Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari wana Jamvi, kwanza niwapongeze wasanii wote walioshiriki Tamasha la CCM- Uwanja wa Uhuru, walifanya vizuri, lakini kutoonekana kwa nyota wa muziki Tanzania Diamond Platinumz katika tamasha...
1 Reactions
53 Replies
6K Views
Maskini vijana wa watu wakishinda bss tukiwaona mtaani bado hali zao za uchumi zimeyumba zinaanza stori kwamba wamefanyia hela umalaya, ulevi au starehe za kipuuzi, Kumbe hakuna kitu kama hicho...
9 Reactions
147 Replies
22K Views
Hawa Wote wamelipa ndugu watazamaji, Kule nangwanda mliona Hii ni Kigoma..
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Baada ya Shilole kuja public kulalamika kuwa amepigwa na mumewe Uchebe binafsi niliona Kama ameonewa na karibia watanzania wote tukaamini hivyo. Leo wakati nimepitia YouTube kuangalia shows za...
9 Reactions
81 Replies
9K Views
Habar wakuu kwema hukooo tanzania Mimi ni mzima moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu Mim ni mdau makini wa mziki wa kisasa hakuna jambo linalonipita kimya kimya nipo faster sanaa...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
  • Closed
Mwigizaji wa zamani wa filamu za watu wazima Mia Khalifa akizungumza na BBC HARDtalk, alisema kuwa familia yake haikuwa na wazo juu ya ushiriki wake katika tasnia ya ponografia hapo awali...
13 Reactions
398 Replies
135K Views
wameanza kutaniana kuhusu cd za fiesta, basi ukaingia ugomvi wakaanza kutukanana huku wapo on air. source: Mimi mwenyewe Mwenye kujua zaidi atuhabarishe...
0 Reactions
339 Replies
83K Views
Aliyekuwa mtangazaji wa Wasafi TV na Wasafi FM Fatma Abdallah almaarufu Kungwi mkata shombo amefariki dunia mchana wa tarehe 15/08/2020 hospitali alikokua amelazwa baada ya kuugua kwa muda wa wiki...
6 Reactions
38 Replies
9K Views
Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake! "Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya...
72 Reactions
238 Replies
23K Views
Sijui hata nimewaza nini! Katika pita pita zangu leo, nikanyapia ukurasa wa Cristiano Ronaldo. La haula! Nikakutana na nilichokiona, mateso ya wivu yakaujaa moyo wangu. Watu wanakula maisha...
13 Reactions
40 Replies
4K Views
“Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea...
25 Reactions
117 Replies
12K Views
Mtangazaji Adam Mchomvu ameelezea kilichotokea stejini kati yake na msanii Mbasha. Mchomvu amesema kilichofanya ampige mtama Mbasha ni kutokana na kumdhalilisha jukwaani kwa kumuita mvuta bangi...
5 Reactions
45 Replies
7K Views
Huwa najiuliza Maswali mengi sana juu ya huyu Msanii ' Bwana Mdogo ' Dogo Aslay hasa kwa tabia yake ya kila akiwa anaimba ama iwe ni Jukwaani ' Mubashara ' au katika Nyimbo zake zilizorekodiwa (...
4 Reactions
28 Replies
10K Views
Tumeanza Rasmi Kampeni Yetu Ya KAKA_TUCHATI VENTILATOR_CHALLENGE Tunaomba Mashabiki Zetu Mkawe Sehemu Ya Kampeni Hii Kufanikisha Zoezi la Kupata Pesa Itakayoweza Kununua Ventilator Machine...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Most popular of the videos is the song 'Yope remix' where he featured Innos' B from Congo, which has so far gained some 106million views today...
10 Reactions
61 Replies
6K Views
Wadau poleni kwa majukumu. Kuna picha mitandaoni inayomwonesha muimba nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha akiwa beach (nadhani), amevaa taulo tu huku sehemu ya boxer ikionekana. Wachangiaji...
5 Reactions
43 Replies
9K Views
Hii ni kutokana na SMASH HIT yake ya AMABOKO kushika namba moja katika chat za MZIKI APPLE, Africa now na kuwa msanii namba moja Africa mashariki. N.B: number don't lie, it's just a fact only.
12 Reactions
71 Replies
7K Views
Mtangazaji maarufu wa Times FM, Didah Shaibu amejiunga na Wasafi FM na leo atatambulishwa rasmi. Watu wengi tuliona tokea mwanzo ikiwemo me muda si mrefu Didah atatua Wasafi hii ni kwasababu...
11 Reactions
104 Replies
19K Views
Mtangazaji tajwa hapo alikuwa ni mtangazaji mahali na mweledi sana katika kazi yake. Tume - miss sauti yake kwa muda mrefu sasa, yeyote mwenye kujua alipohamia au alipo atujuze tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Hakika ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni! Wahenga walinena! Na Mimi pia narejerea usemi usemao "Usiache Mbachao kwa Msala Upitao" Ama kwa hakika alichokifanya mwendesha shughuli Adam Mchomvu...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom