Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

COVID-19: Austrian Wrestler Converts to Islam while in Lockdown Austrian wrestler, Wilhelm Ott, has pronounced the shahada (Islamic declaration of faith) while observing social distancing at home...
5 Reactions
78 Replies
6K Views
Msanii Nandy asifia uwezo wa Zuchu kimziki "Mimi Kama mwanamziki inaweza kuwa ngumu kusifia kazi za mwenzangu lakini kwa Zuchu kiukwel anajua Sana, Cha msingi ajitahidi kufanya vizuri atafika...
1 Reactions
50 Replies
9K Views
Tukiwa tuna throw back thursday. Tujikumbushe Shilole alivyokuwa msanii wa kwanza kulamba diili nono ya kuwa ambassador wa CRDB. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka...
13 Reactions
85 Replies
9K Views
Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida. Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini.. Kosa la...
12 Reactions
113 Replies
10K Views
Alifahamika kama mwanamuziki (sijui shughuli yake siku hizi). Hivi karibuni ameibuka na mtindo wa kumshambulia mwanamuziki Diamond kwa kila anachofanya. Imefikia hatua hata ya kujilinganisha naye...
8 Reactions
62 Replies
11K Views
Ila shoga angu kiboko khaa, warumi mie napenda ushirikina ila shoga angu umezidi, kwa hiyo wewe na kina wema na lulu kila wiki nyie mnaenda kuroga? Kwa hiyo na nyie kwenu ilikua kama ibada kila...
14 Reactions
78 Replies
15K Views
Kimenukaaaaa , Bifu Jipya in Town kati ya rais wa wambea duniani Soudybrown na mwanadada mwenye sauti laini ya kumtoa nyoka pangoni Diva The Bawse. Ila kusema ukweli hili bifu nina mashaka nalo...
0 Reactions
35 Replies
11K Views
Waliyokuwa wasanii wa kingsmusicrecords, cheed na lkilly wametangaza leo asubuhi kujitoa kwenye lebo hiyo kupitia ujumbe wa pamoja walioweka kwenye kurasa zao Instagram. Wawili hao wamemshukuru...
4 Reactions
118 Replies
51K Views
Wajameni rich mavoko yuko wapi? Simsomi siku nyingi.
3 Reactions
120 Replies
17K Views
Hivi karibuni, kuna rafiki yangu mmoja alipewa invitation sehemu. Akanicheck nimpe kampani. Tukaenda wote. Ilikuwa ni house party ya familia fulani ya kiarabu. Naweza kusema ni wale waarabu...
5 Reactions
44 Replies
7K Views
Huyu msaanii ni miongoni mwa watu wa mwanzoni kabisa kutangaza kupata virusi vya Corona. Mpa sasa hakuna habari zozote za kuhusu kupona kwake ama kuwepo karantini. Mwenye taarifa atujuze.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Hisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara. Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka...
20 Reactions
188 Replies
20K Views
Ninavyoamini mimi, wachungaji ni watu maalum katika jamii ambao wamejaliwa kuwa viongozi wetu wa kiimani....nimesoma kwa mshtuko from some newspapers that mchungaji mama Getrude Rwakatare (MB)...
0 Reactions
119 Replies
23K Views
Huyu jamaa kapotelea wapi, hasikiki redioni wala kwenye TV, alisikika kwenye Power Jam, The Cruise, Friday Night live na Enewz, kwa kipindi kirefu sasa hasikiki reddioni wala kuonekana kwenye TV
3 Reactions
55 Replies
13K Views
Gigy money ameonekana mara nyingi akimponda Alikiba nakudhihirisha zahiri kuwa yeye ni fan number one wa Diamond Platinumz, ila inasemekana kuwa Alikiba pamoja na mdogo wake aitwaye Abdukiba...
1 Reactions
85 Replies
11K Views
PHILLIP Schofield has reportedly moved out of his family home and into a London flat after coming out as gay. The This Morning star, 58, shared a large £2million pad in Oxfordshire with wife of...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
FAITH Evans alikuwa mke wa Rapa Notorious BIG ambaye alitambulika kuwa hasimu wa Tupac Shakur. Hamisa Mobetto alikuwa mpenzi na aliishi kinyumba na Diamond Platnumz ambaye inafahamika ni hasimu wa...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Celebrities kote nchini mmepiga kimya kama hakuna kinachoendelea. Tafadhali saidieni jamii ambayo ni sehemu ya mashabiki wenu. Mmeshindwa hata kutoa Sanitizers, sabuni au ndoo za maji?
2 Reactions
109 Replies
8K Views
habali wanajukwaa, twende katika mada, Katika nyimbo ya Dhahabu ya dully Sykes ambayo aliwashilikisha wakali wawili @joselini na @mrblue ,ambao kipindi iko kulikuwa na tarifa walikuwa awahivi...
0 Reactions
77 Replies
11K Views
Back
Top Bottom