Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Hivi humu jamii forum kuna watu waliosoma na mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam atuambie ata uwezo wake ulikuwaje darasani ata waliosoma nae chuo
10 Reactions
75 Replies
11K Views
Jacqueline obed ‘Poshy Queen’ ANAPATA tabu sana! Mrembo anayetingisha kwenye mitandao ya kijamii (socialite) kutokana na figa yake matata, Jacqueline obed ‘Poshy Queen’ amefunguka kuwa...
5 Reactions
169 Replies
48K Views
SHEM DARLING JACKIE NA BRO'ANGU REGGIE WAMEMPOTEZA DANGOTE BASI bwana! Kwenye public domain kwa miaka kadhaa sasa, mtoto wa mama Nasibu, Diamond Platnumz a.k.a Chibu Dangote ndie alikuwa mtawala...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Siyo kwamba anakosekana mwanamke wa kuigiza kama mwanamke..... TABIA YA JOTI KUVAA UHALISIA WA MWANAMKE UNASABABISHA WATOTO WA KIUME KUJIFUNZA UPUUZI..... Naandika ujumbe huu KWA MAKONDA AMBAYE...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Miongoni mwa wasanii wenye msongo mkubwa mno wa mawazo basi Richard Mavoko anaongoza. Rich amekuwa mtu mwenye kusononeka kila kukicha na kujiona mkosaji mno ingawa akiwa katika macho ya mashabiki...
7 Reactions
74 Replies
14K Views
Pole sana mzee wa liquid, wewe hauna madhara kwa mtu yoyote yule. Kila mtu anajua hauna shida na mtu maskini all you do is to make us laugh kumbe UMAARUFU wako kuna WARUGARUGA UNAWAUMA SANA haswa...
9 Reactions
40 Replies
9K Views
Habarini za wakati huu wadau wa jukwaa hili,natumaini mko salama na wale ambao hamko vyema poleni sana..Naam acha niende moja kwa moja kwenye content,,Kwa waskilizaji wa Clouds FM the people's...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Hii game ya Bongo fleva imetoka mbali sana, tunakumbuka kuna mikoa imewahi kutisha sana kwa kutoa wasanii wengi tena wakihit kwa wakati mmoja. Ifuatayo ni mikoa hiyo UKITOA DAR ES SALAAM. 1...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kama watanzania wazalendo tulifurahia sana ufiko wa kilele cha mchezo wa kikapu wa mbongo mwenzetu huyu. Ni mafanikio makubwa naweza kuyaita kwa upande wa burudani na michezo kwa hatua aliyofikia...
0 Reactions
142 Replies
27K Views
Kwa Watanzania wenzangu, Kwanza, nikiri kwamba nimeona wengi niliowakwaza kutokana na maneno niliyoongea jana kwenye tukio liliondaliwa na rafiki yetu @jokatemwegelo (#TokomezaZiroKisarawe). Kwa...
6 Reactions
38 Replies
7K Views
talent is evenly distributed, opportunity is not
0 Reactions
0 Replies
445 Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Huyu bibie Mboni nasikia alishawahi toka na Samuel Etoo wakati Cameroon walipokuja kucheza na Taifa stars...Ana kila sababu ya kushangilia ushindi wa Inter
1 Reactions
241 Replies
66K Views
Ni msiba kwa wana hiphop wa kweli hasa kwa wale tunaopenda real stuff. Jamaa ali rep sana mtaa though hakupata airtime kivile. R.I.P Legend Nipsey Hu$$le Habari kamili hapo chini, source CNN...
4 Reactions
1 Replies
3K Views
ametumia maneno machache ya busara na kumualika kesho asubuhi ofisini kwake source fungua hapa https://www.dictionary.com/e/fool/
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wote nawaona ni Wajanja Wajanja na wanaojua kucheza na wakati na akili za Watanzania. Karibuni.
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Natoa angalizo tu asaiv ukihitaj Kiki kipind hiki lazima uongee na pierre mlamba alolo konki liquid mama nakufa itabaki kuwa juu. ..Ati nin bila hivo utasubiri sana mana ndo aliyeshika hili jiji...
4 Reactions
26 Replies
4K Views
Nakukubali bibie upo vizuri. Full package ya mtangazaji bora! Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…