Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Kuna mambo mengi yamejificha juu ya Mavoko kuondoka wasafi, tuachane na propaganda za udini kama wengi walivyokuwa wanaaminishwa. Mtakumbuka wakati Mavoko anasaini WCB alikuwa katika ubora wake...
10 Reactions
64 Replies
32K Views
Habarini... Kiukweli murembo Wema alikuwa likibonge hadi akapoteza muonekano. Mimi pia sikupendezwa na ubonge ule...ila sasa dada amepungua sana na kufikia kuwa mifupa a.k.a kimbaumbau... Hapo...
4 Reactions
78 Replies
14K Views
Sio siri wana JamiiForums hzizi nyimbo nilizisikiliza naona kama vile zimeimbwa leo leo tu 1.Nelly ft Kelly Rowland - Dilemma Nani haujui huu wimbo???Huu wimbo kwangu hauchuji kuanzia beat mpaka...
5 Reactions
71 Replies
13K Views
Zaid ya watu 24,000/= Jana walikesha kumfatilia Diamond plutnumz. Hii sio kawaida, hakuna mtu bongo Hii alishawah kwenda YouTube live na akatizamwa na watu zaid ya elfu kumi. Ifike wakati...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
-huyu lava lava yupo lebo kubwa kuliko uwezo wake.. -anafanyiwa uwekezaji mkubwa sana kuliko kiwango chake.. -lava lava ana kila miundo mbinu lakini haitendei haki. -laiti nafasi ya lava lava...
2 Reactions
57 Replies
9K Views
Mwimbaji nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania amesimulia kisa chake ambacho alitakwa kimapenzi na baba mchungaji. Akiongea na kituo cha redio mkoani Mbeya Bahati Bukuku amesema baada ya ndoa...
5 Reactions
138 Replies
31K Views
Katika mambo ambayo yanaweza kuwa sababu ya kila mtu mwenye mafanikio kufika pale alipo ni tabia hii ya kufanya maamuzi kwa wakati. Kama umeambiwa tafiti zinasema mwaka huu mvua hazitanyesha...
9 Reactions
27 Replies
5K Views
Watanzania wadau wa muziki wameanza movement kutengeneza awareness ili Beyonce ajue watu wake wamempotosha baada ya kukosekana mwakilishi kwenye album ya Lion King Huku akijaza wasanii wengi wa...
4 Reactions
36 Replies
6K Views
Nyie wapenda umbea wa humu zari the boss lady ameolewa sijui na nani huko halafu munajifanya kama Hamna habari humu. Nyie wambea gani walala njaa tu. Haya mimi ndio nimewaletea habari hiyo 🗣️🗣️...
6 Reactions
56 Replies
10K Views
Mengi yakuzungumza sina, japo mabalaa yalionekana kupitia mtandao wa twitter kama alivoeleza Nikki Mbishi, tamasha hili lilikuwa la kikanda zaidi na wasanii wengine waliwekwa kama kizugio tu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mfalme wa taarabu wa miaka yote ambaye aliwahi kutikisa na vibao vyake kama vile Wagombanao ndio wapatanao,Wasiwasi wako ndiyo maradhi yako,My Valentine , V.I.P,Mkuki Moyoni, Daktari wa mapenzi nk...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Closed
Well , she is not as rich as the title implies , it's just a spicy [emoji5]. Irene uwoya nowadays seems to live a lavish lifestyle , ambapo rumor has it kuwa , bi dada is hanging out with one of...
13 Reactions
81 Replies
24K Views
Tangu wasafi festival ianze last year sikuona mikoa ya kaskazin mwa Tanzania hususani Arusha na Kilimanjaro (Moshi) kama sehemu ya tour yao Na sasa mwaka huu ratiba imetoka tena ya wasafi...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Picha mpya za mke mtarajiwa wa Rayvany alizoziachia huko instagram, kanajiita stargirl, hapa Rayvany pesa ya mziki ndio inalinda penzi ila ikiisha hana mtu hapa, mwanamke wa mtu huwezi...
3 Reactions
107 Replies
23K Views
Miaka kumi iliyopita,nikiwa jijin Dar kwa makonda henzi hizo yy nadhani alikuwa bado yupo koromje. Ilikuwa siku ya jumamosi,nilifika pale kijitonyama enzi hizo kulikuwa na bar moja iliitwa...
17 Reactions
52 Replies
6K Views
Tudy Thomas ni producer mzuri sana hasa upande wa vionjo vyenye ladha ya kuvuta hsia, katika nyimbo zilizompaisha Diamond kimataifa nyingi zilikuwa na mkono wa Tudy Thomas , Ni kweli ana Producer...
1 Reactions
51 Replies
11K Views
Kitendo Cha Beyonce kuzindua Album yake mpya ya Lion King Huku akiwashirikisha wasanii wakali wa Africa Huku akiwatosa wasanii wa East Africa Ni kilelezo tosha kwamba East Africa Bado hatuna...
0 Reactions
68 Replies
9K Views
Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Tanzania T.I.D a.k.a TOP a.k.a Warioba A.k.A BASATA a.k.a POWER BANK leo kupitia instagram yake amwaga povu kali kiwango cha grisi kutoka kwa Azam TV baada ya...
3 Reactions
41 Replies
10K Views
Huyu binti amezaliwa sudani kusini ila sasa anaishi huko majuu ni mrembo haswa wazungu ambao ndio hufikiri kwa niaba yetu wanasema huyu ndiye msichana mzuri na mrembo zaidi duniani Nimeleta hizi...
22 Reactions
141 Replies
33K Views
Hizi ripoti asipuuze mshua, hali ya maisha inazidi kuwa mbaya sana. Gharama za hizo semina didimizi zingeweza kununua madawa ya kutosha zahanati zote nchini. Yale matrekta pale Suma Jkt yatakuja...
3 Reactions
32 Replies
9K Views
Back
Top Bottom