Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kuna msemo unasemaga “mafanikio mengine katika maisha huwezi kuyafikia mpaka ujihusishe na nguvu za giza.” Kwa mafanikio na mvuto aliokua nao Diamond Platnums, bila shaka kuna uwepo wa nguvu...
4 Reactions
67 Replies
14K Views
HARMONIZE NA JIDE, BALAA NA NUSU Nilisikiliza kwa mara ya kwanza, nikasikiliza tena halafu nikasikiliza tena na bado naendelea kusikiliza. Napata burudani kusikiliza mashairi bora kabisa kutoka...
17 Reactions
38 Replies
7K Views
Eric Shigongo, mfanyabiashara maarufu na mmiliki wa kampuni ya Global Publishers amelalamika kitendo cha Diamond kuwatoza mapromota wa nyumbani kiwango kile kile anachowatandika wale wa nje...
11 Reactions
134 Replies
17K Views
Wakuu nawasalimia, Ni ukweli usiopingika kwamba familia ya mwanamziki mahiri Ally Zoro ikiwa ni baba na watoto ilijizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya nchi. Hata hivyo,familia hiyo ikiongozwa...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Wengi huwa nawaambia ukiona mtu na demu wake au mke wanagombana usiingilie kwa kumchamba au kumsema vibaye mwingine au kumuelekeza chuki dhidi ya mmoja no uta ahibika, lazima tuishi kwa kuwaelewa...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Kituo cha redio cha Times kimeanzishwa muda mrefu sana kikiwa na gazeti lake la Business times sikuhizi sijui kama lipo, ni moja ya kituo ninachokikubali sana kina misheni zake na hakikurupuki...
8 Reactions
56 Replies
8K Views
Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania alipata nafasi kutembelea Museum ya FIFA pale Zurich. Msanii Diamond ametua Uswizi mahususi kwa ajili ya show yake ambayo ameipa jina European Tour. Baada ya...
18 Reactions
84 Replies
11K Views
Hebu cheki kijana wa juzi juzi tu Harmonize anavyobamba kila kona, kachangamsha mitaa kwa album iliyosheheni mikwaju,wewe huskiki kabisa siku hizi. Tulikutegemea uje umchalenji Diamond...
20 Reactions
55 Replies
6K Views
Huyu mrembo wa kitanzania maarufu sana kule instagram kwa muonekano wake nadiriki kusema ndo mwanamke mwenye shepu bomba kuliko wote Africa..sitaki kuongea mengi picha zinafuata
6 Reactions
330 Replies
58K Views
Malkia aliwategemea Harry na Meghan kuwa mabalozi wake katika nchi za Commonwealth ambazo siku hizi anashindwa kuzitembelea kutokana na umri kusonga mbele. Harry na Meghan wako kwenye ziara yao...
9 Reactions
34 Replies
6K Views
Hello guys, Ameanza kutoa misaada ya mamilioni ya shillingi kila mwaka tangu miaka ya 1992 mpaka leo, na bado yuko vizuri kipesa, sasa najiuliza kwamfano kwa bahati mbaya siku imetokea...
6 Reactions
130 Replies
17K Views
Hayawi sasa yamekuwa.. Yule msanii Mwenye Mwili kama Pipaa.. Anayejiita Jeshi, ila watanzania wakasema hapana, wewe ni Tembooo.. hatimae kesho atazindua rasmi Album yake ndani ya viwanja vya...
1 Reactions
229 Replies
21K Views
Naogopa na ninaona kabisa tukichukua 3 latest release za diamond na harmonize, harmonize amemfunika diamond katika uandishi na mashairi. Tukichukulia mfano wimbo wa diamond na papa wemba, na...
2 Reactions
53 Replies
8K Views
Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti. Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka...
9 Reactions
38 Replies
7K Views
Jamani Jamani wanazengo Leo wambea tutakufa kwa pressure maana sio kwa double breaking news za Leo , yani wakati sakata la gwajima bado likiwa bichi, Jipya laibuka kuhusu mke wa marehemu mengi...
12 Reactions
556 Replies
90K Views
My friend Haji Manara haya mambo mwachie Le Mutuz, mzee wa rangi ya mtume Usituletee tu corona Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
37 Replies
9K Views
On December 13, 2007, the Leon H. Sullivan Foundation will host its biennial Sullivan Summit Awards Dinner. The Dinner will feature notable guest speakers who share an international...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Msanii hawa aliyefahamika zaidi kupitia wimbo wa Diamond Plutinumz wa Nitarejea. Aliwahi kukiri kwamba stress za maisha zilimpelekea kuingia katika maisha ya utumiaji wa madawa ya kulevya pamoja...
10 Reactions
38 Replies
6K Views
Mwanae janael kanumba kathibisha hilo, kafariki mkoani Shinyanga alikokuwa anapatiwa matibabu === Dar es Saalam. Baba wa marehemu Steven Kanumba amefariki dunia leo Jumapili ya March 8,2020...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa mbunge wabunda mjini mh Ester Amos Bulaya. Tumtakie kila lililo jema kwenye safari yake ya kisiasa maana bado ni damu changa na kwa ulinzi wa mungu bado ana safari ndefu...
12 Reactions
21 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…