Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Moja kwa moja kwenye mada, wengi wetu tukisikia jina la Tenko au tekno miles . Basi ni ukweli usiopingika moya kwa moya kama siyo moja kwa moja , kila mtu anajua kuwa huyo ni mkali toka pande...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Haijajulikana anaelekea media gani, lakini ameaga leo katika kipindi chake. Tetesi zinadai anaelekea Wasafi FM. Sent using Jamii Forums mobile app
5 Reactions
45 Replies
12K Views
Kama wewe ni miongoni mwa watu waliotamani kushuhudia mazishi ya mchezaji wa Basketball Marehemu Kobe Bryant na mwanaye Gigi taarifa ikufikie kuwa tayari wawili hao wameshazikwa kwa Siri siku ya...
3 Reactions
29 Replies
6K Views
Siku zote maisha ni kama gwaride, ukisikia nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza. Licha ya utajiri na ustaa alionao Bi. Sandra, enzi za ujana wake alishafanya sana kazi za ubaamedi na...
4 Reactions
68 Replies
12K Views
Masanii wa muziki wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz amepata maualiko rasmi wa kuhudhuria michezo ya NBA All-Star ambayo itafanyika mjini Chicago Marekani kuanzia Februari 14 hadi 16 mwaka huu. Ommy...
5 Reactions
58 Replies
7K Views
Siku ya kwanza nasikia ngoma inaitwa Duro kutoka kwa Tekno nikasema hii ni hit haiitaji maelezo. Hakuishia hapo zilifuata ngoma zilizonamba Afrika na zikavuka boda mastaa kibao wa Mamtoni...
6 Reactions
43 Replies
7K Views
Habaru zinasema huenda akatimkia Usafini
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Mwanadada mwenye mvuto wa aina yake wenye kuwababaisha watu maarufu wengi ikiwemo hata vigogo wa mjengoni pale Dodoma. Diva Malinzi amefunguka kupitia insta story ya Instagram yake kwamba yeye...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Japo elimu haina mwisho lakini kwa huyu mzee wa kukopi na kupesti ninaona anapoteza muda tu. Kama alifeli kipindi kile hana mambo mengi kichwani zaidi ya elimu ya madrasa ndio ataweza sasa hivi...
4 Reactions
83 Replies
10K Views
Kuna kipindi E.Africa Radio kumi za maangamizi,ni free style kwa dk 10. Unaweza kusema hip hop au freeystyle ipo underground siyo kwa hawa wasanii waliotoka .Clips za hiyo kipindi vipo YouTube...
5 Reactions
96 Replies
20K Views
Msanii wa kimataifa na mwenye mvuto wa sauti wa kumtoa nyoka pangoni na msanii mwenye mvuto kuliko msanii yoyote barani Africa Nandy a.k.a African Princess. Amefunguka baada ya kushindanishwa na...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Imempendeza kondoo aliyepotea kurudi nyumbani kwa Baba .. John Wolfe ameamua kuokoka na kumrudia Mungu ,anayo mengi ya kujutia lakini anaishia kusema alipotea kwa tamaa za kimwili ameamua kurudi...
14 Reactions
133 Replies
23K Views
Ni mmoja kati ya wasanii hapa nchini wenye mafanikio makubwa sana kimuziki na hata kiuchumi. Ni kitu gani kipo nyuma ya mafanikio yake? Msaada tafadhali.
0 Reactions
62 Replies
11K Views
Serikali ya Tanzania imemsamehe msanii, Godfrey Tumaini maarufu Dudubaya baada ya kumfungia kwa muda usiojulikana kujihusisha na kazi za sanaa. Alifungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata)...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Ningekua demu: wimbo mpya kugoka kwa mwimbaji wa singeli Dulla Makabila Kaja na mwonekano mpya sura tufauti kawapiga chini mpaka madada wanaoshinda wanajipodoa. Exalioth Machinga Jamii forums...
0 Reactions
67 Replies
9K Views
Kama nilivyouliza jaman , nahtaj kujua jina la huu wimbo , naupenda nataka niupakue
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwanamziki Tanasha Donna ambaye amezaa na mwanamuziki mwenzake wa Tanzania Diamond Platinumz kwa jina maarufu Simba, Tanasha amesema anaulizwa mengi kuhusu yeye kwa lile swala la kuwa maam wa...
3 Reactions
35 Replies
6K Views
Mr Malavidavi Rayvany a.k.a VannyBoyChui[emoji249] Ameamua kuachia ngoma tano5 kwa wakati mmoja Kuelekea sikukuu ya wapendanao wainjoi na burudani za kubebeleza Exalioth Rais wa machinga...
3 Reactions
79 Replies
9K Views
Nimeona video ikisambaa mitandaoni ikionyesha mtu anaetajwa anaitwa Mihayo akimpiga ex wife kipigo cha mbwa mwizi. Nikawa interested kumjua maana watu vile wanamzungumzia ni kama mtu fulani wa...
8 Reactions
627 Replies
87K Views
wakuu njoo mtoe comments kuhusu hii Ngoma naona kijana kaamua kumnyanganya mashabiki mpka meja kunta. Diamond platnumz ulitengeneza dubwana sasa linakutesa lenyewe. kama CCM walivyotuambia...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…