Huyu mwanadada yuko wapi? Binafsi nampenda sana huyu mrembo...
Kipindi anashiriki hili taji na kushinda nafasi ya pili, bado nilikuwa shule DIT nilimtamani sana sema tu sikuwa na mavumba kipindi...
First of all, do you believe in re incarnation?
So you love Tupac Shakur?
Do u know who George Stinney was ?
Do u want me to prove to you why I say Tupac Shakur was a re incarnation of George...
kuwa staa ni mtaji mkubwa sana kwa msanii, unaweza kufanya kitu cha kawaida tu ila kikapewa sapoti mno na kuonekana kikubwa, mbali na kazi za sanaa kuwa staa ni kuwa na sifa kama za huyu kijana...
Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana...
Christina Shusho ni moja kati ya waimbaji maarufu wa muziki wa injili Tanzania ambao wamefanikiwa kufikisha pia kazi zao nje ya Tanzania.
Christina amekuwa na utaratibu wa kuandika jumbe kwa...
Professionally, huyu jamaa ni muigizaji maarufu kidogo, tena ni mtanzania anaeongea kiswahili, na ni mwanaume aliezaliwa na kukulia Dar, aliigiza kwenye ile movie inayoitwa huba, half kimuonekano...
Licha ya kutaka tu mziki mzuri lakini tunapenda vionjo vingine pia kutoka kwa Mwanamuziki. Msanii/Mwanamuziki/Mburudishaji yafaa kuishi kisanii kama kazi uliyochagua inavyokutaka na si kuleta...
Kuna rundo la watu wenye wasiopenda wema wa kijana wameegamia kwenye fikra potofu kwamba ilibidi huu msaada utoke kimya kimya, Jibu ni "NO" "HAPANA!!!" Kuna misaada inabidi itoke kimya kimya...
Nasikia mara kwa mara Zari the boss lady akiitwa Tukinao na team pinzani so nataka kujua lina maana gani na ni nani alilianzisha maana kama linazidi kuwa viral hivi.
Kuhusu kulipia show
===========
Jamaa kaona isiwe kesi, Kiki hakuna kaamua kujilipua kwa kununua Airtime ili Akiki siku mbili tatu
====================
Kuhusu performance ya kuwa nzuri...
Haters wa Alikiba
Mshumaa=> Hii ngoma si ya kimataifa haiwezmfikisha popote ni ya hapa hapa
Dodo=> Ngoma Imepooza Sana mda huu watu wanataka ngoma za kubang
So hot, Club banger=>Ngoma mbovu...
Habari wadau wa JF na Bongo fleva,
Aliyekuwa mwanamziki wa bongo fleva na komandoo wa JWTZ aliyejulikana kama Masota afariki dunia.
Masota alitamba na vibao kadhaa alivyorecord kwa producer...
Mimi sio mpenzi sana wa miziki ya Bongo Flava ya siku hizi kwa sababu beat zake asilimia 90 zimetengenezwa kwa kompyuta.
Kipindi nasoma Secondary School tulikuwa na music lessons. Tulifunzwa...
Halo JF celebrities.
Nimekuwa nikiona mitandaoni, Zari The Boss Lady akiitwa Bi Tukinao! Wanaomwita hivyo ni wanawake. Sasa hili jina maana yake nini na kwanini kabatizwa hivyo?
Jana nimebahatika kutazama kipindi cha Big Sunday Live kinachoongozwa na Lil Ommy. Nikiri wazi kuwa nimependa show yake, kuanzia ukumbi wamejitahidi sana maana hadi magari bajaji bodaboda zinazama...
Jana mmenikosha Sana kwenye hii show ya big Sunday live kumuona comedian wangu ninayemkubali Sana deogratius wa cheka tu jamaa anajua kuchekesha Sana.Kwa faida ya wale wasiojua kuhusu show ya big...
Kweli bongo land tumejaliwa kua na vipaji vingi sana, na watu wanajua kweli, ndio sababu hata mkuu wa nchi leo wakati anavunja bunge amewapongeza sana wasanii wetu kwa kupeperusha bendera vyema ya...
Aisee Startv kuna watangazaji kumbe nilikua sijui kabisa
Huyu jamaa anaitwa Edwin Odemba kwenye kipindi cha Siasa anajitahidi sana na haegemei upande wowote
Mcheza filamu asiyechuja bongo , na mwenye mvuto wa aina yake , Elizabeth michael , ameonekana akiwa kwenye kisiwa cha Zanzibar akila bata na marafiki zake na kufurahia maisha ..
Mrembo huyo...