Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Nimeiona hii picha kwa rafiki yangu nikasema lazima nifikishe ujumbe. . Katika hatua tuliyofikia tumeamua maisha yetu yote tuyalenge kwenye kupata likes na views kwenye social media page zetu...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Katika kile kinachoonekana misimamo tofauti juu ya sakata la WCB na Harmonize,tayari wajuaji wameshaanza kumwaga upupu wao kwa WCB. Yetu macho na masikio. ---- Mkataba wa Harmonize, WCB...
10 Reactions
41 Replies
7K Views
Jioni hii Diamond (Chibu) ameripoti kuwa kesho atazungumza na vyombo vya habari nchini. Je, Chibu anaenda kujibu mawe anayorushiwa juu Million 500 ya Konde boy? Usikose kesho saa 5 asubuhi...
1 Reactions
68 Replies
10K Views
Ni usiku wa manane, Diamond yupo chumbani kwake, alikuwa amechoka, usingizi haumpati kwa sababu anaifikiria safari yake atakayoianza kesho kuelekea kwenye matamasha yake nchini Marekani. Kichwani...
10 Reactions
36 Replies
6K Views
Na nyie wasanii wa bongo movie , tumewachoka na sherehe zenu za kila siku za kutafuta Kiki za kijinga, hivi ni lin na nyie mtafanya sherehe kubwa kwa kujipongeza na mambo ya maana kama kujenga...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Haya yote yamedhihirishwa wazi kwenye ukurasa waka wa IG yaani instagram kwa kuweka picha ya ndege na gari la kifahari na kuandika "Tuseme Inshaallah... #2014 #JusWaitAndSee #KwaniWaoWamewezaje...
0 Reactions
363 Replies
44K Views
Nimeisikia mahali kuwa kumbe mke wa zamani wa Diamond Platnumz na yule wa sasa Tanasha Dona, sijui Sembe, ni ndugu na kwamba Zari anamtumia Tanasha kum-monitor na kum-control Diamond. Lengo ni...
1 Reactions
41 Replies
6K Views
Habari za toka Jana mwana siasa na msanii mkongwe Bob wine, kafariki , tatizo alitekwa na kupigwa mpaka umauti kumfika.
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu!! Kama heading Inavyojieleza, Kwa sisi wafuatilia habari za kiburudani hapa tz,ishu kubwa inayotrend ni mkasa wa konde boy kujitoa WCB,ambapo anatakiwa kulipa hio contract...
6 Reactions
22 Replies
5K Views
Sikuwa na pozi za kirapa nilikuwa Gangsta sijui Yooo Nikawa conscious, Mtu wa culture, Rasta ambaye haangui ng'ooo.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya miaka 10 bila UCHUMBA wala NDOA Sean "Diddy" Combs,48, na Cassie,32, wameachana na kubaki marafiki,CASSIE amerudisha juhudi zake Ktk muziki na filamu, DIDDY ni baba wa watoto sita na...
4 Reactions
133 Replies
16K Views
Kamwene ,tuseme ukweli tu jamani, hii nguo aliyoivaa Huddah haijampendeza hata kidogo zaidi na zaidi amejidhalilisha tu, shepu yenyewe hana ,vimatako vimekakamaa kama chapati iliyochacha. Sent...
1 Reactions
31 Replies
10K Views
Uongozi wa wcb umempiga pini kijana raymond kujenga kanisa mkoani mbeya Alikuwa anataka kufanya hivo kama sadaka yake hasa baada ya kuona mondi pia anajenga mtwara Sallam na tale wanasema atagawa...
8 Reactions
60 Replies
12K Views
Salam, Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakishindwa kuelewa kwamba katika jamii yoyote kupata umaarufu na heshima kuna gharama yake, tena gharama kubwa!. Twende sambamba katika uchambuzi huu ili...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Kwa kipindi kirefu Clouds FM wamekua wakihaha kubrand wasanii wenye vipaji vikali ili kupata mtu ambae ataweza kutake over Diamond Platnumz. Mfano hawakina Marioo, na wengine wengi. So, baada ya...
3 Reactions
163 Replies
17K Views
Rich mavoko alipotaka kuvunja mkataba aliambiwa atoe milion 250 akachemka matokeo yake kila kitu akampoka mpaka akaunti za kijamiii harmonize alipotaka kujitegemea akaambiwa atoe milion 500...
11 Reactions
124 Replies
13K Views
Mimi sio shabiki wa mambo ya muziki wa Tanzania, ila napenda sana kuingia mitandaoni na sifa anazopewa Diamond ni nyingi sana. Ila nimejiuliza, baada ya pitapita zangu nimekutana jarida maarufu...
1 Reactions
36 Replies
9K Views
Rosa Ree continues to surprise people with her consistence of releasing hit songs. Here is another one from Rosa Ree herself featuring Fik Fameica from Uganda Acha Ungese. TAZAMA VIDEO:
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Akihojiwa na Clouds FM kwenye XXL amesema imemlazimu kulipa million 500 ili kuvunja mkaba na Kampuni ya Wasafi. Amesema kampuni ya Wasafi walimzuia kutumia chochote kilichotokana na Wasafi...
32 Reactions
307 Replies
56K Views
Yaani kumbe mbwembwe zote zile mama wa kuogea maziwa alikuwa anataka kuzindua kipindi, dooooh!!! Mastaa wa bongo kazi ipo.
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…