Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Habari zenu wanajamvi!?. I hope mko poa kabisa, Nikiongelea vipindi vya redio nnavyovipenda sana ni Power Breakfast ya Clouds FM kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa11 Alfajiri hadi saa4...
4 Reactions
64 Replies
12K Views
😭😭😭 WCB FOR LIFE.
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Tunakwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi wakiwa wameogopeshwa , wametishwa hawana raha. Binafsi nimeshuhudia viongozi wa kuteuliwa na Mh Raisi hasa Ma DC wakiwa wanawatisha...
2 Reactions
4 Replies
885 Views
Kwa nini hawa wanao itwa " celebrities " wa kibongo wanapenda kupunguza miaka yao?. Kisa nini? au ndio waonekane ni watoto wa dogo ambao wanafanya mambo makubwa?. Leo...
28 Reactions
114 Replies
62K Views
Habari zenu wanajamvi
0 Reactions
3 Replies
747 Views
mbwembwe zote za kuwa na festival yenu ila mmeishia muleba hapo kwa wahaya!!
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukija upande wa pili wa kutengeneza jingles za company's mbalimbali afanyi makosa kabisa kijana wetu diamond na jingle zake zimekuwa Zina influence mauzo kuongea za bidhaa hizo kutokana na wateja...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Jamaa kwanza kwenye uvaaji tu bado sana. Na tena afadhali ameacha kuvaa kofia za baridi wakati yuko Madale anatandikwa na jua kali, ilikuwa ni aibu. Tuje kwenye uimbaji. Kila siku habari za...
4 Reactions
137 Replies
16K Views
Again kijana wetu anazidi kutuwakilisha vyema kimataifa sas yuko nominated kwenye TUZO KUBWA ZITAKAZOFANYIKA MAREKANI November mwaka huu.. Mpigie kura diamond katika kipengele alichowekwa kama...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Msanii anayetoka katika lebo ya Wasafi ,Rayvanny amachaguliwa katika tuzo za STARQT AWARDS 2019 za south africa,katika kipengele cha BEST MALE ARTIST. Na ni msanii pekee yake kutoka Tanzania...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Ingia kwenye link hapa chini kupiga kura. https://pca.eonline.com/vote/african-influencer-of-2019/diamond-platnumz
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna ngoma imetoka huko ni ya aslay na kiba Lakin kusema ukweli aslay kaimba vizur ila huyu ali kiba kazingua sana Super star mkubwa kaimba kama under ground Bora tu hata angesimama mayunga au...
5 Reactions
87 Replies
12K Views
Msanii wa bongo fleva Harmonize na mrembo wake kutoka italy bibie Sarah wanatarajia kufunga ndoa usiku huu pale serena hotel. Source jikoni.
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Ndugu Moderator, Invisible naomba kubadili ID yangu. Kuna mjinga mmoja na anafuatulia kila ninachopost ananitumia screenshots. Sipo comfortable na hili. Natanguliza shukrani Wako Mla vitumbua
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Mchekeshaji Kevin Hart na wenzake wawili wamepata ajali ya gari mapema Jumapili Septemba 01, huko Calabasas, California baada ya dereva kukosa udhibiti wa gari hilo Hart na dereva Jared Black...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Siku ya jana ilikuwa ni furaha kuu kwa Mhe Sugu baada ya kufunga ndoa takatifu huko Mbeya, lakini upande wa pili wa X wake Faiza Ally ni kilio
2 Reactions
86 Replies
16K Views
Wakuu natumaini mu wazima kabisa nimeisogeza kwenu kwa kifupi historia ya mwanamziki Celine Dion. Celine Marie Claudette Dion alizaliwa March 30 1968 huko Quebec Canada alianza kupata umaarufu...
13 Reactions
61 Replies
11K Views
Dk. Reginald Mengi akiwa na Familia yake Dr. Reginald Mengi alipoulizwa kwanini umemuoa Jackline alijubu hivi: Nimemwoa Jackline kwasababu yuko tofauti na wanawake wengine ambao nimeshawahi...
12 Reactions
178 Replies
53K Views
Wasalamu [emoji1538]. Sina maongezi mengi sana juu ya hili kwa sababu maongezi yangu kwa upana wake yataitaji ufafanuzi mrefu ambao sipo tayari kuuweka kama sehemu ua uzi huu labda kama 'comment'...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
"Mafanikio huja kwa kufanya unachokipenda", hii ni kwa mujibu wa Fid Q na wanafalsafa wengine wengi ambao wamepata kiutokea katika uso wa dunia. Tasnia ya habari (hasa habari za burudani) kuna...
4 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom