Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hii promo nimeanza kuiona tangu wiki iliyopita sijajua ni nini aisee, mtujuze, au ndio marketing strategy
0 Reactions
14 Replies
2K Views
UKWELI uliowazi huthibitishwa na mpenyo wa uongo kwenye ngoma za masiko ya binadamu aliyehai na utimamu wa fikra zenye utambuzi wa weledi katika jambo husika. Kuna mambo katika nyakati huleta...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wimbo mpya wa JAMAFEST2019 ulioimbwa na Msanii Peter Msechu, umeteuliwa kuwa wimbo maalum katika Tamasha la Utamaduni la Afrika Mashariki linalotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Septemba 21-28...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Burna Boy, AKA, YCee & More Get In a Heated Exchange Surrounding Xenophobic Attacks in South Africa As we've been reporting, South Africa is currently embroiled in violent xenophobic attacks...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau wa hiphop, Nani ni noma kati ya hivi vichwa viwili chidi au fidi enzi wapo fire..... Bila kujali matatizo yaliyowapata yaliyowaathiri kwenye game, JE NANI NI MKALI???
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Miongoni mwa mastaa wa kike ambao wasipojiangalia watakuwa na mwisho mbaya basi huyu mwanadada Wema Isaac Sepetu anaongoza. Kiukweli Wema inabidi afanye juu chini atafute wataalamu wa jadi...
3 Reactions
60 Replies
10K Views
Dar es Salaam. Kama ni mfuatiliaji wa mitandao ya kijamii hasa Instagram habari iliyoshika kasi huko ni madai ya uhusiano kati ya mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mwanamuziki Rayvanny...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Msanii Harmonize aka Konde Boy ametoa ngoma mpya akiwa na Eddy Kenzo kutoka Uganda inayoitwa 'Inabana'. Ikumbukwe hii ngoma yake ya kwanza tokea akiwa msanii Solo, hivyo kionjo cha Wasafi kama...
3 Reactions
84 Replies
14K Views
Msanii wa muziki wa Injili kutoka Kenya, Ringtone Apoko ambaye kipindi cha nyuma alitangaza ni yake ya kumuoa Zari The Boss Lady, ameamua kumnunulia ndinga kali mama huyo wa watoto watano ikiwa...
2 Reactions
24 Replies
7K Views
Kajala Masanja ungekua bado hujaolewa.....,basi tu.Huyu dada ni mrembo sana hasa akiwa natural bila yale marangi rangi yao.Pembeni ni beautiful onyinye Jack Wolper.
0 Reactions
66 Replies
17K Views
Habarini.... Msanii maarufu wa Filamu nchini Maarufu kama JINI-KABULA anaumwa na yupo kwenye matatizo makubwaa lakini ki afya yanaweza kutibika Mimi nimebahatika kumuona ni psychatric patient...
10 Reactions
179 Replies
49K Views
Harmonize baada ya kuondoka Wcb Kwa muda mfupi tu matokeo yake yameeanza kuonekana zile One Million Viewers Kwa siku Hazipo tena Nachojiuliza pale WCB kuna mdudu gani Mbona Wakiondoka wanapotea...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari wadau,nimekua mtazamaji mzuri wa BBC Swahili kuna watangazaji wamenivutia kwa umahiri wa lugha ya kiswahili japo wako uingeleza,baadhi ya watangazaji nchini hebu waigeni hao ni mfano mzuri.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
STAA aliyeitendea haki Filamu ya Chausiku, Shamsa Ford na mwigizaji Wellu Sengo, wameingia kwenye bifu zito ambalo halijulikani chanzo chake. Chanzo kimenyetisha habari kuwa, licha ya wawili hao...
1 Reactions
32 Replies
11K Views
Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikifuatilia movie za kibongo, kuna huyu dada anaitwa WELU SENGO,nimetokea kumkubali sana kwa namna anavyoigiza na ana uwezo wa kuuvaa uhusika wowote atakaopewa,pia...
1 Reactions
19 Replies
8K Views
Jana katika pita zangu nikakutana na Kipande cha Gazeti katika nyumba ya babu yake na rafiki yangu, kikiwa kimebandikwa ukutani kikiwa na majina ya wachezaji wazamani.... Nikataman kujua wako...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Ukiachana na masuala ya ngumi, hakuna bondia anayemfikia Floyd Mayweather kwa kutupia viwalo vikali.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wasalaam wana jamvi. Muziki wetu umukuwa sana kwa sasa tunaweza sema ni ukweli uliowazi kuwa biashara ya sanaa na muziki ni moja ya biashara kubwa kabisa kwa sasa nchini kwa sababu kuna watu wana...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
DAR ES SALAAM: UNA kifua nikupe ubuyu? Staa mwenye kiwango cha juu ndani ya Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ anayepiga mzigo na Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), muda wowote anaweza...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Back
Top Bottom