''Usiniletee mambo ya darasa la Pili unaniiibia penseli alafu unanisaidia kutafuta .(UNIKOME)
Mwanaume huwa anaongeaga mara moja tu sasa ukitaka nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia hata kwenye...
Habarini Wana jamvi..?
natumai my wazima wa afya.
nimejaribu kufuatilia kwa makini sumu ambayo ana mezeshwa nandy, kwa official new queen wetu wa bongo flavor one and only Zuchu.
nimegundua kuwa...
Habari wanajamvi wa JamiiForums. Kwa muda mrefu nimekuwa nikiutumia kusikiliza RFA hususani kuanzia ile saa 12:00 asbh Hadi 1:00 asubuhi, lengo likuwa ni kusikiliza kipindi cha BBC na magazeti...
Akiongea kupitia Ayo TV, mwanamama mjasiriamali mwenye swaggz za aina yake, Zarinah Hassan, amefunguka kuwa Diamond hakuwahi kumfukuza kwenye nyumba yake ya South ambayo alikua akiishi na watoto...
Kweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo.
Pia ndo msanii ambaye...
Sir Sean Connery (90) aliyekuwa muigizaji wa kwanza kuvaa uhusika wa James Bond, na kuigiza katika filamu hizo saba amefariki dunia leo
Mwanaye, Jason Connery amesema Baba yake hakuwa mzima kwa...
Ni binti mrembo na asiyekua na makuu, umaarufu wake ulipamba moto baada ya kuwa na bifu na Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kudai kuchukuliwa mwanaume na Hamisa .
Hivi sasa mrembo huyo yupo...
Huyu dada..anatangaza vizuri jamani..yaani napenda sana anavyotangaza "African wired"
Yaaani i like her confidence na jinsi alivyo a swagger za kipekee kabisa..
Kong'ole kwako ladyhaha
ELIZEBERT MICHAEL (LULU) ABEBA UJAUZITO WA MAJIZO
Mwigizaji wa Filamu Nchini Tanzania Elizebert Michael ambaye pia ni maarufu kwa jina la Lulu hatimaye ni mjamzito na hivi karibuni atajifungua...
Tanzania Daima,Jumatano 10,2008MSANII wa muziki wa kizazi nchini Khalid Mohammed ‘maarufu kama TID' aliyekuwa akitumikia kifungo cha mwaka mmoja katika gereza la Segerea, jana aliachiwa huru...
Fuvu la binadamu lakutwa limewekwa kwenye meza ya Diamond pembeni ya picha ya mwanawe Tifah.
Diamond asema ni kweli ni fuvu la binadamu, ila ni pambo tu kama mapambo mengine, yeye anamtegemea...
Tukio la msanii wa muziki wa Bongo Fleva, kuzimiwa kipaza sauti wakati aki perform jukwaani,hapa mjini Mombasa, limeusishwa na imani za kishirikina.
Akifanya mahojiano na...
Wakuu habari?
Nikiwa nakua miaka ya mwanzo ya 2000, nilikua nasikiliza sana music ya kikongo iliyokua inapendwa sana na uncle zangu. Na moja ya msanii niliyekua namkubali sana alikua bibie Tshala...
Ebana tuongee ukweli hizi type ni noma sana, yani wanavutia ile mbaya.
kiukweli mimi kwa upande wangu mwanamke mnene mweusi hata bure sichukui,hata akae uchi hapo kitandani hata sisimamishi...
Huyu jamaa alikuwa ndiye mchoraji wa katuni maarufu ya baba ubaya kwenye Gazeti la Kiu kabla ya kuacha kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine. Sijui kama hili gazeti bado lipo mtaani...
Dizain kama mambo yanakua magumu kwa kijana wetu, ngoma mbili nje ya management yake ya zamani, Uno na Kushoto Kulia, ya kwanza ilikua pushed sana media tour Afrika ya Mashariki, interview kali...
Bobby Brown apoteza Mtoto Mwingine ndani ya Miaka 5
Kijana huyo Bobby Brown Jr amefariki akiwa na miaka 28
Dadake Bobby Kristin alifariki Miaka 5 iliyopita Kwenye ajali yenye utata
Taarifa...
Huyu mwamba huwa namwelewa Sana, hasa ngoma zake za kubembeleza , ni fundi haswa , sioni mpinzani Kwa huyu king Leopard , ..... First nilimuapreciate sana Dimond Kwa ngoma zake za hsia lakn tangu...
Gigy Siku hizi anakua mcharo, Naona mambo yake si Haba, halafu na yeye kawa pisi Kali Siku hizi , Tatizo tu uswahili ndo mwingi, ila kwa uzuri mashallah lizur na Naona mganga wake wa sasa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.