Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

I smell a fish To me the death of Kobe Bryant sound like it was premeditated. Ndege haiwezi kulipuka yenyewe bila sababu hasa ikizingatiwa kuwa kabla ya kuruka ili fanyiwa thoroughly check up...
23 Reactions
325 Replies
31K Views
Wiki hii baadhi ya watu maarufu kutoka Ghana wametrend Sana kutokana na kauli zao ukiachana na kauli ya mchungaji Nigel Gaisie aliyedai atamfufua Kobe Bryant kama atapata 10% ya Mali zake...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
WASANII HAWA WALIVUMA LAKINI WAKASHINDWA KUTENGENEZA PESA 1. 20% ; jamaa alifanikiwa kuchukua tuzo kama 5 hivi huku akiwa na mashairi makali na kufanikiwa kukubalika na mashabiki bongo lakn...
6 Reactions
109 Replies
17K Views
Akijibu juu ya kupendwa sana na kusababisha taflan mitandaoni, a 31 years old Diva Gissele Malinzi au Al maarufu Kama Diva' Mtangazaji wa #Alazaroho ya Cloudsfm , anasema yeye huwa hajali wala...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Hii tarehe ya leo tarakimu zake zimekaa vizuri sana ni 0 na 2 basi. Leo ndio siku ambayo Nabii na mtume Mwamposya amekamatwa na jeshi la polisi na kwa maana hiyo atalala rumande nadhani ni mara...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Oooh! Mamu! 0oh mamuu! We ndo furaha yangu, ooh Mamu! Nimekosa baby wangu... oh Mamu! Unisamehe mke wangu! Dah! Utakapoisikiliza ngoma hii kwa mara ya kwanza, na kuhakikishia you won't get enough...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Harmonize anapambana ili aweze kuachana kabisa na WCB. Alitakiwa kulipa shs milioni 500 ili aweze kuwa msanii huria na kufanya kazi zake kama yeye mwenyewe. Jambo ambalo linamaanisha kwamba kama...
7 Reactions
161 Replies
24K Views
Diamond Ashika Nafasi Ya Kwanza Akifatiwa Na Harmonize Huku Nandy Akiwa Mwanamke Pekee Katika List Hio Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana nguzo tano wanapambania game linalowakataa ,wengi wao target ni kupata angalau kupata views 1M+ views ,kijitangazia u king usio hata na empire ,wengne wanadiriki hata kurukia miziki isiyo na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Kama ni mtu wa burudani utakuwa unamjua DJ PQ, kijana mbunifu na mwanzilishi wa chuo cha kwanza cha kujifunza udj Tanzania. Binafsi nimemfahamu kitambo lakini kabla hajawa maarufu...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hashim & Nash,wana Hip Hop wakubwa kabisa kutokea bongo,mwendawazimu na chizi wamekutana, sadly hashim hafanyi mziki siku hizi amekuwa sheikh swala tano Sent using Jamii Forums mobile app
9 Reactions
90 Replies
17K Views
Silengi kuchochea udini wa aina yeyote ile ila najiuliza imetokea bahati mbaya tu au kuna namna nyingine kwa wale wanaoliwakilisha taifa vizuri zaidi kwenye burudani na michezo kuwa Waislam au...
3 Reactions
98 Replies
9K Views
Kitambo saana hatujawasikia hawa mabinti Rahma, Radhina na Radhia Kipozi, wapo wapi kwa sasa. Muziki wameacha? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
57 Replies
13K Views
Brand New Song...!
0 Reactions
1 Replies
549 Views
Renowned British model Naomi Campbell has reacted to the 2020 Grammy Awards that saw Beninese singer-songwriter Angelique Kidjo bests Nigeria’s Burna Boy and others to winning the Best African...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Mcheza Kikapu mstaafu nchini Marekani, Kobe Bryant 'Mamba' amefariki katika ajali ya Helikopta iliyotokea leo huko California. Kobe mwenye miaka 41 akiwa na binti yake Gianna walikuwa miongoni...
10 Reactions
288 Replies
39K Views
Heshima kwenu wakuu! Kwa mwenye kuelewa, naomba anisaidie kuwataja wahenga wa Bongo kutoka tasnia mbalimbali, kuanzia siasa, muziki na kadhalika, waliooa wake wazungu. Kwa kuanzia, nimepata...
14 Reactions
161 Replies
42K Views
Nimekumiss sana hasa sharubu zako na kiko yako. Pia ucheshi wako wakati wa vikao vya bunge. Mungu ailaze peponi roho yako. I miss u.
1 Reactions
59 Replies
54K Views
Umejitahidi kujaribu kubomoa biashara yangu kenye magazeti yako kwa kila aina ya uchafu kuwazushia na kuwaandika wasanii wangu tumekaa kimya. Baada kufeli kuwabomoa wasanii wangu na kuona magazeti...
31 Reactions
87 Replies
13K Views
Yule mdada mwenye sura ya baba yake ila msambwanda wa kuvunja chaga anayetangaza kituo cha mzee machache inasemekena kafukuzwa kazi baada ya vimbwanga vyake vya karibuni kwenye social media...
3 Reactions
94 Replies
33K Views
Back
Top Bottom