Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mmh mbea mimi toka nione ray c kaenda Paris nikajiliwaza huenda itakua vacation tu ya siku mbili then anarudi bongo tuendelee kula msoto wote, jaman nyie Mungu mkali, Mwaka sasa unakatika bibie...
2 Reactions
23 Replies
7K Views
Aisee..!! @ChaliiYaKijengeJuu.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
JAY MO na MWANA FA WALIMPOTOSHA DJ NELLY WA CLOUDS FM MWAKA 2003/2004 AKAGOMA KUNIPA PROMO WIMBO WANGU WA "NIMEPATA DEMU" LAKINI ROZI CHITARA(Radio One),SHEIZA (Eastafrica radio) NA NIKO...
12 Reactions
94 Replies
16K Views
Mwanamziki wa Uganda atoa wimbo rasmi wa kumsifu Magufuli Jaman msinichukie Mimi hasa wale wapingao kila jambo, wimbo uo hapo,
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi karibuni kumeibuka tabia ya hawa wasanii kuwaimbisha watu waliotoa viingilio vyao kwenda kuwaangalia wakiperform kwenye stage. Binafsi naiona hii tabia kama kero na dhuluma kwa mashabiki na...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Ipo huko Kwa mfunguacodetz
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Kuna wakati kwenye maisha unaweza kuona kama vile kuna watu ambao wana uwezo MDOGO kuliko wewe ila wamepewa NAFASI kubwa unayostahili wewe. Ukijipima kimoyomoyo unasema “yaani hata sielewi kwa...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamaa anajua Sana kuitendea haki stage show ya Jana kwenye wasafi alifanya balaa zito na alifanya mchanganyiko ngoma zake za slow aliimba live band na nyimbo zake za kuchangamsha aliimba...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Najiuliza Swali Kwenye Haya matamasha Ni Nani Anahusika na kuhakikisha Kuwa Mazingira Yanatunzwa wakati wa Tamasha na Nani Anahusika na Afya Za Watu? Juzi Jumamosi Nilikuwa kwenye Tamasha La...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Jana nikiwa natizama EATV si ndo ikaja top ten ya ngoma Kufumba na kufumbua nikaona ngoma ya alikiba ikiwa namba tatu Nilibaki mdomo wazi kushangaa kwamba hadi ngoma iko top ten lakin mimi hata...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Ila usiku wa Jana tukinao ulijua kutia aibu kwa kweli, hata kama mlichukuliana mabwana, kumnyari dada wa watu na kumuangalia kama taka taka infront of such a huge crowd it’s so disgusting and...
4 Reactions
130 Replies
17K Views
Usiku huu nimewaza tu kama wasanii wetu wangekuwa na Ukwasi na Umaarufu kama alio na aliokuwa nao Michael Jackson wangekuwaje na ingekuwaje? Mtu ambaye wimbo wake mmoja kwenye You tube unaweza...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama na wewe ni mmoja kati ya wanazengo waliokua wanamponda Muigizaji bei mbaya, Irene Pancras uwoya, kwa kitendo chake cha kupiga picha kila wakati akiwa amepozi nyumbani kwake na nguo tofauti...
8 Reactions
82 Replies
20K Views
"Kila nikiona kibinda nadinda nakitia mimba" Moja ya mstari kwenye ngoma zake.Je unadhani kuna demu yeyote wa kumzidi msambwanda na mahips huyo demu wa Nikki kama yupo weka picha yake humu...!!
6 Reactions
110 Replies
21K Views
Bila salamu na kwa uchungu na masikitiko,Nani asiyependa kuona chuchu za Irene?Mnafikiri mimi sipendi kuona chakula ya zamani ya home boy Janjaroo si ndio??Inauma sana kunyimana hii video sijui...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Angalia kwa makini hii video utajua kuna kitu hakiko sawa, wataalamu wa saikolojia mtatusaidia nini kimeanza kumsibu huyu icon wetu.
3 Reactions
52 Replies
8K Views
Mimi nime watambua wengi!
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom