Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Victor Wanyama amemualika Pierre Liquid kwenda Uingereza na kila kinachohitajika kwa safari atalipia yeye mwenyewe Victor. Sasa kwa jicho la roho mbaya nani atakubali (anayeonekana mlevi, asiye...
6 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni wazi sasa DSM ni kama imepata Mkuu wa Mkoa mpya katika sekta ya burudani,si mwingine bali ni Pierre Liquid,mziki wake ni mzito wa takribani wats laki nane, anatikisa kila kona Watu wazima sana...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Msanii wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja ambaye ni miongoni mwa wasanii walio karibu sana muimbaji Rose Muhando ameeleza kilichotokea kwa Rose Muhando . Martha ameeleza jinsi Rose...
36 Reactions
207 Replies
66K Views
Nadhani ni muda muda muafaka na sisi sasa tukapiga marufuku wasanii wote ambao hawalipi kodi na wanaimba matusi wanaotoka Kenya, jino kwa jino.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya kushiriki kikamilifu katika kampeni ya Tokomeza Zero, Liquid amepata mwaliko mwingine Ughaibuni. Lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ni kuhamasisha Tanzania Diaspora kutoa misaada...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Siku hizi habari zipo mkononi, watu wanahitaji content za kusoma kila muda, nani wa kuwalisha habari?. Maisha ni magumu watu wanahitaji zaidi habari za kuwapunguzia stress za maisha, binadamu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Pierre Konk Liquid, ni jina maarufu sana kwa sasa si tu kwenye mitandao ya kijamii bali hata mitaani kote katika eneo la Afrika Mashariki kwa ujumla. Pierre, mtu ambaye kwa sasa ameanza kupata...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Aliyekuwa mmiliki wa studio za Kiumbe video &Audio ambaye pia ni muimbaji na mtayarishaji wa muziki Abamto Valentino amefariki dunia akiwa kwao ilala. Moja ya kazi alizowahi kufanya ni pamoja na...
1 Reactions
24 Replies
9K Views
Ni utamaduni wa muda mrefu katika kabila la wahaya kunyoa nywele zao tena wengine kipara kabisa kama watu wafuatao wakifiwa Mjane Watoto wa marehemu Ndugu wa damu mtu akitaka lakini hasahasa...
0 Reactions
28 Replies
12K Views
kaandika kwa kifupi tu lakini kwa hekima kuliko yule anayejiita mcha Mungu aliyejaa roho yenye kutu,kasema HILI NALO LITAPITA. Mtu wa karibu kaniambia Piere kafarijika sana na watanzania...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau kifupi mie nimfuatiliaji wa matukio ya hapa nchini, na mojawapo ya tukio nililolitazama ni hili la TOKOMEZA ZIRO - lililoandaliwa na Mhe . JoKate. Suala ni kwamba , Muheshimiwa ambaye ni...
1 Reactions
3 Replies
930 Views
Amefariki nchini ufaransa na tayari familia yake imethibitisha. Hili ni pigo kubwa sana kwa wapenda rhumba wote duniani
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Fahamu kwamba video queen wa wimbo wa kwanza wa Diamond platnumz alikuwa dada yake Esma Platnumz,kwa nini Esma? ni kwamba wadada ambao aliwaalika Diamond kufanya hiyo scene hawakutokea kutokana na...
2 Reactions
63 Replies
25K Views
Unapokuwa na cheo kama cha mkuu wa mkoa jaribu kujiheshimu hata kama una moyo mweusi na umezaliwa na chuki moyoni mwako unapochanganya mambo ya wasafi vs ali kiba kumu attack mtu ambaye hana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda sana kusikiliza East Africa Radio (EA radio) Super Mix, Kipenga Extra na East Africa Drive (Ndinga mpya Town). Vipindi hivi vitatu huwa nikipata muda navisikiliza maana watangazaji...
9 Reactions
70 Replies
19K Views
Jana nlkwa nikicheki movie moja ya kanumba FAMILY TEARS basi humo nikamuona Tena Richard benzouidenhout..ambae alikwa mshindi wa big br 2006.. Huyu mwamba amepotea Sana. Wadau hv Yuko Wap huyu...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
Kila wimbo mnaotoa kwa sasa mnasifu tendo la ndoa, bora hata mngekuwa mnaimba issues zingine za mapenzi hapo sawa. Yani hata huu wimbo mpya wa dada yetu Queendarleen ni mrengo uleule, tena kaamua...
18 Reactions
77 Replies
12K Views
Piere Konki Liquid kuna uwezekano mkubwa akawa sio mzima huyu. Hivi inawezekana kweli mwanaume rijali ukawa na miaka 42 huna mke, demu wala mchumba, hata wale wanawake wanaojiuza hujawahi...
2 Reactions
51 Replies
9K Views
Siku ya 22 katika mwezi wa July mwaka 1992 maeneo ya Grand Prairie katika jimbo la Texas nchini Marekani binti mwenye umri wa miaka 16 aliyejulikana kwa jina la Amanda Dawn Cornet anafanikiwa...
11 Reactions
39 Replies
6K Views
Nani ana namba ya Hamissa Mobetto au mama Dylan kama anavyoitwa na Nasib Abdul, mpigieni mwambie tunajua maisha ya mtanzania yamekuwa magumu sana sema aache kuvamia kazi za watu. Maana...
11 Reactions
57 Replies
8K Views
Back
Top Bottom