Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mwanzo jukwaa hili lilikuwa lina vitu vitamu vinavyohusu ma celebrity wetu na muziki wao kiujumla huku wanajamvi wakigusia pande zote kuhusu muziki wetu na lilinoga sana. Ila majuzi hapa jamvini...
10 Reactions
111 Replies
7K Views
Edo Kumwembe ni mchambuzi mzuri Sana wa soka na anawavutia watu wengi Sana na nilipenda sana awe na kipindi cha muda mrefu wa kufanya uchambuzi nashukuru Mungu amesikia ombi langu na soon atakuwa...
6 Reactions
47 Replies
7K Views
Wasalaam wajamvi Kati ya tasnia inayokuwa kwa haraka sana na yenye mashabiki wengi sana ni muziki na sanaa ya uigizaji Wadau wengi wamewekeza lakini kwenye huu muziki Diamond Platinumz na...
4 Reactions
45 Replies
7K Views
Wasalaam wanajamvi! Kuna wasanii kwenye sanaa yetu wanayo bahati na wengine hawana bahati kabisa! Kuna wasanii hawajui kuigiza kabisa lakini wanapendwa sana utafikiri wanajua sana lakini sio...
9 Reactions
64 Replies
14K Views
Kumbukizi ya kuvutia kabisa kwa Wahenga Kijana Michael alikuwa na nyota ya kupendwa Sana
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Hiv karibuni Marioo ameuzishwa na kutaka kujinyonga kisa mapenzi. Na hii Ni baada ya kupost kitanzi bila caption na watu kutafsiri anajinyonga kumbe ametoa wimbo unahusiana na kicho kitanzi...
8 Reactions
11 Replies
4K Views
WCB (Wasafi Classic Baby) nadhani nikisema hivyo kila mtu anaelewa. WCB nadhani kwa sasa ndio label iliyoshikilia industry ya Bongo Fleva hawa watu wako very Creative na Wanafikra yakinifu. Tena...
11 Reactions
83 Replies
7K Views
Sisi Wataalam wa Masuala ya Music tulitaadharisha mapema kuhusu ku-copy Copy oneni aibu inayomkuta huyu mwanamziki wenu aliyeishiwa Kabaki kubebwa na Vikolabo vyenyewe vya ku-copy 90%...
4 Reactions
60 Replies
7K Views
Kiukweli nimefadhaika sana baada ya kusikiliza wimbo mpya wa Dada Mkuu, Komando na Malkia wa Bongo flava Lady Jaydee uitwao One Time. Humo ndani Jide anahamasisha uvutaji bangi hadharani, hasa...
4 Reactions
69 Replies
10K Views
  • Closed
Wasalaam wana Jamvi! Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”...
33 Reactions
655 Replies
67K Views
Hivi karibuni kuna mtu anaijiita Tony Anton alifuta ngoma ya Cheche na akaifanya isipatikane YouTube kwa siku mbili, baada ya huo mkasa kutokea uongozi wa WCB kwenye department ya digital platform...
2 Reactions
62 Replies
6K Views
Baada ya Alikiba Kuachia nyimbo yake ya MEDIOCRE na kufanya mitandao yeye na Hasim wake kuwa Gumzo na kupelekea watu Kutafsiri kuwa Alikiba kamtupia Dongo Diamond na kufanya yule kijana wa...
1 Reactions
66 Replies
9K Views
Wasalaam wana jamvi.... Msanii Q-Chillah toka juzi hajulikani alipo na watu wakaribu yake wameshindwa kumpata hadi sasa si kwenye simu au uso kwa uso na hawana taarifa yeyote popote alipo...
5 Reactions
120 Replies
17K Views
Daaaaaah Habarini Wana jamvi...? Kweli Kuna ule msemo unaosema kila zama na muda wake, leo ndio nimekubali huu msemo. Nimejaribu kusikia wimbo wa huyu mzee wetu Alikiba nimeona kaishiwa kabisa...
24 Reactions
330 Replies
29K Views
Kampuni ya maziwa ya @TangaFresh leo Septemba 17, 2020, imeingia mkataba na msanii wa bongo fleva @mbosso_ kuwa balozi wa bidhaa za maziwa ya kampuni hiyo, kushoto kwenye picha ni Alex Chonge...
8 Reactions
16 Replies
4K Views
Hii ndiyo zawadi aliyopewa Mose Iyobo na Diamond na ameandika maneno haya.
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Mume wa msanii Alicia Keys, Swizz Beatz amelazimika kuingilia kati baada ya mashabiki wa Diamond Platnumz kumshambulia mke wake mtandaoni kwa kumshirikisha Diamond kwenye wimbo wake wa Wasted...
3 Reactions
48 Replies
7K Views
Team Kiba wote leo imekuwa siku yetu nzuri Baada ya Msanii wetu pendwa Ali Salehe Kiba kutunukiwa zawadi na Rais wetu Mpendwa Dkt. John Joseph Magufuli. Mimi kama kijana na Mpenzi wa Muziki wa...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Soudy brown Hanaga mambo ya Kiki Huyu Yuko naumbewa wake Sam-Misago Mwansishi wa habar popular Mzeemkavu Mzee wa shilawadu mnyaki hanaga Kiki za kijinga Dullavan Mchekeshaji....Hana...
2 Reactions
60 Replies
6K Views
Bila kutaja sababu, kupitia ukurasa wake wa instagram diva the bawse ametangaza rasmi kuacha kazi. Ameandika hivi:
3 Reactions
91 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…