Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Katika maisha ya mapenzi ya Diamond amekuwa akiimba nyimbo kali na za hisia hasa anapokuwa katika mahusiano. Kati ya wapenzi wake wawili tu ndo wameimbiwa nyimbo nyingi, yaani wema na zari. Sasa...
0 Reactions
53 Replies
9K Views
Kiukweli kinachomsumbua diamond Ni hela anazolipwa na you tube , yupo radhi kufanya lolote ili tu apate viewers hata kucheza ngono akaweka you tube. Na hii ndo sababu hasa inayomfanya siku hizi...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wcb Wameshuka sa kiuwezo kuna kipindi Walikua Wanatoa hit song kwa ushirikiano wa Harmonize na Diamond ilikua inatazamika kua inaenda kua Moja Lebo kubwa barani Africa. Ila baada ya kutoka...
18 Reactions
119 Replies
15K Views
Tunapoenda kusherehekea Uhuru wa Tanzania Bara; sina budi kuuliza hivi ni kina nani waliokuwa waasisi wetu na sasa wako wapi na wanafanya nini? a. Hapa nina maana wale walioshirikia katika...
1 Reactions
44 Replies
10K Views
Sijui alipotelea huyu jamaa? hii nyimbo aliimba na Waziri Sonyo ambaye naye sijui yuko wapi. video ya ndoto tata ni moja ya video ya kibunifu kuwahi kutokea Tanzania.
4 Reactions
23 Replies
9K Views
NIlikuwa naangalia TVT hapa mara baada ya hotuba ya Rais Kikwete kwa Taifa. Mara kwaya ikatokea wakiwa wametilia sare zao za njano na nyeusi huku wakiimba wimbo uliokuwa ukisindikizwa na kinanda...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Naona baada ya vitimbi vya kura za CCM vitimbi vingine lazima hufuatia. Tafadhali soma zaidi hapa chini: Karume amsaka aliyemnyima kura amkaribishe Ikulu Na Salma Said, Zanzibar MAKAMU...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Kama inavoonekana, muda si mwingi wimbo wa Harmonize msanii namba moja Tanzania utakuwa ni The most viewed Tanzanian song of all time. Na siku hiyo Harmonize ndo atakuwa msanii mkali zaidi kuwahi...
9 Reactions
81 Replies
14K Views
Kuna shida sehemu. Kwanini wasanii tunawasapoti sisi lakini wakija kupiga show kwenye mikoa yetu mnawaponda kuwa ni za uchochoroni. Kwanini sapoti tuwape sisi show mpige Ulaya? Mbona Marekani...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari tajwa hapo juu, naomba kujuzwa kuhusu msanii aliyetamba kipindi cha nyuma kidogo katika tasnia ya Bongo Movie hususani katika tamthilia ya Jumba la Dhahabu. Naomba...
3 Reactions
47 Replies
22K Views
Ukiambiwa WCB ni kama maji usipoyaoga lazima uyanywe, Singeli imefika duniani, Kupitia ukurasa wa Swizzbeats mume wa alicia keys amepost video ya Yeye na mkewe Alicia keys wakicheza wimbo wa...
11 Reactions
44 Replies
10K Views
Jambazi sugu lisilopigika DEONTAY WILDER au ukipenda muite BRONZE BOMBER au BOOOOMB SQUAD nicknames ambazo amepewa na mashabiki kutokana ma uzito wa makonde yake yasiyo zuilika . Wengi sana...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Diamond Kaishiwa idea na Kik Zimemkataa kwa sasa anachofanya ni kucopy ili aibue mijadara, Jamaa uwezo wake unaporomoka kwa kasi sana
4 Reactions
80 Replies
10K Views
Mpenzi wa mchekeshaji Ebitoke ambaye pia ni msanii Simco amefunguka sababu za kukosekana mpenzi wake Ebitoke kwenye party yake ambaye aliifanya huku akizindua wimbo wake mpya na kueleza kuwa...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Mimesoma kwenye Instagram ya Harmonize ameandika show yake iliyokuwa ifanyike usiku huu imezuiwa. Show hiyo ilikuwa na kibali cha mpaka 6.00 lakini polisi wameizuia. Ameandika bado hajabahatika...
2 Reactions
50 Replies
9K Views
Msanii mfupi Tanzania amepata mtoto. Mtoto amefanana na baba yake. Hongera kwake. Mungu amkuze mtoto 🙏🙏
4 Reactions
59 Replies
9K Views
Habarini Wakuu! = = Usiku Wa Jana Majira Ya Saa Moja Na Dakika 45 Wakati Natoka Zangu Mugabe Kwa Miguu Kuelekea Mawasiliano. Nikawa Nashuhudia Uumbaji Wa Mungu Taratibu Nikitembea Kwa Hatua Za...
3 Reactions
50 Replies
5K Views
Suzanne, Wimbo mpya wa SSoul, Wimbo umetulia kuanzia utunzi , melody hats video wasanii wetu wana cha kujifunza! Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Hayo mambo ya 50 percent ya uongo, believe me! Huyo mama hapo ni Joyce Luhanga ni ndiye alikuwa Mengi’s brain Jacqueline hana cha 50, 10 1 percent. Joyce yupo tangia enzi za 1980 In Trump’s...
1 Reactions
31 Replies
15K Views
Jacqueline Ntuyabaliwe (Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi) ambaye pia anajulikana kama K-Lyn alizaliwa tarehe 6 mwezi Disemba 1978 mjini Dar es Salaam, Tanzania. Ni Mwanamuziki , mfanyabiashara na...
19 Reactions
241 Replies
45K Views
Back
Top Bottom