COVID-19: Austrian Wrestler Converts to Islam while in Lockdown
Austrian wrestler, Wilhelm Ott, has pronounced the shahada (Islamic declaration of faith) while observing social distancing at home...
Msanii Nandy asifia uwezo wa Zuchu kimziki "Mimi Kama mwanamziki inaweza kuwa ngumu kusifia kazi za mwenzangu lakini kwa Zuchu kiukwel anajua Sana, Cha msingi ajitahidi kufanya vizuri atafika...
Tukiwa tuna throw back thursday.
Tujikumbushe Shilole alivyokuwa msanii wa kwanza kulamba diili nono ya kuwa ambassador wa CRDB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania wengi wanatatizo lakuwa wanafiki na wasio na shukrani hata kidogo, nimeona wengi wakiiponda BSS na wengine kwenda mbali zaidi kuitukana na kutoa lugha chafu juu yao Cha ajabu mpaka...
Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida.
Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini..
Kosa la...
Alifahamika kama mwanamuziki (sijui shughuli yake siku hizi).
Hivi karibuni ameibuka na mtindo wa kumshambulia mwanamuziki Diamond kwa kila anachofanya. Imefikia hatua hata ya kujilinganisha naye...
Ila shoga angu kiboko khaa, warumi mie napenda ushirikina ila shoga angu umezidi, kwa hiyo wewe na kina wema na lulu kila wiki nyie mnaenda kuroga? Kwa hiyo na nyie kwenu ilikua kama ibada kila...
Kimenukaaaaa , Bifu Jipya in Town kati ya rais wa wambea duniani Soudybrown na mwanadada mwenye sauti laini ya kumtoa nyoka pangoni Diva The Bawse.
Ila kusema ukweli hili bifu nina mashaka nalo...
Waliyokuwa wasanii wa kingsmusicrecords, cheed na lkilly wametangaza leo asubuhi kujitoa kwenye lebo hiyo kupitia ujumbe wa pamoja walioweka kwenye kurasa zao Instagram.
Wawili hao wamemshukuru...
Hivi karibuni, kuna rafiki yangu mmoja alipewa invitation sehemu. Akanicheck nimpe kampani. Tukaenda wote.
Ilikuwa ni house party ya familia fulani ya kiarabu. Naweza kusema ni wale waarabu...
Huyu msaanii ni miongoni mwa watu wa mwanzoni kabisa kutangaza kupata virusi vya Corona.
Mpa sasa hakuna habari zozote za kuhusu kupona kwake ama kuwepo karantini.
Mwenye taarifa atujuze.
Hisia zangu zinaniambia Harmonize bado yuko mikononi mwa Diamond ila Umma tunaaminishwa katoka ni game well played ila kuwin kibiashara.
Hebu tuone hili, hapo awali Harmonize alipokuwa anatoka...
Ninavyoamini mimi, wachungaji ni watu maalum katika jamii ambao wamejaliwa kuwa viongozi wetu wa kiimani....nimesoma kwa mshtuko from some newspapers that mchungaji mama Getrude Rwakatare (MB)...
Huyu jamaa kapotelea wapi, hasikiki redioni wala kwenye TV, alisikika kwenye Power Jam, The Cruise, Friday Night live na Enewz, kwa kipindi kirefu sasa hasikiki reddioni wala kuonekana kwenye TV
Gigy money ameonekana mara nyingi akimponda Alikiba nakudhihirisha zahiri kuwa yeye ni fan number one wa Diamond Platinumz, ila inasemekana kuwa Alikiba pamoja na mdogo wake aitwaye Abdukiba...
PHILLIP Schofield has reportedly moved out of his family home and into a London flat after coming out as gay.
The This Morning star, 58, shared a large £2million pad in Oxfordshire with wife of...
FAITH Evans alikuwa mke wa Rapa Notorious BIG ambaye alitambulika kuwa hasimu wa Tupac Shakur. Hamisa Mobetto alikuwa mpenzi na aliishi kinyumba na Diamond Platnumz ambaye inafahamika ni hasimu wa...
Celebrities kote nchini mmepiga kimya kama hakuna kinachoendelea.
Tafadhali saidieni jamii ambayo ni sehemu ya mashabiki wenu.
Mmeshindwa hata kutoa Sanitizers, sabuni au ndoo za maji?
habali wanajukwaa, twende katika mada,
Katika nyimbo ya Dhahabu ya dully Sykes ambayo aliwashilikisha wakali wawili @joselini na @mrblue ,ambao kipindi iko kulikuwa na tarifa walikuwa awahivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.