Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Leo kupitia Clouds FM Mtangazaji wa kipindi cha Ala Za Roho "Diva" ametoa sababu za yeye kumuacha Mwana BongoFlava wetu King Crazy GK. Kupitia kipindi cha leotena ya clouds fm Diva amesema GK...
2 Reactions
63 Replies
14K Views
angalizo: mimi sio mtu wa habari za udaku, ila leo najaribu kuanzisha thread kwa kutumia approach ya kiudaku. twende kwenye mada kuu. nakumbuka miaka kadhaa iliyopita hapa jf, watu mbalimbali...
1 Reactions
78 Replies
12K Views
Baada ya kipande kidogo kusikika kwenye documentary yake akiimba shida zitaisha lini na watu kuvutiwa sana na soundtrack hiyo. Mbosso khan ameamua kuingia studio na kumalizia iwe wimbo kamili...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Nuh Mziwanda na Nawali wanaodaiwa kutengana kutokana na wote wawili kutokuishi karibu kama awali huku Nuh Mziwanda akidaiwa kurudi kwenye dini yake ya zamani. Gossip Cop Soudy Brown amewatufuta...
2 Reactions
44 Replies
11K Views
is this the best these pple can do? nasema kuanzia backgroung music to arrangement na tazama watu walivyokaa kihasara hasara eidha watu waqmechoka sana au ndio hakuna ma A LISTERS huko Dar...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Jamaa alikuwa live kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, katema madini ya kutosha. Yote tisa, kumi ni kuhusu "Goma lake jipya" ambalo ndani yake imekaa miamba kama...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Mwanafalsafamweusi ONDOKA KONDE BOY Kuondoka wa @harmonize_tz kwa @diamondplatnumz ni sahihi kwa sasa na hizi ni faida atakazo zipata 1.Anaenda kuwa mshindani namba moja wa @diamondplatnumz...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Niliwahi kuandika hapa uzi ukilezea kwa kina hilo suala ila wenye huu mtandao kwa sababu zao za kuamua tu wenyewe wakaifuta tena niliweka zaidi ya mara 2 anyway uhuru sasa si mkubwa tumeelewa...
13 Reactions
134 Replies
34K Views
Jama keshakuwa ameamuwa kukaaa kivyake ukiangalia kwa umakini yule sallam alikuwa anamleteya zarau sana ..harmo ata akitoka dogo yule anajituma sana na Ana sapoti kubwa sana inje na ndani ya inchi...
6 Reactions
100 Replies
15K Views
Habarini za muda huu wana jf. Imefika wakati sasa wa nyumba ya WCB kupata miji mingine, watoto wameshakua vya kutosha haifai waendelee kuishi na baba yao wakati wote wananyoa ndevu. Diamond...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Mlio karibu na Diamond mshaurini aache kuimba live wakati wa show. Hawezi kabisa, sauti yake inakuwa nje ya tone kabisa ya music. Nimefuatilia comments za warundi kufuatia show yake Bujumbura...
6 Reactions
60 Replies
5K Views
Hapa nitataja makusudi au Mchekeshaji mmoja mmoja 1. Carpoza na Oka Martin Hawa ni Wachekeshaji wanao tisha kwa sasa na tuseme tu ndio namba moja kwasasa. Hawa jamaa kwa sasa wamekuja na...
7 Reactions
87 Replies
16K Views
Leo sallam amealikwa kwenye interview kwenye kipindi pendwa Cha block89 Cha wasafifm kinachoongozwa na wakali Kama jonijo Aliyah mtu imara na mdada mmoja mwenye kiingereza kingi kitachoanza...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
nimeona sehemu jarida LA Forbes limemuorodhesha nature kwenye top ten... kuna ukweli hapooo???
0 Reactions
3 Replies
2K Views
BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva , Nasibu Abdul ' Diamond Platnumz' kuwa alichoropoa mimba zake mbili , mtangazaji wa Radio E - FM, Penniel Mungilwa ' Penny ' ameibuka na kujibu...
0 Reactions
49 Replies
18K Views
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ' Diamond ' Penniel Mwingilwa amesema sasa anatamani kuzaa lakini tatizo lipo kwa mwanaume wa kuzaa naye. Penniel Mwingilwa. Penny alitoa tamko...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Siielewi hii misalaba yenye duara juu, ina signify kitu gani? Naona ma celebrity kibao wakiivaa kuanzia Diamond Platnumz hadi Masanja Mkandamizaji Mwenye uelewa naomba afafanue, maana sijawahi...
1 Reactions
50 Replies
10K Views
Star namba moja wa Music Tanzania anaye wika kwa sasa Harmonize a.k.a Kondeboy ameachana na lebel yake ya Music WCB iliyo chini ya Mwanamuziki Diamond Platnumz. Hii ni baada ya kubadirisha bio...
2 Reactions
131 Replies
22K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…