Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Msanii kunako kiwanda cha muziki wa bongo fleva Wakazi amesema anamiliki shule ya nursery na primary maeneo ya stakishari ukonga. Wakazi ameyasema hayo akihojiwa na Dozen Selection ambapo...
1 Reactions
45 Replies
11K Views
Swala la Diamond kuvaa saa fake limekuwa kuuubwa ila bado kitu saa aliyovaa ni very expensive inakadiriwa kuwa na gharama ya $130. Kupitia ukurasa wake wa Instergram Diamond alipost picha akiwa...
7 Reactions
63 Replies
8K Views
Habarini wakuu, Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka...
6 Reactions
85 Replies
20K Views
Jana nilibahatika kusikiliza interview ya Darassa aliyofanyiwa na Salama Jabir. Kwanza nikiri Salama ni bingwa wa kufanya interview maana interview zake utasikia vitu ambavyo hukuwahi kusikia...
22 Reactions
40 Replies
41K Views
Kiukweli katika siku za hivi karibuni Juma Lokole amekuwa akimpaisha sana Diamond platnumz kupitia akaunti yake ya Instagram kwa kumpost kila mara. Ni vyema Diamond platnumz akamfikiria...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii. Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo...
23 Reactions
362 Replies
66K Views
Wakuu achana na hela. Jamaa yangu mmoja anashtua misuli kwa mmoja ya wale wasanii wa kike wa WCB kwa hiyo huwa ana access na baadhi ya vitu vya WCB ambavyo havijawa tayari kwa matumizi ya umma...
23 Reactions
63 Replies
9K Views
Yule kijana mtukutu aliyekua kifungoni na kuachiwa hivi karibuni kwa masharti bwana Tekashi69 karudi kwa kishindo. Jana 8 may ilikua bday yake na kaachia nyimbo mpya inaitwa GOOBA The boy is...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Nani anajua waigizaji wetu kwenye Bongo Movies wanalipwa kiasi gani kwa kuigiza kwenye Filamu na ni nani ndiye anayeongoza kwa kulipwa hela nyingi? Umaarufu wa watu wa Bonge Movies unatokana na...
1 Reactions
37 Replies
9K Views
Waandaaji wa Tuzo za Soundcity MVP wametangaza orodha ya wasanii wanaowania vipengele mbalimbali kwenye Tuzo hizo Watanzania @Diamondplatnumz @RayVanny @S2kizzy @OfficialNandy @Harmonize_tz na...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Hiki kitu nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara tangia harmonize ameanza kufanya kazi zake mwenyewe. It seems wanaosimamia biashara zake either hawana kauli yeyote ile juu yake au hawajui...
10 Reactions
58 Replies
8K Views
Za chini chini ni Kwamba King kiba Kamuombe Msamaha Diva pale Mjengoni Clouds, Alipokwenda kufanya Intervier leo kwenye kipindi cha XXL
2 Reactions
34 Replies
5K Views
Mwanadada aliyepata umaarufu kupitia kuwa video queen kwenye ngoma ya nuhu mziwanda ya " Jike shupa" nakupachikwa jina Hilo na mashabiki wa mziki amejikuta matatani baada ya kufumaniwa na Mume wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini wana JF ni matumaini yangu mpo wazima kabisa katika kipindi hiki cha karantini tuendelee kuchukua tahadhari. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kwenu madam Ritta na...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Naam, Pengine ulikuwa hujui sasa nakujuza. Bwana Lucian Gabriel Wiina Msamati ni muigizaji wa Kiingereza mwenye asili ya Tanzania kuigiza katika Tamthilia pendwa ya Game of Thrones. Katika Game...
9 Reactions
32 Replies
6K Views
Umetoa kod kwa wasiojiweza, saafi Umejenga msikiti, saafi Umeleta radio, studio, tv, saafi Umefanya matamasha ndani na nje ya nchi, safi Umetuletea maneno mapya kwenye lugha yetu pendwa mfano...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Habarini Wadau, Kiukweli namhusudu na kumpenda sana huyu dada, ambaye ni mtangazaji wa ITV. Anayeweza kunisaidia namba zake aidha ya simu au ya nyumba aniwekee hapa tafadhali. Najua hajaolewa...
6 Reactions
78 Replies
24K Views
Akifanya mahojiano yake na kituo kimoja cha online TV mbunge David Silinde ameweka umri wake hadharani. Silinde amenukuliwa akisema yeye bado Kijana na umri wake ni miaka 35. At the Hill i used...
7 Reactions
30 Replies
4K Views
Mwanzilishi wa harakati za Piga Kambi Utalii wa Ndani, Lisa Karl Fickernscher ambaye alikuwa ni mke wa msanii wa Hip Pop hapa nchini Mabeste amefunguka kiundani kuhusu maisha yake na aliyekuwa...
11 Reactions
597 Replies
61K Views
Moja ya wadada wanaotisha kwa urembo hapa bongo kuanzia juu mpaka chini nilibahatika kuona picha yake moja akiwa natural kabisa inaonekana kama ana asili flani hivi siyo mbantu kwa asilimia 100...
0 Reactions
62 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…