Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Jana kupitia Insta Live, King wa muziki wa Bongo Fleva AliKiba amefunguka namna ambavyo Dully Sykes alishiriki katika kumsaidia kutengeneza wimbo wake wa kwanza mwaka 2003. . Dully Sykes alimsikia...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Hi kwa wanaburudani wote. Nakumbuka nikiwa mdogo baba aliwahi kuniambia. Mafanikio ya binadamu yoyote yanategemea vitu vikubwa vitatu:- 1. Bahati 2. Kipaji 3. Elimu Akaniambia kati ya vyote...
1 Reactions
81 Replies
10K Views
uzee mwisho Chalinze ========= The baby boy’s big sister will be 65. The car-racing billionaire told Britain’s PA Media that his Brazilian wife, Fabiana Flosi, 44, is expecting a son this...
1 Reactions
4 Replies
894 Views
Kwa ujio wa show ya homa ya TV E ni habari nzuri. Kutokana na janga la corona Sikh ya ijumaa kuanzia saa 3 usiku kunakuwepo na show ya homa, unaangalizia Nyumbani kwako au YouTube au Insta Live...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Manager wa msanii mkubwa Diamond Platnumz, Sallam SK amefunguka baada ya kupona ugonjwa wa Corona akiwa amefanyiwa na moja ya chombo cha habari amesema kwamba wakati anatangaza kuwa amepata Corona...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Ananias Edga - Global TV online 2. Davistet Matata Je, wewe unamkubali nani ??? Waweza ongezea Unaowakubali. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
60 Replies
14K Views
Za asubuhi wana jamvi Kwanza kabisa napenda kukubali na kufaham juhudi za marehemu kanumba kwenye kiwanda cha filamu bongo. Kipindi kanumba yupo hai bongo movie ndo industry iliyokuwa inauza...
4 Reactions
23 Replies
5K Views
Soko la muziki barani Afrika limekua sana kwa sasa, haishangazi kuona wasanii mbalimbali wakipishana kwenye majukwaa makubwa duniani kote kufanya show zinazowaingizia kipato. Kuna wasanii wengi...
2 Reactions
75 Replies
13K Views
1. Nahreel 2. Mr. T touch 3. Manecky 4. Imma The Boy 5. Marco Chali
4 Reactions
100 Replies
23K Views
Hili ni jukwaa la celebrity numeleta kidogo mjadala wa demu yupi wa star wa kibongo ni mkali zaidi. Kwa upande wangu namuona mke wa Kiba, Bi Amina Khaled a.k.a Mrs Ali kiba ana ngozi nzuri tena...
3 Reactions
42 Replies
7K Views
Hatimaye msanii na mwanamuziki Ali Saleh Kiba amekuwa director (mkurugenzi) wa kampuni ya kusimamia mziki Afrika Rockstar 4000 na Rockstar television. Ali kapewa nafasi ya uongozi huo baada ya...
5 Reactions
29 Replies
11K Views
Nimemsikia sehemu leo akitaja mwaka.alio zaliwa. Anasema amezaliwa tarehe 27 mwezi wa 10 mwaka 1939. Mzee Mkapa anamzidi Bi Hindu mwaka.mmoja tu!!!! She is eleven years older then my father and...
9 Reactions
105 Replies
20K Views
Hawa wanawake wengine ni shida, ya ndani analeta hapa mtandaoni kweli dah. somenihapo chini (instagram) joycekiriasuperwoman Kilewo baba Watoto wangu, yaliyotokea ilibidi yatokee ili kila...
14 Reactions
573 Replies
82K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida aliyekuwa msanii namba mbili WCB na nchini Tanzania kwa ujumla bwana Harmonize ameendelea kutudhihirishia kuwa kuna nguvu ya ushawishi mitandaoni imepungua katika...
3 Reactions
61 Replies
11K Views
Nipo uku mkoani mlioko jangwani tupieni hata vipicha
6 Reactions
351 Replies
51K Views
Habari zenu jukwaa la celebrity. Tujuzane bila upendeleo ni binti au demu gani hapa Tanzania amefanikiwa pakubwa kwa kazi zake kuinuka kimaisha yeye binafsi au hata kuwainua ndugu zake. Kipato...
1 Reactions
168 Replies
18K Views
Mwanamuziki wa Jazz na mpiga Saxophone kutoka Cameroon, Emmanuel N'Djoke Dibango (86) maarufu ‘Manu Dibango’, amefariki leo asubuhi akiwa jijini Paris baada ya kupata maambuzi Covid 19...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
April 4, 2020 CORONA : WASANII WAUNGANA STUDIO KWA MARCO CHALI KUTOA NYIMBO YA KUELIMISHA JAMII Wanamuziki wakongwe wameamua kuingia studio ili kutengeneza wimbo maalum kuelimisha umma juu...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari njema kwa wapenda maendeleo. Maendeleo hayana Team kwa sauti ya Magufuli. Habari njema ni kwamba kijana anae liwakilisha Taifa letu katika Tasnia ya muziki kajiandikia historia ya kuwa...
8 Reactions
106 Replies
18K Views
Aisee nawaonea huruma Sana wasanii wanaotegemea kuendesha maisha yao kupitia show Corona kachafua Hali ya hewa.
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…