Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Best Female Movie Star Africa - Yvonne Cherry (Monalisa) Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa ameshinda tuzo ya African Prestigious Awards kipengele...
3 Reactions
62 Replies
17K Views
Asee nilikuwa nikiona yule totozi aliyejipiga mapicha ya utupu akiwa na nguo,najisemea moyoni,kuna watu wamebarikiwa. Ila tangu nimwone akiwa mtupu,nimedharau mno!Hata havutii,kumbe nilimkosea tu...
23 Reactions
61 Replies
15K Views
Mimi naona juma jux amepatia kwa kuchagua girlfriend wke mpya, wanavutia wanapendezana halafu wanaonekana wana enjoy kweli mapenzi yao. Hawatumii nguvu nyingi kuonesha wko happy picha wanazopiga...
3 Reactions
55 Replies
12K Views
Habari wana jamvi, leo nimewaletea hawa wadogo zetu kutoka WCB, nataka tuwashindanishe kwa kila kitu kuanzia mziki wao, live performance zao, swaga zao, uvaaji wao na kila kitu ki ujumla.
2 Reactions
104 Replies
51K Views
Nimeuona Khaji Manara Mbungeni Leo. Kunani huko Bungeni Kaenda kumtembelea nani?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
1. P Funky (Majani) 2. Master Jay 3. Mika Mwamba 4. Roy (G Records) 5.Sound Crafters
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Professor Ludigo 2. Lamar 3. Bizman 4. Allan Mapigo 5. Chizan Brain
1 Reactions
0 Replies
725 Views
Hatimaye Mshindi wa Miss Mbeya 2019 amepatikana, Angelah Deocress ndio mshindi wa taji la miss Mbeya kwa msimu huu, ikumbukwe mashindano haya huandaliwa na kituo cha redio cha Dream. FM kila mwaka...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Stay tuned. The whole story will come to you soon after " Aston Villa Vs Leicester City". Amkeni! Amkeni! Amkeni! Tumtazame Mbwana Samatta akifanya vitu vyake ndani ya Premier League. Halla...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
[emoji1487][emoji119][emoji1487]Nyota wa muziki wa Rap, Missy Elliot ametunukiwa shahada ya uzamifu katika musiki na chuo kikuu cha Berklee College of Music Marekani. [emoji146][emoji146]“Missy”...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Miss World ashangazwa na uzuri wa Arusha, amuomba rais kibali maalumu cha kujenga nyumba Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo akimpa zawadi ya maua Miss World, Vannesa Ponce mara baada...
5 Reactions
36 Replies
7K Views
Kama ulikuwa humjui msiba ni nani utamjua sasa Kama ulikuwa humfahamu tafadhali mfahamu sasa Kama ulikuwa unambeza na kumdharau badili mtazamo wako huo sasa... Kwakuwa moja lililo dhahiri ni...
37 Reactions
69 Replies
8K Views
Enzi hizo miaka ya 2000 muziki ulifanyika kwa kiwango kikubwa sana na majina ya wasanii yakapaa, hata shoo walizokuwa wakienda kufanya mikoani zilivutia na kujaza watu japo PA ilikuwa inafanyika...
1 Reactions
51 Replies
10K Views
Mtoto mwenye umri wa miaka nane, Ryan Kaji ambaye ni mzaliwa wa Marekani ametajwa na jarida la Forbes kuwa ndiye aliyeingiza pesa nyingi zaidi katika mtandao wa YouTube kwa mwaka 2019. Ryan...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
“How time fly’s, My baby girl has become a woman,” ameandika P-Funk Majani aka ‘Dream Big’ kwenye picha ya mwanae mkubwa wa kike (jina lake halijapatikana mara moja) aliyoiweka kwenye mtandao wa...
0 Reactions
54 Replies
39K Views
(CNN)Rapper and singer Juice WRLD has died in Chicago, the Cook County Medical Examiner's Office said Sunday. Juice, who was born Jarad Anthony Higgins, turned 21 on December 2. The rapper...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa miezi 12 iliyopita, mastaa 100 wanaolipwa fedha nyingi zaidi dunia waliingiza jumla ya Tsh trilioni 11 ikiwa ni fedha nyingi kuliko pato la taifa la nchi tatu za Belize, Liberia na Gambia...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
ni huyu Machugu wa star tv na huyu kapiga wa clouds tv! nakerekwa mno na tabia zao zifuatazo ambazo ambazo mi huwa naona hazina maana; 1. kujichekesha chekesha. muda wote wa habari wamekuwa ni wa...
8 Reactions
41 Replies
7K Views
Mwanamziki wa kimataifa Rayvanny Boy mwenye sauti tamu Kama vanilla au ukipenda unaweza kumwita chui kutoka kwenye moja ya label kubwa Africa WCB, hivi karibuni ameandaa project inayoitwa Flowers...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Hili jambo ninajua wengi hamlifahamu lakini ukweli ni kwamba Diamond hategemei muziki ili kukuza utajiri wake, asilimia kubwa ya utajiri wake unatokana na kilimo. Diamond ana mashamba makubwa...
7 Reactions
93 Replies
20K Views
Back
Top Bottom