gazeti bado lipo mtaani...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Dizain kama mambo yanakua magumu kwa kijana wetu, ngoma mbili nje ya management yake ya zamani, Uno na Kushoto Kulia, ya kwanza ilikua pushed sana media tour Afrika ya Mashariki, interview kali...
11 Reactions
136 Replies
18K Views
Bobby Brown apoteza Mtoto Mwingine ndani ya Miaka 5 Kijana huyo Bobby Brown Jr amefariki akiwa na miaka 28 Dadake Bobby Kristin alifariki Miaka 5 iliyopita Kwenye ajali yenye utata Taarifa...
5 Reactions
54 Replies
6K Views
Huyu mwamba huwa namwelewa Sana, hasa ngoma zake za kubembeleza , ni fundi haswa , sioni mpinzani Kwa huyu king Leopard , ..... First nilimuapreciate sana Dimond Kwa ngoma zake za hsia lakn tangu...
7 Reactions
59 Replies
6K Views
Gigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi...
10 Reactions
32 Replies
8K Views
Back
Top Bottom