MSANII wa muziki Bongo, Rosa Ree amefunguka kuwa kesi na Harmonize kwa sasa ipo kwenye mikono ya sheria kuangaliwa ni jinsi gani haki inaweza kutumika kwasababu muziki ni biashara.
Rosa Ree...
Ni ukweli usiopingika wakati wimbo huu unatoka wengi wetu tuliuchukulia poa na kuunanga kwa nguvu zote bila hata kuweka akiba ya maneno.
Amaboko tuloinanga na kuwaona wameishiwa waloiimba leo...
Wanazengo today is Thursday right ? Sio mbaya tukajikumbusha matukio ya nyuma ambayo yaliyokea Ila hayakuwahi kusikika au kuvuma.
Kama wewe utakua ni mdau mzuri wa entertainment , Jina la Emelda...
Leo nimemsikia Regina Mwalekwa katika amka na BBC lakini naskia anajiita Regina Mziwanda. Sijajua kwa nn baada ya kujiunga na BBC Swahili anajiita Regina Mziwanda
Miss Mwanza Sylivia Sebastian, usiku huu wa leo amefanikiwa kutwaa taji la Miss Tanzania baada ya kuwashinda warembo wenzake 19 waliokuwa wanawania taji hilo
Sylivia baada ya kushinda taji la...
Msanii wetu SIMBA namkubali sana sasa tatizo lake anapenda kukurupuka sana pale mafuraha ya kutoka pasipojulikana yanapo mvaa na kutangaza ma- ahadi tele kila mahali online, na hata live Wasafi...
Moja kwa moja naenda na mada tajwa hapo juu
Mtajwa jina hapo juu kwama tutakua pamoja humu JF maombi yangu kama shabiki kindakindaki
I beg you very much, utuimbie nyimbo za kiswahili tu hivi...
Naimani ulitegemea ujio wako utatrend machochoro zote ila mwisho wa siku imekuwa kawaida sana tena umekuja kipindi watz wapo bize na morrison.
Mapokezi ya kawaida, show mbovu na umepoteza mvuto...
Ugonjwa unaomtesa na kumnyoosha vilivyo Mr X kutoka taasisi fulani ya masuala ya muziki unachagizwa kwa kiasi kikubwa na laana za kuwadhulumu jasho lao wasanii mbalimbali hapa nchini kwa kujifanya...
Haji Manara " Bugatti" ameandika
"Shughuli ilikuwa hapa, Dua alizosoma Nassib sio za nchi hii, hakuacha Dua hadi helicopter ilipotua, sasa wakati chuma kinakata kona kuingia kwa Mkapa,, Nassib...
Ama kweli duniani hakuna mwembamba, Bill Nass tangu aanze kupiga mboga saba(msosi kama anasukuma kete za drafti) kwanza kunenepa, hakuna mwembamba dunia hii.
Kamanda ana kazi ya kulala na kushika...
Ifike wakati washauri wa wasanii hawa wawaze nje ya Box. Kwanza kutumika tu na Yanga ni kuiga walichafanya Mikia (Simba) lakini Kama haitoshi na nyimbo uliotunga ni umecopy Kama sio kubadili tu...
Hitmaker wa "Mama Kijacho" Tundaman asema kwamba "dume suruali" ya mwana fa alomshirikisha mwanadada v-money asema lilikuwa wazo lake.
Ni kweli wazo la wimbo wa "Dume suruali" lilianzia...
Je, na wewe ni moja ya wanaoamini Senzo alishakufa? Je, na wewe unaamini kuwa Lucky Dube ndiye aliyefanya conspiracy ili Senzo auwawe?
Angalia hii documentary.
.
Hivi mnamuelewa Aslay, labda nianze kuwauliza ndugu zangu, maana nilishafikiria Sana mpaka nimeona niwasharikishe na nyinyi.
Aslay ni Moja ya Wasanii Wazuri Sana Bongo na wanakipaji cha Hali ya...
Kuna siku nilimsihi MwanaFA na wanamuziki wengine kufanya shughuli nyingine badala ya muziki pekee.
Nimefarijika leo kunitembelea na kutambulisha bidhaa yake mpya 'body spray'. Hii ni hatua kubwa...
Habari za asubuhi members wa JF.
Kuna siku Jumamosi ile ya wiki iliyopita nikiwa ninafunga ubuyu kwenye mfuko na kuchomea na kibatari kwa ajili ya kwenda kuuza kwa wanafunzi pale shule ya...
Kwa habari nilizozipata hivi punde ni kuwa Lucky Moyo mashine hatupo naye tena duniani.
Kabla ya kufikwa na umauti ,Lucky alikuwa anaumwa sana japo mashoga wenzake walikuwa wamejitenga naye...
Katika birthday ya Gigy Money nimemuona Boyfriend wake akihojiwa You Tube. Huyu Mchuchu wake anaongea kingereza tu. Sijasikia akiongea kiswahili, je sio Mtanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.