Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

MSANII wa muziki Bongo, Rosa Ree amefunguka kuwa kesi na Harmonize kwa sasa ipo kwenye mikono ya sheria kuangaliwa ni jinsi gani haki inaweza kutumika kwasababu muziki ni biashara. Rosa Ree...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni ukweli usiopingika wakati wimbo huu unatoka wengi wetu tuliuchukulia poa na kuunanga kwa nguvu zote bila hata kuweka akiba ya maneno. Amaboko tuloinanga na kuwaona wameishiwa waloiimba leo...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanazengo today is Thursday right ? Sio mbaya tukajikumbusha matukio ya nyuma ambayo yaliyokea Ila hayakuwahi kusikika au kuvuma. Kama wewe utakua ni mdau mzuri wa entertainment , Jina la Emelda...
21 Reactions
192 Replies
31K Views
Leo nimemsikia Regina Mwalekwa katika amka na BBC lakini naskia anajiita Regina Mziwanda. Sijajua kwa nn baada ya kujiunga na BBC Swahili anajiita Regina Mziwanda
1 Reactions
59 Replies
32K Views
Miss Mwanza Sylivia Sebastian, usiku huu wa leo amefanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania baada ya kuwashinda warembo wenzake 19 waliokuwa wanawania taji hilo Sylivia baada ya kushinda taji la...
3 Reactions
64 Replies
14K Views
Msanii wetu SIMBA namkubali sana sasa tatizo lake anapenda kukurupuka sana pale mafuraha ya kutoka pasipojulikana yanapo mvaa na kutangaza ma- ahadi tele kila mahali online, na hata live Wasafi...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi...
3 Reactions
69 Replies
11K Views
Naimani ulitegemea ujio wako utatrend machochoro zote ila mwisho wa siku imekuwa kawaida sana tena umekuja kipindi watz wapo bize na morrison. Mapokezi ya kawaida, show mbovu na umepoteza mvuto...
7 Reactions
74 Replies
7K Views
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya...
5 Reactions
110 Replies
15K Views
Haji Manara " Bugatti" ameandika "Shughuli ilikuwa hapa, Dua alizosoma Nassib sio za nchi hii, hakuacha Dua hadi helicopter ilipotua, sasa wakati chuma kinakata kona kuingia kwa Mkapa,, Nassib...
8 Reactions
58 Replies
6K Views
Ama kweli duniani hakuna mwembamba, Bill Nass tangu aanze kupiga mboga saba(msosi kama anasukuma kete za drafti) kwanza kunenepa, hakuna mwembamba dunia hii. Kamanda ana kazi ya kulala na kushika...
17 Reactions
38 Replies
7K Views
Ifike wakati washauri wa wasanii hawa wawaze nje ya Box. Kwanza kutumika tu na Yanga ni kuiga walichafanya Mikia (Simba) lakini Kama haitoshi na nyimbo uliotunga ni umecopy Kama sio kubadili tu...
4 Reactions
26 Replies
6K Views
Hitmaker wa "Mama Kijacho" Tundaman asema kwamba "dume suruali" ya mwana fa alomshirikisha mwanadada v-money asema lilikuwa wazo lake. Ni kweli wazo la wimbo wa "Dume suruali" lilianzia...
1 Reactions
38 Replies
11K Views
Je, na wewe ni moja ya wanaoamini Senzo alishakufa? Je, na wewe unaamini kuwa Lucky Dube ndiye aliyefanya conspiracy ili Senzo auwawe? Angalia hii documentary. .
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Hivi mnamuelewa Aslay, labda nianze kuwauliza ndugu zangu, maana nilishafikiria Sana mpaka nimeona niwasharikishe na nyinyi. Aslay ni Moja ya Wasanii Wazuri Sana Bongo na wanakipaji cha Hali ya...
10 Reactions
60 Replies
12K Views
Hii ngoma ilitikisa sana enzi hizo za 41 records kwa dunga
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Kuna siku nilimsihi MwanaFA na wanamuziki wengine kufanya shughuli nyingine badala ya muziki pekee. Nimefarijika leo kunitembelea na kutambulisha bidhaa yake mpya 'body spray'. Hii ni hatua kubwa...
6 Reactions
52 Replies
8K Views
Habari za asubuhi members wa JF. Kuna siku Jumamosi ile ya wiki iliyopita nikiwa ninafunga ubuyu kwenye mfuko na kuchomea na kibatari kwa ajili ya kwenda kuuza kwa wanafunzi pale shule ya...
24 Reactions
193 Replies
38K Views
  • Closed
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Lucky Moyo mashine hatupo naye tena duniani. Kabla ya kufikwa na umauti ,Lucky alikuwa anaumwa sana japo mashoga wenzake walikuwa wamejitenga naye...
3 Reactions
172 Replies
32K Views
Katika birthday ya Gigy Money nimemuona Boyfriend wake akihojiwa You Tube. Huyu Mchuchu wake anaongea kingereza tu. Sijasikia akiongea kiswahili, je sio Mtanzania?
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom