Meneja wake athibitisha kwamba yu hai hajafa na anaendelea vizuri
Ila wamefanya kik ya kijinga sana Mungu hadhihakiwi jamani
Wametembelea kik ya REMA[emoji57]
Huyo gmaker na meja mwenyewe...
HIZI NI VIDEO KUMI ZILIZOTIZAMWA ZAIDI KWA UJUMLA KUANZIA KWENYE MZIKI, SIASA, UDAKU, MICHEZO, FILAMU, N.K
Siongei sana, data hizi hapa
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
Msanii mbosso Khan a.k.a Mr romantic au unaweza kumwita jina lingine muhindi wa kibiti amefurahia kufikisha miaka 2 tangu ajiunge na record label kubwa ya WCB na tangu hapo ameteka mioyo ya...
Aman iwe nannyi wakuu
Nataka leo tumalize ubishi mazee
Iv ni msanii gan wa rap yaan hip hop anaweza fikia hata nusu ya fidq kwa michano na mistar iliyoenda shule
Je kuna msanii mgumu kama fidq...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm...
Moja Kati ya Jambo nimeona Kuna improvement kwenye mziki wetu ni suala la ubunifu wa majukwaa na hii imechangiwa na competition ya matamasha yetu especially Wasafi festival na fiesta kwa upande wa...
Mkali wa R&B Duniani Chris Brown amefanya mnada wa uuzwaji bidhaa zake ambazo tayari ameshazitumia au kuzivaa hasa nguo na viatu nyumbani kwake, mnada ambao utachukua siku mbili na jana.
=====...
Wakuu Kwema??
Weekend hii nikiwa zangu Home napumzika baada ya Pilikapilika za Week nzima nikasema nipitie Channels za TV za Music hapa Bongo nione wana Mpya gani.
Mara ukaja Wimbo wa Young D wa...
Kuna kipindi kipya kinaitwa cruise kareok,kuanzia saa 3 usiku hadi saa 6 jumatatu hadi alhamisi,kuna watangazaji wapya Mayaga Shishi na Kid Kiomboi wakiwa na King smash na Queen Fifi,yaani kipindi...
Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aweka record ya kuwa most African artist mwenye subcribers wengi baada ya kufikisha million 3 na hii imefanya uongozi wa YouTube kumpa...
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza...
Chid Benz akiwa stejini akiperform kwenye show ya Harmonize alibamba mashabiki kwa dk chache halafu akasema "napiga hii show kwa laki 3 tu kutoka kwa Rajabu Hassan ,kisha akashuka stejini.
Hii ni...
ALBERTO MSANDO GIGY MONEY
A to Z ya Video Chafu ya Gigy Money na Wakili Msando...Msando Adai Gigy Amelipiza Kisasi
Aibu! Siri nzito imevuja baada ya video chafu iliyomhusisha wakili maarufu hapa...
Aman itamalaki
Mavoko umeshuka sana kimziki haukiki wala hausikiki kabisa nyota yako imefifia na huna tena ngoma kali
Sitaki kuhusisha na kuondoka kwako wasafi na kushuka kwako
No ila tu...
Mondi ametangaza anakwenda tour Europe akiambatana na bendi na dancers. Live band!
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa msanii wa BONGO FLEVA kufanya hivi katika historia na nchi inayonyemelewa na...
Haka kadada nilikua nakachukia, kalikua kana mapepe mno na nyodo flan hivi , ila toka wanazengo wampe makavu Naona siku hizi akili zimemrudia, kako focused hakana mapepe kama zamani, ameanza kukaa...
Kazi nyingine toka kwa hamo, Je unaipa alama ngapi kati ya 10?
Hainistui Lyrics – Harmonize
Intro chorus
Yaaweya, Jeshi
Konde Boy
Hainistui, Hainistui, Hainistui
Apa nilipo kesho yangu siijui...
Demi Rose prides herself on her voluptuous curves which she regularly shows off in sexy photoshoots.
But one part of her body has changed more than any other - her bountiful bum. Not its confirm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.