Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mimi Kim Kardashian na Kanye West. Napenda sana hii couple wanapendana sana pia wanapendezana pamoja kim ana mpenda sana Kanye na Kanye vile vile. Siku nikija kusikia hii couple imevunjika...
2 Reactions
65 Replies
9K Views
Share the wealth son! Mario Balotelli's mum gets job as £6-an-hour office cleaner to make ends meet Manchester City star's mum Rose polishing desks and living on the estate from Shameless while...
1 Reactions
10 Replies
9K Views
RASMI: HARMONIZE AFUNGA NDOA NA SARA Harmonize usiku wa jana amefunga ndoa na mpenzi wake mwenye asili ya Italy "Sara" katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam. Pichani Mama Sara, Harmonize na...
7 Reactions
58 Replies
14K Views
what is this? wote uliowataja hapo wana matatizo sana tu, Tyson alikuwa mwehu kwa pesa alizopata baada ya kutoka hood tena akiwa mdogo akafanya maujinga sana na yeye mwenyewe alikiri hilo later...
3 Reactions
37 Replies
10K Views
Habari wakuu Naomba kujua kwanini wasanii wengi humuita P funk Khalfan wakat nnavojua yye anaitwa Paul
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ni kiri kuwa clouds media iko under uholozo wa ushabiki wa kipumbafu usiokuwa na faida. Sijaona maana ya kuitazama hii TV Inayojifanya ya burudani nchini hivi nyie clouds hamuoni kama...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Harmorapa amesema jana alitimiza miaka 9 tangu alipozaliwa September 13 mwaka 2010.. Huyu Chalii ana njaro zaki'whack ile laana. @NgarenaroBoy.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Hey Guys,, I hope mko Poa. Katika vitu vilivyo kuwa vina subiriwa na Watz kwa hamu basi ni kusikia siku moja akidondoshwa msanii mkubwa wa Marekani Hasa Chriss Brown,Drake,Rihanna au Hata...
4 Reactions
87 Replies
9K Views
Ukiachana na kina Kimambo,Moko genius wa Imagination production,Oscy boy music,Blacq Boy,Yokeyz Morento aka the Mixing Killer,Ammy Wave wa Switch music group,Yogo beat na S 2 Kizzy wa Pluto ambao...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki...
12 Reactions
91 Replies
12K Views
Kumbuka shabiki zako wanaoku sapoti wengi wao ni masikini wa wakutupwa imefika mahali diamond vitu unavyovionesha kwa jamii haviwapendez mashabiki vinawaumiza hujui shabiki zako mtaani wanaishije...
2 Reactions
70 Replies
8K Views
Muziki mzuri, ila sina uhakika kama hawa ni music celebs. Ukiangalia kwa umakini kwenye muda kati 0.19 na 0.20 utaona kitu kirefu kidogo mithili ya slim cylinder/ cord kimetokeza kwenye bottom ya...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Msanii wa filamu nchini Rose Ndauka amefunguka na kuweka wazi kuwa kwenye tasnia hiyo wapo baadhi ya watu wachache ambao wameingia kwenye tasnia hiyo wakiwa na lengo la kujiuza na kupata wanaume...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
http://www.galaxyfm.co.ug/2019/09/13/is-ali-kiba-spice-diana-or-he-wants-to-sing-32-shock-as-32-people-turn-up-for-ali-kibas-concert/
0 Reactions
40 Replies
6K Views
RayVanny Anatuabisha Watanzania Jamani! Inakuwaje Msanii Anajisia Kufikisha Views Million 4 ndani ya Siku wakati Yeye Sio Sababu Ya Kufikisha Hao Views? Hata walio Mshirikisha Watashangaa,Au...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Watu wangu wa zamaniiiiiii, Leo nimeona kwenye page ya mkongwe DJ John Dillinga kuwa big boss wa jiji la Dar atakuja kujikumbusha nyakati muziki ukiwa muziki ndani ya club legends zamani nyumbani...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Acha niandike lile ambalo nimeliona kwa hizi siku za karibuni, si mzuri sana katika uandishi hivo kwenye makosa mtanisamehe. Awali ya yote heshima yenu wakuu natumai siku imeanza vizuri kwa wengi...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Leo ni siku muhimu sana, Siku aliyozaliwa mtu Mtu muhimu sana. Mtu ambaye wengi wanafaidi harakati zake bila hata kujua hata wale wa upande mwingine pia wanatembelea kwenye harakati zake. Ni mtu...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Katika hali isiyo ya kawaida,kuna raia shazi wameonekana katika maeneo mbalimbali ya Darisalade wakiwa na mabango. yaliyoandikwa'Baba Kasema'Wajuba hao wameonekana fas za kawe,Buguruni,Barabara ya...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…