Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kikosi kipya kabisa ndani ya Wasafi fm kwenye kipindi cha jioni. Seki , Babalevo, OK na Adela Tillya. Wajumbe mnaizungumziaje hii timu? Mimi binafsi namuamini sana Seki ana akili nyingi ataleta...
6 Reactions
96 Replies
17K Views
Sasa wale ma slay queen itakuaje jamen ?, nawaonea huruma akina huddah, tontoh dikeh, bobrisky, vera sidika and the rest, wamekula sana ma millions ya huyu jamaa in Dubai . Ila tuseme tu ukweli...
5 Reactions
233 Replies
23K Views
Salaam wana jamvi. Toka muziki wa singeli umeanza kuwaingia vichwani na masikioni Watanzania, kumekuwa na ujio tofauti tofauti wa wasanii wa singeli lakini ni ukweli ulio wazi Msaga Sumu alikaa...
3 Reactions
91 Replies
17K Views
Wazee wa vocal washachomoa Betri
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Mwijaku wakati akihojiwa na bongo five leo amesema Hamisa Mobetto anajitambua sana ndio maana kuna watu wakimuona wanatetemeka mikojo inawatoka mpaka wengine wanajinyea kwa kuomuona Hamisa...
3 Reactions
34 Replies
7K Views
yule jamaa alikuwa anamiliki hiace kibao mjini dsm zilizokuwa zinaitwa madinda trans yule aliyekuwa anaongozwa kupewa big up na bendi za kibongo enzi hizo. Yule aliyekuwa mme wa mcheza show...
4 Reactions
64 Replies
21K Views
Unaikumbuka Filamu ya Home Alone? Mhusika mkuu wa filamu hiyo Macaulay Culkin ambaye aliigiza kama "Kevin McCallister" kwenye filamu hiyo amefikisha umri wa miaka 40. " Hello Unataka kujua kama...
14 Reactions
34 Replies
5K Views
Kaingia uwanjani kwa kamba kijeshi jeshi,toka juu ya paa la uwanja hadi kwenye pitch very risk but ndo vionjo vyenyewe hivyo.....show bado inaendelea japokua hadi sasa bado hajaleta amsha amsha...
7 Reactions
123 Replies
17K Views
Kwa upande wangu nawakumbuka 1. Marc vivan foe..huyu ni mchezaji wa timu ya cameroon ambaye alifia uwanjan 2. Papa wemba alifia stejin akiwa anatumbuiza 3. Blondon lee huyu alifariki wakati...
1 Reactions
90 Replies
21K Views
Dar es Salaam. Ashiraf Geuza maarufu' Uchebe' amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na kosa la kumjeruhi Zuwena Mohamed maarufu 'Shilole' na kumsababishia maumivu makali...
3 Reactions
56 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, Tukiwa kwenye vugu vugu la uchaguzi mkuu na campaign za vyama mbali mbali na mapambano bado yanaendelea ya kutafuta kijio Cha kila siku. Nimebahatika kusikiliza interview ya...
16 Reactions
43 Replies
9K Views
Msanii wa muziki kutoka WCB wasafi, Zuchu amefikisha followers million 1 ndani ya miezi minne tu tangu kutambulishwa rasmi katika label hiyo kubwa Afrika Mashariki na kati. Zuchu pia ana...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
  • Closed
KUPITIA UKURASA WAKE WA INSTAGRAM MSTAAFU MAKONDA AMEANDIKA: Heshima na Mamlaka ni zako eee Mungu wa Mbingu na Nchi na kwako wewe tunalia Aba, nitaendelea kutaja ukuu wako siku zote za maisha...
11 Reactions
89 Replies
13K Views
Askofu na Mchungaji Gwajima amekuwa moja ya watu maarufu na gumzo kubwa sana nchini. aina hii ya watu wapo duniani kote kwa Dini au Imani zote. Mtu wa namna hii unapoanza naye vita unapaswa kwanza...
33 Reactions
268 Replies
57K Views
Mmh huyu bi kidude naye anachokitafuta atakipata, sasa sijui anamringishia nani, huyu naona hawajui wabongo vizurI , atapigwa vipapai mpaka ajikute anatembelea wheel chair. Hizi Show off zake...
8 Reactions
111 Replies
14K Views
Nimeona tangazo kupitia Azam TV. Nikabaki nacheka tu. Nakumbuka siku wanasign pambano, Dullah alikuwa sereouz. Jamaa alishauri promoter atoe laki2 kwenye pesa yake ili ikitokea Kiduku amemaliza...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Naam Huyu dada huwa namkubaii sana wakati wa usomaji wa Taarifa ya habari pale ITV. Anajiamini na uwasilishaji wake wa habari ni mzuri kwakweli Kwangu Mimi namuona inafaa sana BBC Swahili...
14 Reactions
138 Replies
25K Views
Huyu ndio pesa zimemjaa sana au ndo Jumalokole kashakua role model wake. Mh! This is too much.
3 Reactions
57 Replies
7K Views
Habari za saa hizi wakuu, Huyu kijana kutoka West Africa Nigeria. Kuzaliwa: 5 February 1996 Mahali alipozaliwa: Abeokuta Nigeria Nyimbo 1: Jealous 2019 2: King 2019 3: What if I say 2019 4: You...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom