Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mbosso fundi Sana big up Sana enjoy kazi nzuri imeshootiwa Morocco na imedirectiwa na Kenny zoom production kutoka wcb
2 Reactions
43 Replies
15K Views
Kwa upande wangu ,huu wimbo wa dansi ni bora kwa mwaka 2019.https://youtu.be/xbqGKeT86-g Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya watu wanasema media Ni kubwa kuliko msanii lakini me nisema bila msanii no media especially kwa zile za kiburudani,njmeongea haya kwasababu diamond anafanya vizuri pamoja na lebel...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Katika pitapita zangu huko mjengoni insta nkaona habari inatrend sana ya mlimbwende Hamisa Mobeto kutumbuiza Ikulu hadi mkulu kumsifia "kusifiwa na mkulu si mchezo" alisikika mtu mmoja akisema...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
Hello guys, kwa yeyote mwenye hio traki naomba aiweke hapa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Aman itamalaki Ukienda uganda utakuta wasanii ni watu matajali sana wanaomiliki vitega uchumi, magari na majumba Ukienda kenya utakuta pia wasanii ni matajiri wanaomiliki nyumba na magari na...
2 Reactions
33 Replies
7K Views
Tangu nihamie mjini kutoka kijijini kwetu miaka ya tisini sikuwahi kuukubali sana muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo fleva na japo kidogo niliwahi kupenda baadhi ya nyimbo za wasanii wa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro...
6 Reactions
130 Replies
26K Views
Wakati wanazengo wakisubir kwa hamu harusi ya super staa kutoka katika kiwanda cha bongo movie , Elizabeth Michael , maarufu kama Lulu, Mwanadada huyo amepost video kwenye insta story yake...
2 Reactions
44 Replies
11K Views
Hawa vijana wa kings music ya King kiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wana uwezo mkubwa sana ila naona wamekosa promo kutoka kwa boss wao. Alikiba jaribu kufanya mziki kisasa uwa-brand...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hongera kwa kutimiza miaka mingine mingii dada yangu from the same county sabukuru nziza umunsi mwiza w’amavuko
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Msanii wa Filamu nchini, Wema Sepetu yuko matatani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa hati ya kumkamata kwa kuruka dhamana. Wema anakabiliwa na mashtaka ya kusambaza video ya ngono...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Lebo ya Alikiba "Kings music" wametoa ngoma inaitwa Rhumba,Ni ngoma Kali sana,Ila kinacho niumiza ni pale napoona kipaji kikubwa walicho nacho hawa vijana ila maajabu boss wao kashindwa kuwabrand.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kings music ya Alikiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wanaonekana wana Talent kubwa ila ajabu wamekosa mtu wa kuwabrand.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa vijana wa kings music ya King kiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wana uwezo mkubwa sana ila naona wamekosa promo kutoka kwa boss wao. Alikiba jaribu kufanya mziki kisasa uwa-brand...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii redid rfa ndio redio pekee inayofika kila kijiji cha nchi hii inazidi hata TBC redio Ni redio inasikilizwa sana, sina takwimu sahihi ila ni redio ambayo ni miongoni mwa redio inayosikilizwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mi nilijua lile gauni lako la kipaimara ulilovaa kwenye harusi yako ilikua bahati mbaya kumbe ndo fashion zako, Lucy ni muigizaji mzuri sana na anajiheshimu ila huwa unaniangusha kwenye mavazi tu...
7 Reactions
74 Replies
16K Views
Kwa heshima na taadhima, napenda kumleta kwenu mtunzi na mwimbaji bora kabisa wa muziki wa kizazi kipya, kijana na msanii Benson.. Sina maneno mazuri ya kumuongelea kijana huyu, ila nendeni yu-...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom